Rais wa Caf ashtakiwa Dar, kesi kunguruma kesho

KESI inayomhusisha bilionea wa Afrika Kusini na rais wa CAF, Patrice Motsepe na kampuni zake inatarajiwa kusikilizwa kesho, Jumatatu katika Divisheni ya Kibiashara ya Mahakama Kuu ya Tanzania jijini Dar es Salaam. Kampuni ya Tanzania, Pula Group, imefungua kesi dhidi ya Motsepe na kampuni zake zikiwemo African Rainbow Minerals, African Rainbow Capital na ARCH Emerging…

Read More

Utitiri wa bodaboda, bajaji vurugu tupu

Dar es Salaam. Licha ya usafiri wa pikipiki na bajaji kuonekana mkombozi kwa abiria, vyombo hivyo vimelalamikiwa kwa uvunjifu wa sheria za barabarani na kuwa kero kwa watumiaji wengine. Malalamiko hayo ni pamoja na madereva wa vyombo hivyo kutojali watumiaji wengine huku wakijiona kuwa na haraka kiasi cha kutozingatia sheria za usalama barabarani na hata…

Read More

Kesi dhidi ya Rais wa CAF kusikilizwa kesho

KESI inayomhusisha bilionea wa Afrika Kusini na rais wa CAF, Patrice Motsepe na kampuni zake inatarajiwa kusikilizwa kesho, Jumatatu katika Divisheni ya Kibiashara ya Mahakama Kuu ya Tanzania jijini Dar es Salaam. Kampuni ya Tanzania, Pula Group, imefungua kesi dhidi ya Motsepe na kampuni zake zikiwemo African Rainbow Minerals, African Rainbow Capital na ARCH Emerging…

Read More

Lori la chuo cha Mweka laua wanafunzi wawili

Tabora. Wanafunzi wawili wa Chuo cha Wanyamapori Mweka kilichopo Moshi mkoani Kilimanjaro, wamefariki dunia baada ya lori la chuo hicho walilokuwa wakisafiria kuelekea Inyonga mkoani Katavi kwenye mafunzo kwa vitendo kupata ajali. Akizungumza na Mwananchi leo Jumapili Novemba 3, 2024, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Richard Abwao amesema ajali hiyo imetokea jana usiku eneo…

Read More

NYAKUA MKWANJA KWA KUCHEZA 20 IMPERIAL CROWN DELUXE

FURSA ya kupiga mamilioni ipo wazi leo pale ambapo utacheza mchezo wa kasino wa 20 Imperial Crown Deluxe ambao utakupa nafasi ya kujishindia kitita cha kutosha, Cheza mchezo huu leo uibuke mshindi. 20 Imperial Crown Deluxe ni mchezo wa kasino mtandaoni unaohusu matunda, mchezo huu una safu tano zilizopangwa katika mistari mitatu yenye mistari 20…

Read More

Teleza na ODDS za kibabe na Meridianbet leo

  Baada ya jana kushuhudia mechi kibao zikipigwa, halikadhalika na leo ni kama kawaida kuna mitanange ya kukata na shoka. Tengeneza jamvi lako sasa na Meridianbet. EPL leo kuna balaa mbili kwenye viwanja viwili tofauti, pale Tottenham Hotspur kutakuwa na mbungi kali kati ya Spurs vs Aston Villa ambao wanafukuzia nafasi 4 za juu. Ange…

Read More

Mashirika ya Umoja wa Mataifa yatoa wito wa kusitishwa kwa mapigano kwani vita vinazidisha hali mbaya – Masuala ya Ulimwenguni

Shambulio jipya la anga la Israel limepiga mpaka wa Joussieh, ambapo watu wengi wa Lebanon na Syria wanavuka ili kuepuka ghasia hizo. “Miundo ya kibinadamu pia imepigwa,” alisema Filippo Grandi, mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi. UNHCRkatika mtandao wa kijamii chapisho Jumamosi mapema. “Hata kukimbia (na kutunza wale wanaokimbia) inakuwa vigumu…

Read More

Kiungo Alliance aanza mikwara | Mwanaspoti

KIUNGO mshambuliaji wa Alliance Girls, Elizabeth John amesema licha ya kudondosha pointi tano anaona mwanzo ni mzuri kwao. Alliance ilianza kupoteza mechi ya kwanza 3-1 mbele ya JKT Queens kisha kutoa suluhu na Yanga Princess, Nyamagana mkoani Mwanza. Kinda huyo alisema msimu uliopita walipoteza mechi mbili za kwanza jambo lililowafanya wapige hesabu za vidole katika…

Read More