Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: November 2024

  • Home
  • 2024
  • November
  • Page 258
Michezo

Ishu ya straika Simba giza nene, ndugu wafunguka

November 2, 2024 Admin

UNAKWENDA mwezi wa tatu sasa bila ya wapenzi na mashabiki wa Ligi Kuu ya Wanawake nchini (WPL), kumshuhudia uwanjani aliyekuwa kinara wa mabao msimu uliopita,

Read More
Habari

AKU yaadhimisha Siku ya Waandishi Dar

November 2, 2024 Admin

Dar es Salaam. Serikali imeshauriwa kukusanya takwimu kuhusu idadi ya watu wanaopenda kusoma vitabu ili kuendelea kuhimiza tabia ya usomaji kwa Watanzania. Takwimu hizo zitasaidia

Read More
Habari

Bodaboda Mabibo wawafadhili mabondia wa ngumi

November 2, 2024 Admin

-Wasema wanarudisha faida kwa jamii, na waishukuru serikali kuingiza pikipiki Na Chalila Kibuda,Michuzi TV Umoja wa Maafisa Usafirishaji wa Bodaboda Mabibo Mwisho (BMM) umesema kuwa

Read More
Habari

Dosari zipatiwe ufumbuzi kuelekea uteuzi wa wagombea

November 2, 2024 Admin

Dar es Salaam. Uchaguzi wa serikali za mitaa uliopangwa kufanyika Novemba 27, 2024, unatoa fursa kwa wananchi kuchagua viongozi wa ngazi ya mitaa, vijiji, na

Read More
Kimataifa

Masharti yanazorota kutokana na Kuendelea kwa Ghasia za Magenge nchini Haiti – Masuala ya Ulimwenguni

November 2, 2024 Admin

na Oritro Karim (umoja wa mataifa) Jumamosi, Novemba 02, 2024 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Nov 02 (IPS) – Kutokana na kudorora kwa kukosekana

Read More
Habari

SERIKALI KUENDELEA KUKUZA MATUMIZI YA LUGHA YA KISWAHILI KIKANDA NA KIMATAIFA

November 2, 2024 Admin

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Cosato Chumi (Mb.) ameliambia Bunge kuwa Serikali itaendelea kutekeleza mikakati mbalimbali ya kukuza

Read More
Habari

DC MKUDE AVITAKA VYAMA VYA MSINGI VYA USHIRIKA AMCOS KUTOA ELIMU KUHUSU PAMBA

November 2, 2024 Admin

Mkuu wa Wilaya ya Kishapu, Mkoani Shinyanga, Mhe. Joseph Mkude Na Sumai Salum – Kishapu Mkuu wa Wilaya ya Kishapu, Mkoani Shinyanga, Mhe. Joseph Mkude,

Read More
Habari

WANAFUNZI SUA WATAKIWA KUFUATA SHERIA NA MIONGOZO YA WIZARA YA ELIMU

November 2, 2024 Admin

 NA FARIDA MANGUBE MOROGORO Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)  Prof. Raphael Chibunda amewataka wanafunzi waliopata fursa ya kujiunga na chuo

Read More
Habari

Mjumbe aeleza jinsi Sinodi ilivyoridhia, Askofu Sepeku apewe zawadi

November 2, 2024 Admin

Dar es Salaam. Aliyekuwa mjumbe wa kikao cha Sinodi cha Kanisa la Anglikana Tanzania, kilichoketi Machi 1980, Ernest Mwenewanda(79), amedai kuwa aliyekuwa Askofu Mkuu wa

Read More
Habari

Polisi waingia nyumbani kwa Nabii GeorDavie,wakabidhiwa gari ya Million 30 aliyoitengeneza

November 2, 2024 Admin

Nabii Mkuu Dkt GeorDavie amekabidhi gari moja la mkuu wa kituo cha polisi Tengeru kati ya mawili anayoyatengeneza kwa jeshi la polisi Mkoani Arusha kwa

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 257 258 259 … 273 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.