Kizaramo ‘mibili’ kilivyozaa Muhimbili | Mwananchi

Nenda kokote Tanzania jina Muhimbili utalikuta sehemu moja tu, napo ni jijini Dar es Salaam. Si kama Kariakoo, Magomeni, Mbuyuni, Majengo na majina mengine  kadhaa utakayoyakuta mikoa mbalimbali. Jengo la iliyokuwa Hospitali ya Sewa Haji. Lakini Muhimbili ya Dar si eneo pekee bali ni kile kilichopo hapo. Hapa ndipo ilipo hospitali kuu zaidi nchini.  Hii…

Read More

Aliyeoa mdoli asherehekea mwaka wake 6 kwenye ndoa

Mwanamume mmoja kutoka Japan, Akihiko Kondo, anasherehekea mwaka wa sita wa ndoa yake na Mkewe wa kubuni, Hatsune Miku, ambaye ni mhusika maarufu katika Tamthilia za anime ambaye anajulikana kama Vocaloid. Vocaloid ni aina ya programu ya sauti inayosimamia uimbaji kwa kuingiza sauti za muziki katika Wahusika wa Anime, Kondo alijikuta akipenda tabia ya Miku…

Read More

Wasiojulikana wavamia makaburi Morogoro, waiba misalaba

Morogoro. Watu wasiofahamika wamevunja na kuondoka na misalaba iliyowekwa kwenye makaburi ya Kola, mkoani Morogoro. Hatua hiyo imesababisha ndugu wa marehemu waliozikwa kwenye makaburi hayo kushindwa kuyatambua, huku wengine wakiingia hasara ya kuweka misalaba mingine. Hii ni mara ya pili kutokea kwa matukio hayo ya kuvunjwa na kuibwa kwa misalaba na baadhi ya watu wanadai…

Read More

Wananchi wataja sababu, vikwazo kutumia nishati safi ya kupikia

Dar/Mikoani. Ukosefu wa elimu sahihi, gharama kubwa ya awali ya matumizi, uhaba wa malighafi na miundombinu kuwafikia ni baadhi ya changamoto zinazolalamikiwa na wananchi kuwa vikwazo vya kuhamia kwenye matumizi ya nishati safi ya kupikia. Wanasema licha ya kuhitaji kutumia nishati hiyo, vikwazo hivyo vinawakatisha tamaa, huku baadhi wakidai ni bora kuendelea kutumia mkaa na…

Read More

Wamarekani leo kuamua ni Trump au Kamala

Washington. Wamarekani wanatarajia kupiga kura leo kukamilisha mbio za uchaguzi mkuu wa Taifa hilo lenye nguvu duniani zilizotanguliwa na kampeni za wagombea, Rais wa zamani, Donald Trump na Makamu wa Rais, Kamala Harris. Mshindi katika uchaguzi huo, atatangazwa kuwa Rais wa 47 wa Marekani, akichukua nafasi ya Rais Joe Biden aliyekuwa madarakani kwa muhula mmoja…

Read More

Nouma aitwa Burkina Faso Aziz KI chalii

Beki wa kushoto wa Simba, Valentin Nouma amerejeshwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Burkina Faso (The Stallions), kinachojiandaa kucheza michezo miwili ya kufuzu AFCON 2025, huku nyota wa Yanga Stephane Aziz KI akiachwa tofauti na ilivyo zoeleka. Burkina Faso itacheza dhidi ya Senegal Novemba 14, kwenye Uwanja wa Stade du 26 Mars na…

Read More

CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WA UMMA ZITATULIWE ILI KUKUZA SEKTA YA UMMA KIUCHUMI NA KIJAMII 

  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akitoa neno la utangulizi kabla ya kumkaribisha Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa kufungua Mkutano wa 9 wa Mtandao wa Mameneja Rasilimaliwatu katika Sekta ya Umma Afrika (APS-HRMNet) unaofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC). Rais wa Mtandao wa Mameneja wa Rasilimaliwatu…

Read More

Wajasiriamali wa nchi wanachama EAC wahamasishwa kuwa wabunifu

Wajasiriamali wa nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wametakiwa kuhakikisha wanakuwa wabunifu na kuongeza ujuzi ili kutengeneza bidhaa zenye ubora zaidi. Kauli hiyo imetolewa Jana Novemba 3, 2024 na Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulrmavu, Zuhura Yunus wakati akizungumza kwenye Maadhimisho ya Siku ya Tanzania…

Read More