Diaspora kutuma fedha moja kwa moja Tanzania

Dar es Salaam. Watanzania wanaoishi nje ya nchi (Diaspora) sasa wataweza kutuma fedha moja kwa moja nchini, baada ya kuanzishwa kwa programu ya kifedha kwa waafrika ijulikanayo kama Kuda. Kuanzishwa kwa programu hiyo huenda kutachochea kuongezeka kwa kiwango cha fedha kinachotumwa Tanzania kwa ajili ya shughuli mbalimbali, ikiwemo uwekezaji. Programu hiyo inatangazwa baada ya Kuda…

Read More

Sababu ya umeme kiduchu Zanzibar yatajwa

Unguja.  Imeelezwa kuwa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) inakabiliwa na tatizo la kiwango kidogo cha umeme kwenye laini zinazotoka Gridi ya Taifa ya Tanzania Bara. Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Nishati na Madini, John Kilangi amesema hayo leo Jumapili Novemba 3, 2024, katika kikao cha ushirikiano kilichofanyika Unguja, Zanzibar. Kilangi amesema kituo cha kupokea…

Read More

Trump, Kamala jino kwa jino kampeni za lala salama

Marekani. Zikiwa zimebaki siku mbili kufanyika uchaguzi wa Marekani, Novemba 5, 2024, wagombea urais, Donald Trump wa Republican na Kamala Harris wa Democrats, wameendelea na kampeni za lala salama katika majimbo yasiyo ngome ya chama chochote. Viongozi hao wa vyama vya Democrats na Republican walielekea jimbo la North Carolina jana Jumamosi Novemba 2, 2024 Kamala…

Read More

Ufanye nini ndoa yako ikivunjika?

Baadhi ya ndoa huvunjika haraka ilhali nyingine huonekana kuchukua muda mrefu. Haijalishi kisababishi ni nini, ndoa ikivunjika unaweza kuelemewa na hisia mbalimbali. Hisia kama vile, huzuni, hasira, maumivu, kuhofu kuhusu wakati wako ujao, upweke, kuchanganyikiwa kutokana na maamuzi unayopaswa kufanya na hisia ya kushindwa kwa sababu ya ndoto na mipango iliyoharibika. Ni muhimu kuchagua njia…

Read More

SBL yataka mazingira yenye usawa wa kodi kwenye bia

  Kampuni ya bia ya Serengeti Breweries Ltd (SBL) waishauri serikali kuzingatia kuimairsha mazingira wezeshi ya sera na kodi ili kukuza mapato ya serikali na ukomavu wa biashara nchini. SBL waliyasema haya kwenye kikao na kamati ya Bunge ya Viwanda na Biashara wikiendi hii. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). “Hali ya kodi…

Read More

Badenoch achaguliwa kuongoza chama cha Conservative Uingereza

London. Mwanamke mweusi, Kemi Badenoch ameshinda kinyang’anyiro cha kuwa kiongozi mpya wa chama cha Conservative cha Uingereza, akiahidi kukirejesha katika misingi yake ya uanzilishi na kuwarejesha wapigakura baada ya kushindwa vibaya katika uchaguzi wa Julai 2024. Badenoch (44), aliibuka kidedea kwenye kinyang’anyiro hicho dhidi ya mshindani wake wa karibu, waziri wa zamani wa uhamiaji, Robert…

Read More

Kiungo Misri moto ni uleule

NYOTA wa Tanzania, Maimuna Kaimu ‘Mynaco’ ameendelea kuwa nguzo imara kwenye eneo la kiungo la Zed FC inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake wa Misri. Ni msimu wa pili kwa Mynaco kucheza ligi hiyo ambayo msimu huu imeongezwa timu mbili, Pyramids na Al Ahly za wanawake. Licha ya timu hiyo kuongeza nyota wapya wa kimataifa na…

Read More