NMB yaleta Nondo za Pesa kwa watanzania

KATIKA kuongeza uelewa wa masuala ya fedha kwa maendeleo na ukuaji kiuchumi kwa Mtanzania mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla, Benki ya NMB imezindua Programu Endelevu ya Elimu ya Fedha iitwayo NMB Nondo za Pesa, itakayotolewa kupitia vyombo habari, mitandao ya kijamii na makongamano. NMB Nondo za Pesa imezinduliwa na Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi…

Read More

BENKI YA STANBIC TANZANIA YATOA TZS MILIONI 80 KUSAIDIA MATIBABU YA KUOKOA MAISHA YA WATOTO WENYE MATATIZO YA MOYO NA MISHIPA YA DAMU

· Stanbic Bank yatoa TZS milioni 80 kwa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) na Heart Team Africa Foundation kusaidia kugharamia matibabu muhimu kwa watoto. · Hafla ya kuchangisha fedha, iliyoongozwa na Rais Mstaafu Mh. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, imewaleta pamoja wadau kutoka sekta za umma na binafsi kwa lengo la kusaidia watoto wenye…

Read More

BENKI YA STANBIC TANZANIA NA GAIN WAZINDUA PROGRAMU YA KIKUNDI CHA SABA CHA MAENDELEO YA BIASHARA KITAIFA KWA AJILI YA WAJASIRIAMALI WADOGO NA KATI (SMEs)

• Stanbic na GAIN wanaungana kuongeza mchango wa SME katika sekta ya chakula ili kuboresha upatikanaji wa lishe bora nchini Tanzania.• Programu inalenga kuboresha biashara zinazoongozwa na wanawake kwa kuwapa ujuzi katika usimamizi wa zabuni, uboreshaji wa bidhaa, usalama wa chakula, na mbinu za masoko.• Uzinduzi huu unaendana na dhamira ya Stanbic ya kukuza maendeleo…

Read More

Meridianbet imekuletea promosheni ya kujizolea zawadi kibao

  Leo hii wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet wamekuletea promosheni ya kibabe ambayo inaitwa Saka Bajaji na Tigopesa ambayo itakufanya uondoke na zawadi mbalimbali. Ingia kwenye akaunti yako na uanze kuzisaka zawadi hizo. Promosheni hii inawapa wateja fursa ya kipekee ya kushinda zawadi za thamani, zikiwemo Bajaji, simu za kisasa, na mizunguko ya bure 250…

Read More

Shinda na kasino ya 20 Imperial Crown Deluxe!!

  Leo fursa ni yako kuondoka na mkwanja kupitia mchezo wa kasino wa 20 Imperial CrownDeluxe, Kwani mchezo huu umefanikiwa kutoa washindi wa mihelaa wa kutosha hivo nafasi ya ushindi ni yako leo cheza  ushinde. 20 Imperial Crown Deluxe ni mchezo wa kasino mtandaoni unaohusu matunda, mchezo huu una safu tano zilizopangwa katika mistari mitatu…

Read More

Kampeni ya Polio inawafikia watoto 94,000 katika kaskazini iliyozingirwa – Masuala ya Ulimwenguni

Kampeni ya chanjo ya polio inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa ilihitimishwa kaskazini mwa Gaza iliyozingirwa siku ya Jumatatu, huku mashirika yakiwachanja watoto 94,000, lakini maelfu bado hawajafikiwa. Richard Peeperkorn wa Shirika la Afya Duniani (WHO) katika eneo la Palestina linalokaliwa kwa mabavu alisema lengo lilikuwa kuwafikia watoto wote wa kaskazini na dozi ya pili…

Read More

Mwakyusa aliamsha Prisons | Mwanaspoti

BAADA ya kurejeshwa kikosini na kuisaidia Tanzania Prisons kushinda dhidi ya KenGold, kipa wa timu hiyo, Edward Mwakyusa amesema anataka kujihakikishia namba na kuisaidia timu kuendelea kufanya vizuri. Mwakyusa aliyepandishwa kikosini 2022/23, anakumbukwa kuiokoa timu hiyo msimu huo kukwepa kushuka daraja alipoizuia JKT Tanzania kwenye mechi ya mchujo (play off). Katika mchezo huo wa marudiano…

Read More