Mukwala: Nimewasikia! | Mwanaspoti

STEVEN Mukwala amefunga bao la pili katika Ligi Kuu Bara wakati akiipa Simba ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mashujaa, kisha kuitoa msimamo wake akisema amefurahishwa na jinsi mashabiki na benchi la ufundi kiujumla walivyompongeza, lakini amesisitiza anaamini ataendelea kuwapa raha kadri atakapopata nafasi. Mukwala alifunga bao dakika za jioni kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika,…

Read More

Kutoweka bosi Dar24 kwaibua kilio

Dar es Salaam. Kutoweka katika mazingira ya kutatanisha kwa Mkurugenzi wa Dar24 Media, Maclean Mwaijonga kumeongeza kilio cha kuongezwa kazi ya uchunguzi wa matukio ya watu kupotea au kutekwa nchini. Mwaijonga alitoweka Alhamisi Oktoba 31, 2024 alipotoka ofisi za Datavision International Ltd, zilizopo Mikocheni jirani na Rose Garden saa 11:00 jioni na hadi leo hajaonekana….

Read More

Mbisa: Tatizo mashuti ni makali

KIPA wa Tanzania Prisons, Mussa Mbisa ameelezea uzoefu wa kukaa langoni umempa akili kwamba kuna wakati anakumbana na mipira yenye kasi tofauti, anapokuwa katika harakati za kulinda timu isifungwe na bahati mbaya hutokea makosa yanayoigharimu bila kutarajia.

Read More

Mgogoro wa Sudan unaongezeka huku mashambulizi katika Al Jazirah yakisababisha watu wengi kuhama makazi yao – Masuala ya Ulimwenguni

“Katibu Mkuu ameshangazwa na idadi kubwa ya raia wanaouawa, kuwekwa kizuizini na kufukuzwa makazi, vitendo vya ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake na wasichana, uporaji wa nyumba na masoko na uchomaji wa mashamba,” Msemaji wa Umoja wa Mataifa Stéphane Dujarric alisema. taarifa iliyotolewa Ijumaa. Katibu Mkuu alionya kwamba “vitendo kama hivyo vinaweza kujumuisha ukiukwaji mkubwa…

Read More

Rufaa yamwepusha kitanzi mauaji ya mke, watoto wawili

Arusha. Mahakama ya Rufani imemuachia huru, Yustine Robert aliyehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kutiwa hatiani kwa kumuua mkewe na watoto wake wawili. Robert alihukumiwa adhabu hiyo na Mahakama Kuu Kanda ya Sumbawanga, Julai 13, 2020 kutokana na kesi ya mauaji iliyokuwa ikimkabili akidaiwa kumuua mkewe, Jackline Yustine na watoto wao Frank (6) na Elizabeth…

Read More

Jumamosi ya pesa na Meridianbet ni hii

Je unajua kuwa siku ya leo ndio siku ya wewe kuondoka kifua mbele kwa kubashiri na mabingwa wa ODDS KUBWA Tanzania Meridianbet kwani nafasi ya kuwa mshindi ni wazi sana leo. Kama kawaida tunaanza na ligi kuu ya Uingereza EPL ambayo leo hii mapema kabisa saa tisaArsenal atakuwa ugenini dhidi ya Newcastle United baada ya…

Read More

Mwinyi: SMZ itakakavyoshirikisha vijana kwenye mambo ya nchi

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi ameadhimisha miaka minne ya utawala wake akiahidi kuendelea kuwaleta vijana karibu katika masuala yote ya kitaifa, huku akichukua hatua za kutatua changamoto zinazowakabili. Akizungumza katika kilele cha maadhimisho ya miaka minne ya utawala wake kwenye uwanja wa Gombani, Pemba, leo Novemba 2, 2024, Dk Mwinyi amesisitiza kuwa…

Read More