TFS WATUMIA MICHEZO KUHAMASISHA JAMII KUHIFADHI MISITU

Wakala wa Uhifadhi wa Misitu Nchini (TFS) wameeandaa bonanza la michezo lenye lengo la kujenga mahusiano, ushirikiano na kuhamasisha jamii katika uhifadhi wa misitu ambalo limewakutanisha washiriki zaidi ya mia mbili (250) kutoka katika kanda nane za Uhifadhi nchini. Akizungumza wakati akizindua bonanza hilo Jijini Arusha KamshinaMsaidizi Mwandamizi wa TFS CPA (T) Peter Mwakosya akimwakilisha…

Read More

Wanafunzi Hazina watia fora vipaji katika sayansi

Na  Mwandishi Wetu SERIKALI imeipongeza Shule ya Hazina ya Magomeni jijini Dar es Salaam kutokana na mafanikio ya kitaaluma na mchango wake kwa serikali katika sekya ya elimu. Pongezi hizo zilitolewa mwishoni mwa wiki na Mdhibiti Ubora wa Elimu kutoka Wizara ya Elimu, Albert Mutalemwa wakati wa mahafali ya shule ya awali na msingi  Hazina…

Read More

DKT. BITEKO AHIMIZA UPENDO, AMANI NA USHIRIKIANO SENGEREMA

*Asisitiza wananchi kushiriki Uchaguzi Wa Serikali za Mitaa kwa amani, Sengerema inahitaji maendeleo na si maneno Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amehimiza upendo, amani na ushirikiano miongoni mwa wananchi wa Sengerema ili waweze kujiletea maendeleo. Dkt. Biteko ameyasema hayo…

Read More

Mtoto Malik aliyekatwa koo sasa apona

Dar es Salaam. Malik Hashim (6) aliyesota Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa siku 107 akitibiwa koo, sasa amepona kabisa. Mtoto huyo anayeishi Goba Kinzudi Dar es Salaam, alifikishwa hospitalini hapo Julai 15, mwaka huu baada ya kushambuliwa na kitu chenye ncha kali  na mtumishi wao wa ndani. Akizungumza na Mwananchi Novemba Mosi, Mkuu wa…

Read More