Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: November 2024

  • Home
  • 2024
  • November
  • Page 259
Habari

Polisi yaanza uchunguzi kutoweka kwa bosi wa Dar24

November 2, 2024 Admin

Dar es Salaam. Ikiwa ni siku moja tangu taarifa ya kutoweka kwa Mkurugenzi wa Dar24 Media, Maclean Mwaijonga zisambae katika mitandao ya kijamii, Jeshi la

Read More
Habari

Udumavu unachangia tatizo la kufikiri

November 2, 2024 Admin

Wananchi katika Halmashauri ya wilaya ya Geita wameshauliwa kula chakula kwa kuzingatia Makundi sita ya Lishe Bora ili kuepukana na Magonjwa yasiyo ya Kuambukiza.  

Read More
Habari

WANAWAKE WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA – MICHUZI BLOG

November 2, 2024 Admin

    Na Mwandishi Wetu Michuzi TV  KAIMU Mkurugenzi wa Halmashauri ya Ilala, Tabu Shaibu, amewashauri wanawake wote kuchangamkia fursa zinazojitokeza ili ziwasaidie kujiinua kiuchumi

Read More
Michezo

Ibenge: Kwa Yanga hii, nina kazi ya kufanya

November 2, 2024 Admin

KOCHA Mkuu wa Al Hilal ya Sudan, Florent Ibenge amesema, kitendo cha kuwa kundi moja na mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga katika hatua

Read More
Habari

Hekaya ya Fyatu Mfyatuzi na Katiba

November 2, 2024 Admin

Kwa wanaofuatilia rubaa za kimataifa watakuwa wanajua msiba mzito uliotokea kaya ya jirani. Si wamemfyatua mtukufu mpendwa, msemahovyo, sorry, ‘msemakweli’ makamu wa rahis, kiasi cha

Read More
Habari

WABOBEZI MUHIMBILI WAREJESHA 100% SAUTI YA MTOTO MALIKI HASHIMU (GOBA

November 2, 2024 Admin

    Sauti ya mtoto Maliki Hashimu (6), mkazi wa Goba, Jijini Dar es Salaam imerejea kwa 100% baada ya kukamilisha hatua zote za matibabu

Read More
Michezo

Kocha Minziro awatuliza mashabiki Pamba Jiji 

November 2, 2024 Admin

LICHA ya Pamba Jiji kushindwa kukusanya pointi za kutosha katika mechi kumi ilizocheza hadi sasa katika Ligi Kuu, kocha wa Pamba Jiji, Fred Felix ‘Minziro’

Read More
Habari

Jaji atupa maombi vigogo wa UPDP kung’oana madarakani

November 2, 2024 Admin

Dar es Salaam. Vigogo wawili wa chama cha United Peoples Democratic Party (UPDP), waliofungua kesi mahakamani kutaka vigogo wengine wawili wa chama hicho waachie ngazi

Read More
Habari

RC KUNENGE -PWANI KUSIMAMIA MAONO YA RAIS DKT SAMIA KUVUTIA WAWEKEZAJI KWA WINGI

November 2, 2024 Admin

    Na Mwamvua Mwinyi,Pwani 2, Novemba,2024 Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ameeleza mkoa huo utaendelea kusimamia maono ya Rais Dkt. Samia Suluhu

Read More
Michezo

Yanga yakimbilia TFF kudai pointi

November 2, 2024 Admin

YANGA Princess imepeleka malalamiko Shirikisho la Soka (TFF) baada ya kugundua Alliance Girls imemtumia mchezaji wa kigeni kinyume na sheria. Oktoba 12 Uwanja wa Nyamagana

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 258 259 260 … 273 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.