Manula afunguka hatma yake Simba

KIPA wa Simba, Aishi Manula kwa sasa hana namba ya kudumu katika kikosi cha kwanza cha timu hiyo licha ya kuipa mafanikio kibao ikiwamo ubingwa wa Ligi Kuu Bara zaidi ya mara nne tangu alipotua kikosini 2017/18. Hata hivyo, tangu msimu uliopita, Manula amekuwa na ingia toka katika kikosi cha kwanza ambapo amecheza mechi chachem…

Read More

Kuimarisha Utayarishaji wa Tsunami katika Hali ya Hewa Inabadilika – Masuala ya Ulimwenguni

Ishara ya onyo la tsunami katika ufuo wa Pantai Bercak huko Pacitan, Java Mashariki, Indonesia. Rangi mahiri za ishara hiyo huonekana wazi, na kuhakikisha inavutia usikivu wa wageni. Umoja wa Mataifa utaadhimishaSiku ya Uelewa wa Tsunami Duniani. mnamo Novemba 5. Credit: Unsplash/Jeffrey Thümann Maoni na Sanjay Srivastava – Temily Baker – Nawarat Perawattanasaku (bangkok, Thailand)…

Read More

Tanzania Olympic Committee (TOC) General Election Set for December 14, 2024/Uchaguzi Mkuu wa Kamati ya Olympic Tanzania (TOC) Kufanyika Desemba 14, 2024

The Election Commission of the Tanzania Olympic Committee (TOC) has officially announced that its general election will take place on December 14, 2024.  With a large turnout of candidates expected, application forms for those seeking to run will be available starting tomorrow, Tuesday, November 5, 2024, at designated offices on the mainland and Zanzibar. The…

Read More

Wabunge wataka Serikali iondoe umaskini wa mtu mmojammoja

Dodoma. Wabunge wameitaka Serikali kujikita katika kuondoa umaskini wa mtu mmojammoja. Mbali na hao, Mbunge wa Kuteuliwa (CCM), Shamsi Vuai Nahodha akisema na kutoa mifano ya baadhi ya matumizi ya Serikali ambayo badala ya kusaidia kuongeza tija yanaibebesha mzigo mkubwa. Wabunge pia  wameonyesha kukerwa kwa  kuingizwa katika Mpango wa Maendeleo wa Taifa miradi ya Liganga…

Read More

MKUTANO WA 34 WA BARAZA LA KISEKTA LA MAWAZIRI LINALOSHUGHULIKIA MASUALA YA EAC NA MIPANGO WAANZA ARUSHA

Mkurugenzi wa Sera na Mipango katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bw. Justin Kisoka akichangia kwenye Mkutano 34 wa Baraza la Kisekta la Mawaziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki linaloshughulikia masuala ya Afrika Mashariki na Mipango unaofanyika jijini Arusha. Mkurugenzi wa Miundombinu ya Uchumi na Huduma za Jamii Mhandisi Abdillah…

Read More

Azania yawaita Watanzania kuchangamkia hati fungani

Dar es Salaam. Kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwake, Benki ya Azania imewaita Watanzania kuchangamkia fursa ya ununuzi wa hatifungani (bondi) zake, ambapo kiasi cha chini itakuwa ni Sh500,000. Hatifungani hiyo iliyopewa jina la “Bondi Yangu” inalenga kuuza hati fungani zenye thamani ya Sh30 bilioni ili kuiwezesha Azania kupata fedha za kutekeleza miradi mbalimbali…

Read More