STEVEN Mukwala amefunga bao la pili katika Ligi Kuu Bara wakati akiipa Simba ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mashujaa, kisha kuitoa msimamo wake akisema
Month: November 2024

Dar es Salaam. Kutoweka katika mazingira ya kutatanisha kwa Mkurugenzi wa Dar24 Media, Maclean Mwaijonga kumeongeza kilio cha kuongezwa kazi ya uchunguzi wa matukio ya

Jumla ya Shilingi Bilioni 16 na Milioni 495 zinatarajiwa kutumika katika ujenzi na Maboresho makubwa ya Masoko ya Kimkakati Kata ya Mwanga na Soko la

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawaka za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI Mhe. Zainabu Katimba amesema kukamilika kwa Miradi ya TACTIC mkoani

KIPA wa Tanzania Prisons, Mussa Mbisa ameelezea uzoefu wa kukaa langoni umempa akili kwamba kuna wakati anakumbana na mipira yenye kasi tofauti, anapokuwa katika harakati

“Katibu Mkuu ameshangazwa na idadi kubwa ya raia wanaouawa, kuwekwa kizuizini na kufukuzwa makazi, vitendo vya ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake na wasichana, uporaji

Kanali Doumbouya ametangaza uamuzi huo wakati nchi hiyo ya Afrika Magharibi iliyokabiliwa na mapinduzi ikiashiria hatua za kuimarisha zaidi mamlaka ya vikosi vya kijeshi ambavyo tayari

Arusha. Mahakama ya Rufani imemuachia huru, Yustine Robert aliyehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kutiwa hatiani kwa kumuua mkewe na watoto wake wawili. Robert alihukumiwa

Je unajua kuwa siku ya leo ndio siku ya wewe kuondoka kifua mbele kwa kubashiri na mabingwa wa ODDS KUBWA Tanzania Meridianbet kwani nafasi ya

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi ameadhimisha miaka minne ya utawala wake akiahidi kuendelea kuwaleta vijana karibu katika masuala yote ya kitaifa, huku