Kiongozi mpya wa Hezbollah aahidi kuendeleza vita

Lebanon. Kiongozi mpya wa kundi la Hezbollah nchini Lebanon, Naim Qassem amesema yuko tayari kuendeleza mpango wa vita ulioachwa mtangulizi wake aliyeuawa na Israel, Hassan Nasrallah. Akizungumza kwa mara ya kwanza baada ya kuchaguliwa wiki hii, Qassem amesema: “Mpango wangu wa utekelezaji wa vita ni mwendelezo wa kiongozi wetu, Sayyed Nasrallah.” Aidha, katika taarifa hiyo,…

Read More

January Makamba, Rostam wavutia wawekezaji Tanzania

London. Waziri wa zamani, January Makamba na mfanyabiashara maarufu Rostam Aziz wamewaomba wakuu wa kampuni za kimataifa na wawekezaji kuwekeza nchini Tanzania. Wametoa wito huo Oktoba 31, 2024 baada ya kushiriki mkutano wa Financial Times Africa 2024, uliofanyika jijini London, Uingereza Oktoba 29-30, 2024 kwa lengo la kuvutia uwekezaji zaidi wa kigeni katika nchi hiyo….

Read More

MAANA YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KUIFUNGUA NCHI.

  Tangu aingie madarakani Machi 2021 hadi Agosti 2024, Rais Samia Suluhu Hassan ameufungua  uchumi wa Tanzania kwa dunia na kujenga mazingira bora ya biashara za kimataifa.  Matokeo ya juhudi hizi yanaonekana wazi katika ukuaji wa biashara yetu kimataifa, kutoka USD 17.4 bilioni (Mauzo nje – $8.4bn, Uingizaji bidhaa – $9bn) hadi kufikia USD 31.4…

Read More

Boni Yai agusia mgombea urais wa Chadema 2025

Dar es Salaam. Wakati maswali yakiendelea kugonga vichwa vya watu ndani na nje ya Chama cha Demokrasi na Maendeleo (Chadema) kuhusu nani atakuwa mgombea urais mwakani, Boniface Jacob maarufu Boni Yai amesema, “Mwaka 2025 huenda kukawa na ‘surprise’ kubwa kuliko nyingine yoyote au watu wanavyotegemea.” Jacob ambaye ni Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani ya Chadema…

Read More

Alichokisema Makamba kuhusu uwekezaji nchini

London. Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amewaomba wakuu wa kampuni za kimataifa na wawekezaji kutumia fursa za uwekezaji zilizopo nchini Tanzania. January ambaye pia ni mbunge wa Bumbuli mkoani Tanga, ametoa wito huo jana Oktoba 31, 2024 baada ya kushiriki mkutano wa Financial Times Africa 2024 uliofanyika…

Read More

Uhondo wa Championship kuendelea tena kesho

UHONDO wa Ligi ya Championship unaendelea kushika kasi na baada ya jana kupigwa michezo mitatu, kesho itapigwa mingine miwili kwenye viwanja mbalimbali, ili kuzisaka pointi tatu muhimu za kukata tiketi ya kucheza Ligi Kuu Bara msimu ujao. Mtibwa Sugar iliyochapwa bao 1-0, mechi iliyopita dhidi ya Geita Gold, itakuwa kwenye Uwanja wa Manungu Complex, mjini…

Read More