Mataragio: Changamoto ya kujaza gesi iishe

Dar es Salaam. Huenda msongamano kwa ajili ya kujaza gesi kwenye magari ukafikia ukomo baada ya Serikali kuagiza kituo mama kilichopo eneo la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kikamilike mwezi ujao. Kukamilika kwa kituo hiki kutawezesha utendaji wa vituo vingine vidogo vinne vitakavyokuwa vikichukua gesi hapo kwa ajili ya kuhudumia magari katika maeneo…

Read More

Serikali inaendelea kuboresha sekta ya afya -Dk. Biteko

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko, amepongeza juhudi za Serikali katika kuboresha sekta ya afya, akibainisha kuwa miradi mingi imeanzishwa ili kuongeza ufanisi wa huduma na kuboresha maisha ya Watanzania. Dk. Biteko alitoa kauli hiyo Novemba 1, 2024, akiwa Sengerema mkoani Mwanza, alipomwakilisha Rais wa Jamhuri…

Read More

Dk Biteko azihakikishia ushirikiano taasisi za dini

Sengerema. Naibu Waziri Mkuu Dk Dotto Biteko amesema Serikali itaendelea kushirikiana na taasisi za dini kuboresha huduma za afya nchini kwa lengo la kutoa huduma bora za afya kwa wananchi. Dk Biteko ametoa kauli hiyo leo Ijumaa Novemba 1, 2024 alipokuwa akizindua jengo jipya la upasuaji kwenye Hospitali Teule ya Wilaya ya Sengerema lililogharimu Sh5.4…

Read More

MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI AKUTANA NA UONGOZI WA TLS

Na Mwandishi wetu Dodoma CHAMA cha Mawakili Tanganyika (TLS) ni mdau muhimu katika kuishauri Serikali kwa kubaini mambo muhimu yaliyopo katika utekelezaji wa Sheria mbalimbali nchini hivyo kuna umuhimu mkubwa wakaendelea kushirikiana na Ofisi ya Mwansheria Mkuu wa Serikali. Mwanasheria Mkuu wa Serikali ameyasema hayo Leo tarehe 1 Novemba, 2024 ofisini kwake Bungeni jijini Dodoma…

Read More

TARI YAWAKUTANISHA WADAU WA AFYA YA UDONGO

Na Mwandishi Wetu,Dodoma Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) imewakutanisha wadau mbalimbali wanaojishughulisha katika mnyororo wa thamani wa afya ya udongo ili kubaini changamoto za afya ya udongo zinazowakabili Wakulima pamoja na kuweka njia sahihi na endelevu za kutatua changamoto hizo kupitia mafunzo. Hatua hiyo ni Utekelezaji wa Mradi unaolenga kujenga uwezo wa kitaasisi…

Read More

Jiooooni sanaa, Straika refu lainusuru Simba Kigoma

USIMKATIE mtu tamaa, ndio maneno ambayo unaweza kuyatumia kwenye ushindi wa Simba ikiwa ugenini baada ya kuichapa Mashujaa kwa bao 1-0, ushindi ukipatikana sekunde za mwisho huku mfungaji akiwa yule aliyekuwa anadhaniwa hawezi kuisaidia. Simba ilipata bao hilo katika dakika ya saba kati ya sita zilizoongezwa na mwamuzi Omary Mdoe kutoka Tanga baada ya zile…

Read More