RAIS MSTAAFU KIKWETE AONGOZA HARAMBEE KUCHANGIA GHARAMA ZA MATIBABU KWA WATOTO KUTOKA FAMILIA ZISIZO NA UWEZO WENYE UGONJWA WA MOYO

Na Issa Michuzi Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ametoa wito kwa taasisi na watu binafsi wenye nia njema kujitokeza na kuchangia matibabu ya watoto wenye matatizo ya moyo kutoka familia zisizo na uwezo ili kuwaondolea au kupunguza mateso yanayosababishwa na maradhi hayo. Dkt. Kikwete alitoa wito huo Jumamosi…

Read More

Amapiano yapiga hodi Guru Rally

HOMA ya Guru Nanak Rally, ambayo ni raundi ya mwisho ya mbio za magari ubingwa wa taifa, inazidi kupanda huku washiriki wakizidi kujitokeza kabla ya mbio hizo kutimua vumbi Novemba 16 na 17 mwaka huu. Kutoka jijini Dar es Salaam, timu ya Amapiano inasema imepania kuweka rekodi tatu katika mbio hizi za funga msimu ambazo…

Read More

Kamati ya Bunge Yaunga Mkono Mtambo Mpya ALAF

Na Mwandishi Wetu, Michuzi Tv KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imeridhishwa na kasi ya ujenzi wa mtambo mpya wa mabati ya rangi wa ALAF Limited na kuitaka serikali iweke mazingira mazuri ya uzalishaji na biashara kwa ujumla ili kiwanda hicho kiweze kuzalisha zaidi na kutengeneza faida. Kauli hiyo imetolewa…

Read More

Kocha Transit Camp afichua jambo

KOCHA mkuu wa Transit Camp, Ally Ally amesema sababu kubwa ya timu hiyo kutokuwa na mwenendo mzuri hadi sasa ni kutokana na washambuliaji kukosa umakini wa kutumia vyema nafasi wanazopata, huku akiweka wazi ugeni wake pia ni sababu nyingine. Kauli ya kocha huyo inajiri baada ya kikosi hicho kucheza michezo saba na kati ya hiyo…

Read More

Alama alizoacha Jaji Kipenka enzi za uhai wake

Dar es Salaam. “Maisha ya Mwanadamu ni kama Hadithi tu, Basi ewe ndugu yangu kuwa hadithi nzuri kwa hao watakaosimuliwa” Hii ni kauli iliyowahi kutolewa na hayati Ali Hassan Mwinyi, ambaye alikuwa Rais wa awamu ya pili. Kauli hiyo inaendana na kilichoachwa na Jaji mstaafu wa Mahakama ya Rufani, Kipenka Msemembo Mussa (69) aliyefariki dunia…

Read More

Mido achungulia dirisha dogo mapema

KIUNGO wa Cosmopolitan, Gilbert Boniface amesema moja ya malengo yake makubwa ni kuhakikisha anapambana ili kucheza Ligi Kuu Bara, wakati dirisha dogo la usajili litakapofunguliwa Desemba mwaka huu, kwa ajili ya kutafuta changamoto mpya. Nyota huyo aliyefunga bao moja msimu uliopita akiwa na kikosi hicho, alisema ni muda sasa wa kuangalia fursa mpya baada ya…

Read More

Wakulima wa mwani Lindi wafikisha kilio chao kwa Waziri Jafo

Lindi. Ukosefu wa vitendea kazi na masoko ya uhakika ya zao la mwani ni changamoto zinazowakabili wajasiriamali na wakulima wa zao hilo mkoani Lindi, jambo linalowafanya wasinufaike nalo. Wakizungumza kwa nyakati tofauti Jumamosi Novemba 2, 2024 kwenye uzinduzi wa gulio la bidhaa za ushonaji na usindikaji na fursa za biashara, wakulima na wajasiriamali wa zao…

Read More

Hakimu atimiza siku 2,500 akipigania haki mahakamani

Dar es Salaam. Kuna usemi unaosema ‘haki siku zote haiombwi bali inadaiwa,’ hivi ndivyo unaweza kuelezea safari ya siku 2,500 za aliyekuwa Hakimu Mkazi Pangani mkoani Tanga, Hamis Bally kupigania haki yake katika mhimili alioufanyia kazi. Bally aliachishwa kazi Januari 31, 2016 baada ya Kamati ya Maadili ya Maofisa wa Mahakama kumuona ana hatia katika…

Read More