Taoussi aanza mbwembwe | Mwanaspoti
USHINDI mtamu hasa unaposhinda kwa timu kubwa kama Yanga na hii imethibitishwa na kocha wa Azam FC, Rachid Taoussi aliyesema pointi tatu ilizopata timu hiyo mbele ya Yanga ni kielelezo cha mipango imara na nidhamu ya hali ya juu kutoka kwa wachezaji, huku akiweka wazi lengo ni kujiimarisha na kuwa klabu tishio zaidi nchini. Mkwara…