Diarra, Camara mwanzo mpya | Mwanaspoti

KWA miaka mingi iliyopita katika soka, makipa walichukuliwa kuwa na kazi moja tu, nayo ni kuzuia mpira usiingie wavuni. Kipa alikuwa ni mchezaji pekee anayeweza kutumia viungo vyake vyote katika soka ikiwemo mikono, akiwa amevaa jezi tofauti na wenzake na alionekana kuwa tofauti kabisa na wengine uwanjani. Kwa miaka ya hivi karibuni, maisha ya makipa…

Read More

ZRA yakusanya asilimia 102 ya mapato

Pemba. Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA), imesema ongezeko la ukusanyaji wa mapato umekuwa ukiimarika sababu kubwa ikitajwa matumizi ya mifumo na kutatua changamoto za walipa kodi. Akitoa taarifa ya makusanyo kwa waandishi wa habari leo Jumapili Novemba 3, 2024, Kaimu Kamishna Mkuu wa ZRA, Said Ali Mohamed amesema ongezeko hilo pia limetokana na kuimarishwa kwa…

Read More

Sababu Fountain v Alliance kusogezwa mbele

MCHEZO kati ya Fountain Gate Princess na Alliance Girls uliopangwa kuchezwa kesho Novemba 5 kwenye Uwanja wa Jamhuri Dodoma umesogezwa hadi keshokutwa Novemba 6 kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa mkoani Manyara. Inaelezwa sababu ya mechi hiyo kusogezwa mbele ni kutokana na Fountain Gate kuomba mechi ichezwe Babati hivyo imesogezwa ili kupata muda mzuri wa kujiandaa….

Read More

Tawa yamuua kiboko Magu, wananchi wagawiwa nyama

Magu. Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (Tawa) imemuua kiboko ambaye amekuwa msumbufu na kuhatarisha usalama wa wananchi wa Kijiji cha Ilungu, Kata ya Nyigogo, wilayani Magu Mkoa wa Mwanza. Wananchi wa maeneo hayo kwa kipindi kirefu wamekuwa katika hali ya wasiwasi kutokana na kuwapo kwa mnyama huyo aliyeuawa leo Jumapili, Novemba 3, 2024 na…

Read More