Rais Samia kufanya ziara ya siku tatu Cuba

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara ya kitaifa ya siku tatu nchini Cuba kuanzia Novemba 6, 2024. Jana Jumamosi, Novemba 2, 2024, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo aliongoza kikao cha ujumbe wa Serikali ya Tanzania uliowasili Havana, Cuba kwa ajili…

Read More

Hitilafu yakwamisha treni ya SGR Dar-Dodoma

Dar es Salaam. Hitilafu iliyotokea katika mfumo ya uendeshaji wa treni ya umeme imesababisha mvurugiko wa ratiba za treni hiyo jambo ambalo limewafanya baadhi ya abiria kukwama katika stesheni tofauti. Abiria hao waliokuwa wakisafiri kwa nyakati tofauti walijikuta njia panda baada ya muda ambao walipaswa kusafiri kufika lakini safari hazikufanyika. Kufuatia suala hilo, TRC kupitia…

Read More

Latra kuondoa vipanya mijini, yaanza na Mwanza

Dar es Salaam. Huenda siku chache zijazo, gari ndogo za abiria aina ya ‘Hiace’ zikaondolewa kabisa katikati ya miji mikubwa yote kufuatia utekelezaji wa mkakati maalumu wa kupunguza msongamano wa vyombo vya moto unaofanywa na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (Latra). Mkakati huo unalenga kuhakikisha leseni za kusafirisha abiria katika miji mikubwa zinazotolewa zinakuwa ni…

Read More

COP16 Huwasilisha kwa Watu Asilia, Mfuatano wa Kidijitali, Lakini Inashindikana Kwenye Fedha – Masuala ya Ulimwenguni

Picha ya mwanamke wa kiasili katika Mkutano Mkuu katika kikao cha COP16 ambacho kilichukua uamuzi wa kihistoria juu ya watu wa kiasili na jumuiya za mitaa. Mkopo: Stella Paul/IPS na Stella Paul (cali, Colombia) Jumapili, Novemba 03, 2024 Inter Press Service CALI, Columbia, Nov 03 (IPS) – Mapazia yaliangukia kwenye Mkutano wa 16 wa Vyama…

Read More

Mpole akata tamaa, lakini… | Mwanaspoti

STRAIKA George Mpole ni kama amekata tamaa mapema kutokana na matokeo mabaya iliyonayo timu ya Pamba Jiji ambayo ndio pekee haijaonja ushindi Ligi Kuu Bara msimu huu ikiwa imecheza mechi 10, kufungwa tano na sare tano, akisema haoni kitu kitakachowaokoa kama sio kukaza buti. Mpole amesema kama mchezaji anatamani kuondokana na jinamizi hilo, lakini halitawezekana…

Read More

Geita Gold gari limewaka, Arusha kuna Dabi ya Monduli

LICHA ya kuanza kwa kuchechemea katika Ligi ya Championship, Geita Gold imejipata na gari limewaka huku winga wa timu hiyo, Yusuph Mhilu akitoboa siri kuwa wachezaji wameelewa, kupata muunganiko na tayari benchi la ufundi limeshapata kikosi cha kwanza na kujua namna ya kuipanga timu yao. Timu hiyo iliyoshuka kutoka Ligi Kuu Bara msimu uliopita, inaongoza…

Read More

Fadlu ashtukia jambo, ajipanga kivingine

KOCHA wa Simba, Fadlu Davids, ameshtuka kutokana na ugumu aliokumbana nao katika mechi za ugenini hasa kwenye viwanja vigumu na kisha kupanga mikakati mipya ya kuhakikisha wanafanya mambo makubwa kuwapa burudani mashabiki na wapenzi wa timu hiyo sambamba na timu kushinda kiulaini. Simba juzi ililazimika kusubiri dakika za majeruhi kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi…

Read More

Vijana kusaidia wazazi ni wajibu au fadhila?

Dar es Salaam. Ukipata mshahara wako wa kwanza utautumia kufanya nini? Ni swali ambalo majibu yake yanatafsiri mengi kuhusu mitazamo ya vijana juu ya maisha yao baada ya kipato cha uhakika. Ukiachana na malengo mengine, mgawo kwa wazazi ni sehemu ya malengo ya kipato cha kwanza kwa vijana wengi nchini, kama wanavyosimulia wenyewe. Ingawa kutoa…

Read More

Mafanikio ya ndoa na uhalisia wa changamoto

Ni watu wangapi wanatamani wangekuwa matajiri, kwa wale ambao si matajiri au ni matajiri lakini siyo matajiri wakubwa? Wangapi wanatamani kuoa au kuolewa na watu wenye mafanikio yawe kifedha, kielimu hata kimadaraka ambao ndiyo tunawaita matajiri? Bila shaka ni wengi. Mafanikio au utajiri, una changamoto zake, hasa kutokana na wahusika wanavyojiona au wanavyoonekana kwa wengine….

Read More

Utoro mawaziri bungeni, mpira warejeshwa kwa spika

Dodoma. Sakata la utoro wa mawaziri, naibu mawaziri na wabunge bungeni limewaibua wachambuzi wa masuala ya siasa baadhi wakirudisha mpira kwa Spika wa Bunge kutumia kanuni kukomesha hali hiyo. Baadhi ya waliozungumzia suala hilo wamesema linachangiwa na homa ya uchaguzi majimboni mwao. Oktoba 31, 2024, Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson alisema kutokuwapo mawaziri bungeni…

Read More