Polisi yaanza uchunguzi kutoweka kwa bosi wa Dar24

Dar es Salaam. Ikiwa ni siku moja tangu taarifa ya kutoweka kwa Mkurugenzi wa Dar24 Media, Maclean Mwaijonga zisambae katika mitandao ya kijamii, Jeshi la polisi limesema limeanza uchunguzi. Taarifa iliyotolewa leo Jumamosi Novemba 2, 2024 na mmoja wa viongozi wa Datavision International Ltd, William Kihula kupitia mitandaoni, imesema, Mwaijonga ambaye pia ni mtendaji wa…

Read More

Udumavu unachangia tatizo la kufikiri

Wananchi katika Halmashauri ya wilaya ya Geita wameshauliwa kula chakula kwa kuzingatia Makundi sita ya Lishe Bora ili kuepukana na Magonjwa yasiyo ya Kuambukiza.   Kauri hiyo imetolewa na Mkuu wa wilaya ya Geita , Hashim Komba mara baada ya kuwasili katika shule ya Msingi Bugando iliyopo kata ya Nzera na kuzindua zoezi la lishe…

Read More

WANAWAKE WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA – MICHUZI BLOG

    Na Mwandishi Wetu Michuzi TV  KAIMU Mkurugenzi wa Halmashauri ya Ilala, Tabu Shaibu, amewashauri wanawake wote kuchangamkia fursa zinazojitokeza ili ziwasaidie kujiinua kiuchumi na kuepuka kuwa tegemezi Ushauri huo umetolewa leo Novemba 1,2024 Jijini Dar es salaam wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa bajaji inayotumia nishati ya umeme wa jua( Solar) kwa…

Read More

Ibenge: Kwa Yanga hii, nina kazi ya kufanya

KOCHA Mkuu wa Al Hilal ya Sudan, Florent Ibenge amesema, kitendo cha kuwa kundi moja na mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga katika hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, kitaleta ushindani zaidi baina ya miamba hiyo. Al Hilal imepangwa Kundi A la Ligi ya Mabingwa Afrika sambamba na timu za Yanga ya…

Read More

Hekaya ya Fyatu Mfyatuzi na Katiba

Kwa wanaofuatilia rubaa za kimataifa watakuwa wanajua msiba mzito uliotokea kaya ya jirani. Si wamemfyatua mtukufu mpendwa, msemahovyo, sorry, ‘msemakweli’ makamu wa rahis, kiasi cha kumtia presha hadi akalazwa na kuanguka toka kwenye utukufu akiwa kitandani. Mwaka 2014 nilialikwa na rafiki yangu al marhum Moi Kibaki kumshauri juu ya kubadili katiba ya kaya. Baada ya…

Read More

Kocha Minziro awatuliza mashabiki Pamba Jiji 

LICHA ya Pamba Jiji kushindwa kukusanya pointi za kutosha katika mechi kumi ilizocheza hadi sasa katika Ligi Kuu, kocha wa Pamba Jiji, Fred Felix ‘Minziro’ amesema kuna mabadiliko makubwa ndani ya kikosi hicho akiamini muda mfupi ujao kila kitu kitabadilika na watu kusahau machungu. Minziro ameiongoza Pamba Jiji kwenye mechi mbili kati ya kumi zilizochezwa…

Read More

Jaji atupa maombi vigogo wa UPDP kung’oana madarakani

Dar es Salaam. Vigogo wawili wa chama cha United Peoples Democratic Party (UPDP), waliofungua kesi mahakamani kutaka vigogo wengine wawili wa chama hicho waachie ngazi kwa kukiuka katiba ya UPDP, wamekwaa kisiki kortini. Moja ya hoja iliyokuwa ikilalamikiwa ni hatua ya wajibu maombi kumteua Twalib Kadege, kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…

Read More

Yanga yakimbilia TFF kudai pointi

YANGA Princess imepeleka malalamiko Shirikisho la Soka (TFF) baada ya kugundua Alliance Girls imemtumia mchezaji wa kigeni kinyume na sheria. Oktoba 12 Uwanja wa Nyamagana zilikutana timu hizo kwenye mchezo wa raundi ya pili ya wanawake na mechi ikitamatika wa sare ya bila kufungana. Baada ya Yanga kugundua kuwa timu hiyo ilifanya udanganyifu kwa kumtumia…

Read More