Halmashauri ya Ifakara Mji kutoa Mikopo yenye thamani ya shilingi Milioni mia Tisa kwa robo mwaka .

Halmashauri ya Wilaya ya Ifakara Mji iliyopo Wilaya ya Kilombero Mkoani Morogoro imetenga zaidi ya shilingi Milioni mia Tisa kwa ajili ya mikopo ya asilimia Kumi ya Wanawake,Walemavu na vijana. Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo ya Ifakara Mji Zahara Michuzi amesema mikopo hiyo isiyo na riba imelenga kuwakomboa kiuchumi makundi hayo kuacha kuwa tegemezi katika…

Read More

Mwalwisi akomalia safu ya ulinzi

KATIKA kuhakikisha TMA inafanya vizuri katika Ligi ya Championship msimu huu, kocha mkuu wa kikosi hicho, Maka Mwalwisi amesema mkakati uliopo kwenye benchi lao la ufundi, ni kufanyia kazi udhaifu walionao hasa eneo la kujilinda. Mwalwisi alisema hadi sasa safu ya ushambuliaji imeonyesha matumaini makubwa kwao lakini eneo la kujilinda limekuwa na changamoto. “Washambuliaji wanafanya…

Read More

Usiku wa Mbeya City wanoga

KLABU ya Mbeya City imeanzisha mpango mkakati wa kuhakikisha timu hiyo inarejea Ligi Kuu Bara msimu ujao kwa kuanzisha harambee inayoshirikisha wadau mbalimbali, itakayofanyika Novemba 6, mwaka huu kwenye Ukumbi wa Mkapa jijini Mbeya. Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mbeya City, Ally Nnunduma alisema lengo kubwa la harambee hiyo ni kutoa nafasi kwa wadau wa Jiji…

Read More

Chanika moto mkali Ligi ya Kriketi U19 

MICHUANO ya Kombe la TCA kwa vijana wa umri wa chini ya miaka 19 iliwasha moto kwenye viwanja viwili jijini Dar es Salaam ambako timu za Chanika Boys na Indian School zilitoka na ushindi mnono. Timu ya Chanika Boys ilionyesha ujasiri mkubwa baada ya kuifunga KSIJ Red kwa mikimbio 59 katika mechi iliyopigwa kwenye Uwanja…

Read More

Kocha Sweden kufundisha Tanzania | Mwanaspoti

KOCHA wa Akademi ya AZOS ya nchini Sweden, Salim Soud amesema ingawa anafundisha nchi hiyo hayo, malengo yake ya baadaye ni kuzisaidia timu za Tanzania. Kocha huyo ni msimu wa pili sasa tangu aanze kufundisha Sweden ikiwa ni akademi yake mwenyewe kaianzisha. Akizungumza na safu ya Nje ya Bongo ya Mwanaspoti, Soud alisema akademi hiyo…

Read More

Sillah afunguka, amsaka Aziz KI

MFUNGAJI wa bao pekee lililoitubulia Yanga katika Ligi Kuu, Gibril Sillah amefunguka namna bao hilo lilivyompa heshima, lakini akizidi kumfukuzia Stephane Aziz Ki katika mechi za Dabi ya Dar es Salaam. Mashabiki wa Yanga wamekosa raha baada ya Sillah kuitungua timu yao kwenye Uwanja wa Azam Complex, kwani lilivunja rekodi kibao ilizokuwa nazo, lakini hilo…

Read More

Siri usiyojua miti ya miembe kupandwa barabarani

Japo katika baadhi ya maeneo miti hiyo imeshakatwa, lakini baadhi imebaki ikiwamo ya mjini Bagamoyo, Tabora, Ujiji, Morogoro na maeneo mengineyo. Hii ni miti ya miembe iliyopangana barabarani na pengine kupandwa kwa ustadi mkubwa kama mtu aliyetumia kamba au rula. Lakini unajua kama kuna uhusiano wa miti hiyo na biashara ya utumwa? Simulizi za  kihistoria…

Read More