WAZIRI JAFO AITAKA SIDO KUTENGENEZA MASHINE ZA KUCHAKATA MWANI NA KUKAMUA MAFUTA KWA WAJASILIAMALI LINDI

    Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Selemani Jafo, akizungumza wakati akizindua Maonesho ya kwanza ya gulio la bidhaa za usindikaji na ushonaji Mkoani Lindi, Novemba 02,2024. …….. Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe Dkt. Selemani Jafo (Mb) ameliagiza Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO) kutengeneza mashine za kuchakata mwani na kukamua mafuta…

Read More

Tanzania yapanda viwango vya uhuru wa habari

Dar es Salaam. Tanzania imepanda katika viwango vya uhuru wa habari kutoka nafasi ya 143 mwaka 2023 hadi nafasi ya 97 mwaka huu. Takwimu hizo ni kwa mujibu wa ripoti ya Taasisi ya Waandishi wa Habari wasio na Mipaka (RSF). Hata hivyo, Serikali ya Tanzania ina kila sababu ya kuongeza nguvu ya kuwalinda waandishi wa…

Read More

Kilichoiua Yanga kwa Azam | Mwanaspoti

KADI nyekundu ya moja kwa moja aliyopewa beki wa kati Ibrahim Bacca dakika ya 21 tu, imeiponza Yanga kupoteza mechi ya kwanza ya Ligi Kuu Bara msimu huu mbele ya Azam FC na kutibuliwa rekodi mbalimbali ilizokuwa nazo msimu huu ikiwamo kupoteza uwanja wa nyumbani tangu msimu uliopita. Yanga iliyokuwa imecheza mechi zaidi ya 50…

Read More

WAZIRI JAFO AIAGIZA SIDO KUTENGENEZA MASHINE ZA KUCHAKATA MWANI

Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Selemani Jafo, akizungumza wakati akizindua Maonesho ya kwanza ya gulio la bidhaa za usindikaji na ushonaji Mkoani Lindi, Novemba 02,2024. …….. Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe Dkt. Selemani Jafo (Mb) ameliagizaShirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO) kutengeneza mashine za kuchakata mwani na kukamua mafuta ya ufuta kwa…

Read More

Wadau wamvaa Mdoe | Mwanaspoti

TUKIO la mwamuzi wa kati, Omar Mdoe aliyechezesha pambano la Mashujaa na Simba na kuonekana aki msukuma Yusuf Dunia wa timu wenyeji wa mchezo huo wa Ligi Kuukatika mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Simba dhidi ya Mashujaa limewaibua wadau na kutoa maoni tofauti. Mdoe alionekana kufanya tukio hilo akiwa katika harakati za kumtuliza…

Read More

Stars hairudii makosa Dar | Mwanaspoti

TAIFA Stars ina uhakika wa kucheza fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wanaocheza kwenye adhi ya nyumbani (CHAN) 2025, sambamba na Kenya na Uganda, lakini hiyo haiwafanyi wabweteke wakati kesho jioni watakapovaana na Sudan katika mechi ya marudiano ya raundi ya kwanza ya mechi za kuwania fainali hizo. Stars ililala kwa bao…

Read More

Hamza: Nimejua ukubwa wa Simba

KITENDO cha mashabiki wa Simba kuliimba sana jina la beki wa kati wa timu hiyo, Abdulrazak Hamza, kimemmfanya beki huyo kushtuka na kubaini ana kazi kubwa ya kufanya ili kuendelea kulinda heshima aliyopewa tangu ajiunge na Wekundu hao. Beki huyo alikosekana katika mechi kadhaa kutokana na kuumia na kuzua mjadala kwa mashabiki, kitu kilichomfanya Hamza…

Read More

Kipa Dodoma aanza kujihami | Mwanaspoti

KIPA wa Dodoma Jiji Mkongomani Alain Ngeleka amesema anategemea mapokezi mazuri wakati kikosi hicho kitakapopambana na Kagera Sugar katika mchezo mkali wa kusisimua wa Ligi Kuu Bara utakaopigwa kesho, kwenye Uwanja wa Kaitaba, Bukoba. Kauli ya kipa huyo inatokana na kuwahi kuichezea timu hiyo kabla ya kujiunga na Dodoma Jiji msimu huu ambapo anaamini atapata…

Read More