MKOPO WA DKT SAMIA NI SALAMA KWA WATANZANIA

Mwenyekiti wa UWT Taifa Ndg. Mary Pius Chatanda(MCC) amewataka wanawake wafanyabiashara wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma kuachana na *mikopo ya kausha damu, ujinga na mwendokasi* inayowanyanyasa na kuwadhalikisha wanawake kutokana na muda wa marejesho na kiwango cha riba kuwa kikubwa na hivyo badala ya kujikwamua kiuchumi inaongeza umasikini zaidi. Akizungumza katika Uzinduzi wa Umoja…

Read More

Meridianbet inakupa ushindi wa uhakika leo

Tayari wikendi ndiyo hiyo inaanza ambapo leo hii unaweza ukatafuta mtaji wako wa maana kabla ligi hazijaanza kuchanganya. Beti na Meridianbet kwa mechi zinazoendelea hii leo. Ligi kuu ya Ujerumani BUNDESLIGA kutakuwa na mtanange wa moto kwani bingwa mtetezi Bayer Leverkusen atakipiga dhidi ya VFB Stuttgart ambao wapo nafasi ya 8 wakiwa wamepitwa pointi 3…

Read More

40 Lucky Sevens mkwanja nje nje

  Mchezo wa kasino ambao unaweza kukuhakikishia maisha Ijumaa ya leo ni 40 Lucky  Sevens ambayo itakupa fursa ya kuondoka na mkwanja wa kutosha na kuanza wikiendiyako vizuri kabisa. 40 Lucky Sevens ni mchezo wa sloti kutoka kasino ya mtandaoni kutoka kwa mtoa huduma“Game Art“. Utapenda mchezo huu ikiwemo aina mbili za alama ya scatter….

Read More

Israel haitaki kusitisha vita – DW – 01.11.2024

Shirika la habari la taifa la Lebanon limeripoti kuwa mashambulizi hayo yamesababisha uharibifu mkubwa katika maeneo yaliyolengwa, huku majengo kadhaa yakigeuzwa vifusi, pamoja na kuzuka kwa moto na kuongeza kuwa mashambulizi pia yalilenga mji wa Aley, ambao upo kusini mashariki mwa mji mkuu, na mwingine Bint Jbeil kusini mwa nchi. Jeshi la Israel limesema linaendelea…

Read More

Dk Mpango aanika ya kuchota kwa Musuguri

Dar es Salaam. Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amesema vijana wanapaswa kuipenda nchi na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa moyo wote na kuwa tayari kulilinda Taifa kwa gharama yoyote kama alivyofanya Jenerali mstaafu David Musuguri. Amesema Watanzania wote wanapaswa kujitoa, hata ikibidi kufa kwa ajili ya kulinda na kutetea uhuru,…

Read More