Faida, vikwazo nishati safi ya kupikia

Morogoro/Pwani. Dhima kuu ya Mkakati wa Kitaifa wa Nishati Safi ya Kupikia (2024-2034) uliozinduliwa Mei mwaka huu inalenga kuhakikisha upatikanaji wa nishati safi ya kupikia iliyo nafuu, endelevu, salama na rahisi kutumika. Mkakati huo uliozinduliwa na Rais Samia Suluhu Hassan, unalenga kutoa mwongozo wa namna ya kupunguza athari za kiafya, mazingira na kuboresha maisha ya…

Read More

Tanzania kuwasilisha COP29 maandiko ya miradi ya Dola milioni 1

Tanzania inatarajia kuwasilisha maandiko ya miradi mikubwa tisa ya kimkakati yenye thamani ya Dola za Marekani bilioni 1,433 katika Mkutano wa 29 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Mabadiliko ya Tabianchi (COP29) utakaofanyika Baku, Azerbaijan kuanzia Novemba 11 hadi 22, 2024. Lengo la kuwasilisha maandiko hayo ni kutafuta fedha kwa ajili ya kukabiliana na mabadiliko…

Read More

Vijana na Wanawake jiungeni kwenye vikundi vya wajasiriamali.

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni Mh Saad Mtambule amewataka wajasiriamali kujiunga kwenye vikundu ili vitambulike na kuviwezesha kupata mikopo ya serikali kwa urahisi ikiwemo kutoka halimashauri. Mh Saad Mtambule ameyeasema hayo akiwa katika kata ya Bunju wilaya ya Kinondoni jijini Dar es salaam wakati akiongea na vikundi vya wajasiriamali zaidi ya 100 huku zoezi hilo…

Read More

Changamoto kukomesha biashara ya kuni, mkaa

Tanga/Morogoro. “Nilimaliza shule mwaka 2007 (darasa la saba) tangu hapo mpaka sasa ninafanya kazi ya kuzalisha mkaa, sina shughuli nyingine. Nina mke na watoto watatu ambao maisha yao yananitegemea mimi.” Hiyo ni kauli ya Hassan Bashiru, mzalishaji mkaa katika Kijiji cha Madebe, Kata ya Kang’ata wilayani Handeni Mkoa wa Tanga. Bashiru anasema kwa siku anazalisha…

Read More

WAZIRI KOMBO AFANYA MAZUNGUMZO NA WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA CUBA

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amefanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Cuba, Mhe. Bruno Rodriguez Parrilla jijini Havana, Cuba tarehe 4 Novemba, 2024. Mazungumzo ya viongozi hao yalijikita katika kuendelea kuimarisha ushirikiano wa kimaendeleo katika sekta mbalimbali ikiwemo,sekta ya afya,…

Read More

Gomez abeba matumaini ya Fountain

KINARA wa mabao Ligi Kuu Bara, Seleman Mwalimu ‘Gomez’ amebeba matumani ya Fountain Gate leo Jumanne ambapo watakuwa nyumbani, Tanzanite Kwaraa kuwakaribisha Pamba Jiji ambao bado wanajitafuta. Fountain Gate yenye pointi 17 katika msimamo wa Ligi Kuu Bara ikishika nafasi ya tano, chini ya Kocha Mohamed Muya, imeonyesha kuwa na mwenendo mzuri tofauti na wapinzani…

Read More

UZINDUZI WA “AMAZING TANZANIA” WATIA FORA, DKT. ABBASI AELEZA TAMU NA CHUNGU ZA “LOCATION” NA MARAIS WA NCHI

Hatimaye Filamu ya kuitangaza nchi Uchina ya “Amazing Tanzania” iliyomshirikisha Rais Samia Suluhu Hassan, Dr. Hussein Mwinyi na msanii Jin Dong kutoka China, imezinduliwa rasmi jijini Dar es Salaam. Katika uzinduzi huo Waziri wa Utalii Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana amemwakilisha Rais Samia huku Serikali ya Uchina chini ya Rais Xi Jinping ikiwakilishwa na Naibu…

Read More

Ratiba yampasua kichwa Aussems | Mwanaspoti

KOCHA wa Singida Black Stars, Patrick Aussems amesisitiza umuhimu wa kutumia mapumziko ya wiki mbili za kalenda ya Fifa kuboresha kikosi ili kukabiliana na ratiba ngumu ya kucheza michezo mitatu ndani ya siku nane. Singida Black Stars ipo nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara ikikusanya pointi 23 nyuma ya Yanga yenye pointi…

Read More

Hesabu tamu zinaibeba tena Yanga Ligi Kuu Bara

LICHA ya kukubali kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa Azam FC wikiendi iliyopita, lakini hesabu za Yanga bado ni tamu kulinganisha na washindani wake wakubwa ndani ya Ligi Kuu Bara msimu huu. Yanga ambayo ni bingwa mtetezi wa Ligi Kuu Bara ikibeba taji hilo kwa misimu mitatu mfululizo, msimu huu mpaka sasa inaonekana washindani wake…

Read More