SHUWASA YATIA SAINI MKATABA WA KUIJENGEA UWEZO

Na Kadama Malunde- Malunde 1 blog   Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Shinyanga (SHUWASA) imetia saini Mkataba wa Kuijengea Uwezo, baina yake na Mhandisi Mshauri Kampuni ya Gopa Infra ya nchini Ujerumani ikishirikiana na Kampuni ya Superlit Consulting Ltd ya nchini Tanzania.   Mkataba huu wenye thamani ya shilingi bilioni 9 utalenga kuijengea…

Read More

Je, India Inamaliza Mafuta ya Kisukuku Haraka ya Kutosha Kufikia Malengo Yake ya Utoaji? – Masuala ya Ulimwenguni

Mitambo ya upepo inayoangazia Vyas Chhatri, usanifu wa jadi wa wilaya ya Jasalmer huko Rajasthan. Mkopo: Athar Parvaiz/IPS na Athar Parvaiz (delhi mpya) Jumatatu, Novemba 04, 2024 Inter Press Service NEW DELHI, Nov 04 (IPS) – Wakati India inaendelea kutegemea zaidi makaa ya mawe, nchi kubwa ya kiuchumi ya Asia Kusini pia inasukuma kwa nguvu…

Read More

Makocha wanavyogeuka wazazi | Mwanaspoti

KATIKA ulimwengu wa soka makocha wamekuwa wakichukua kazi ya kuwafundisha wachezaji, lakini pia ni kama walezi wao. Hiyo inatokana na namna ambavyo muda mwingi wanakuwa pamoja. Hii inalinganisha na masuala ya shuleni ambapo walimu ni kama wazazi kwa wanafunzi. Septemba 21, 2021, nyota wa Ureno, Cristiano Ronaldo alifichua namna ambavyo Sir Alex Ferguson alikuwa zaidi…

Read More

WAZIRI MKUU AKUTANA NA BALOZI WA DENMARK NCHINI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Balozi wa Denmark nchini, Mhe. Jespper Kammersgaard, kwenye Ofisi Ndogo ya Waziri Mkuu, Magogoni jijini Dar es salaam,  November 4, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi zawadi ya picha,  Balozi wa Denmark nchini,   Mhe. Jespper Kammersgaard  baada ya mazungumzo  kwenye Ofisi Ndogo ya Waziri Mkuu, Magogoni jijini Dar…

Read More

Grace Mapunda kuzikwa leo – Millard Ayo

Tayari mwili wa Mwigizaji Mkongwe Grace Mapunda ukiwa Nyumbani kwake Sinza Vatican kwaajili ya ibada fupi itakayofanyika Nyumbani hapo kisha Baadae kuelekea leaders mahali ambapo zitafanyika shughuli za mazishi ikiwemo kuaga Kisha kupelekwa makaburi ya Kinondoni kwaajili ya maziko    

Read More

Mbongo asikilizia ofa tatu | Mwanaspoti

STRAIKA wa Fleetwoods United FC inayoshiriki Ligi ya Daraja la Pili UAE, Mgaya Ally amesema anarejea Tanzania wiki hii kusikilizia ofa kutoka nchi tatu. Kinda huyo kabla ya kujiunga na timu hiyo msimu 2021/22 aliichezea Coastal Union ya vijana U-20 msimu mmoja 2020/21. Nyota huyo alisaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia klabu hiyo ambao unatamatika…

Read More