Umuhimu wa viongozi wa dini kuelekea uchaguzi

Dar es Salaam. Viongozi wa dini wana nafasi muhimu katika jamii, wakitoa mwongozo wa kiroho, kijamii na wakati mwingine hata kisiasa. Wakiwa na ushawishi mkubwa kwa waumini wao, viongozi hawa wanaweza kuwa nguvu muhimu kuhamasisha wananchi kushiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa. Uhamasishaji huu ni muhimu, hasa wakati ambao Tanzania inaelekea kwenye uchaguzi wa Serikali…

Read More

SERIKALI KULIPA MADENI BAADA YA UHAKIKI NA UPATIKANAJI WA FEDHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), alipokuwa akijibu swali bungeni jijini Dodoma la Mbunge wa Moshi Mjini, Mhe. Priscus Jacob Tarimo (Mb), aliyetaka kujua mpango wa kuwalipa Wazabuni wanaotoa huduma mbalimbali hususani chakula kwenye Shule za Serikali ambao wanadai muda mrefu.  Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb) (kushoto), wakiteta…

Read More

Ujerumani inaweza kukabiliwa na uchaguzi wa mapema – DW – 04.11.2024

Waziri wa Fedha wa Ujerumani Christian Lindner ameibua mvutano mpya ambao wachambuzi wanakubaliana kwamba unaiweka serikali ya Ujerumani ya mrengo wa kushoto-kati katika hatari ya kuporomoka. Lindner ambaye ni mwenyekiti wa chama cha kiliberali Free Democrats (FDP) ameandika kurasa 18 za mapendekezo ya kile anachokiita “mabadiliko ya kiuchumi na marekebisho ya kimsingi ya maamuzi muhimu…

Read More

Kuku wanavyotumika kusafirisha dawa za kulevya

Dar es Salaam. Kila siku mbinu mpya zinabuniwa ili kukwepa vyombo vya dola; hivyo ndivyo unavyoweza kuelezea taarifa za wauzaji wa dawa za kulevya wanaotumia kuku wa kienyeji kusafirisha dawa za kulevya aina ya kokeni. Taarifa kutoka vijiji vilivyopo mpakani mwa Tanzania na nchi jirani ya Kenya, zinadai kuwa dawa hizo hufungwa katika vipakiti vidogo…

Read More

PICHA :Mazishi ya Jenerali mstaafu David Musuguri nyumbani kwake katika Kijiji cha Butiama

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dotto Biteko amewaongoza wananchi na waombolezaji katika mazishi ya  Jenerali mstaafu David Musuguri nyumbani kwake katika Kijiji cha Butiama, wilaya Butiama mkoani Mara Biteko ambaye amemwakilisha Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amewaongoza waombolezaji wakiwemo viongozi wa Serikali na Wanasiasa katika tukio hilo lililoendeshwa kwa taratibu za…

Read More

Waziri Mkuu atoa wito kwa wasimamizi rasilimaliwatu

Na Mwandishi Wetu Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa wasimamizi wote wa rasilimaliwatu wazingatie misingi ya utawala bora na weledi katika kuisimamia rasilimali hiyo katika Sekta ya Umma Barani Afrika. Amesema kuwa kufanya hivyo kutasaidia kwa kiasi kikubwa kuwezesha kutoa huduma bora na kudumisha imani ya wananchi kwa Serikali zao. Ametoa wito huo leo…

Read More

CCM yawatuliza wagombea walioenguliwa kura za maoni

Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM), kimewataka wagombea walioenguliwa katika mchakato wa kura za maoni ndani ya chama hicho za kuwania nafasi kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa, kuwa wavumilivu kwa kuwa wana nafasi nyingine ya udiwani katika uchaguzi mkuu mwakani. Mchakato wa kura za maoni ndani ya CCM kuwania uteuzi wa kupeperusha bendera…

Read More

Azam Complex na nuksi ya kadi nyekundu Ligi Kuu

Dar es Salaam. Mzimu wa kadi nyekundu unaonekana kutawala katika Uwanja wa Azam Complex kulinganisha na viwanja vingine vinavyotumika kwa Ligi Kuu msimu huu. Idadi kubwa ya kadi nyekundu hadi sasa zimeonyeshwa katika Uwanja huo unaomilikiwa na Azam FC huku viwanja vingi vikiwa havijashuhudia kadi nyekundu hadi sasa. Katika raundi 11 za Ligi Kuu msimu…

Read More

Kuku hai wanavyotumika kusafirisha dawa za kulevya

Dar es Salaam. Kila siku mbinu mpya zinabuniwa ili kukwepa vyombo vya dola; hivyo ndivyo unavyoweza kuelezea taarifa za wauzaji wa dawa za kulevya wanaotumia kuku wa kienyeji kusafirisha dawa za kulevya aina ya kokeni. Taarifa kutoka vijiji vilivyopo mpakani mwa Tanzania na nchi jirani ya Kenya, zinadai kuwa dawa hizo hufungwa katika vipakiti vidogo…

Read More