Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: November 2024

  • Home
  • 2024
  • November
  • Page 265
Michezo

SERIKALI IMETEKELEZA MIRADI MINGI SEKTA YA AFYA-DKT. BITEKO

November 1, 2024 Admin

Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amesema kuwa Serikali imeendelea kutekeleza

Read More
Habari

Mahakama yaamuru ‘Boni Yai’ kutoa nywila, akimbilia Mahakama Kuu

November 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Meya wa zamani wa Manispaa ya Kinondoni na Ubungo, kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amekimbilia Mahakama Kuu kupinga amri

Read More
Habari

Kiongozi mpya wa Hezbollah aahidi kuendeleza vita

November 1, 2024 Admin

Lebanon. Kiongozi mpya wa kundi la Hezbollah nchini Lebanon, Naim Qassem amesema yuko tayari kuendeleza mpango wa vita ulioachwa mtangulizi wake aliyeuawa na Israel, Hassan

Read More
Habari

Dylan Mobetto amelamba Shavu la kujiunga na Juventus Academy

November 1, 2024 Admin

Mtoto wa Staa wakike bongo Hamisa Mobetto ambaye anaitwa Dylan Mobetto amelamba Shavu la kujiunga na Academy ya timu ya mpira ya Juventus hapa bongo

Read More
Habari

January Makamba, Rostam wavutia wawekezaji Tanzania

November 1, 2024 Admin

London. Waziri wa zamani, January Makamba na mfanyabiashara maarufu Rostam Aziz wamewaomba wakuu wa kampuni za kimataifa na wawekezaji kuwekeza nchini Tanzania. Wametoa wito huo

Read More
Habari

MAANA YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KUIFUNGUA NCHI.

November 1, 2024 Admin

  Tangu aingie madarakani Machi 2021 hadi Agosti 2024, Rais Samia Suluhu Hassan ameufungua  uchumi wa Tanzania kwa dunia na kujenga mazingira bora ya biashara

Read More
Habari

Boni Yai agusia mgombea urais wa Chadema 2025

November 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wakati maswali yakiendelea kugonga vichwa vya watu ndani na nje ya Chama cha Demokrasi na Maendeleo (Chadema) kuhusu nani atakuwa mgombea urais

Read More
Habari

Alichokisema Makamba kuhusu uwekezaji nchini

November 1, 2024 Admin

London. Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amewaomba wakuu wa kampuni za kimataifa na wawekezaji kutumia fursa za

Read More
Habari

SHIRIKA LA SHUJAAZ, ILRI WAISHAURI JAMII KUSIKILIZA MABINTI WAFUGA KUKU

November 1, 2024 Admin

Na Linda Akyoo-Siha SHIRIKA la SHUJAAZ kwa kushirikiana na Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa Mifugo (ILRI) imeitaka jamii kufanya mazungumzo na vijana wa kike

Read More
Michezo

Uhondo wa Championship kuendelea tena kesho

November 1, 2024 Admin

UHONDO wa Ligi ya Championship unaendelea kushika kasi na baada ya jana kupigwa michezo mitatu, kesho itapigwa mingine miwili kwenye viwanja mbalimbali, ili kuzisaka pointi

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 264 265 266 … 273 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.