Benki ya Dunia yaridhisha maradi wa HEET chuo Kikuu Mzumbe

Benki ya Dunia imeonesha kuridhishwa na hatua za utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa majengo ya kisasa pamoja na kituo cha kuendeleza ubunifu (incubation center) katika Chuo Kikuu Mzumbe. Mradi huu, unaogharimu shilingi bilioni 13.2, unalenga kusaidia kukuza elimu ya juu kwa kuongeza fursa za udahili na kuboresha mazingira ya kufundisha na kujifunza chuoni hapo….

Read More

Yaliyofanyika miaka minne ya Dk Mwinyi si haba

Unguja. Wakati Rais wa Zanzibar Dk Hussein Mwinyi anaingia madarakani alijipambanua kujikita katika sera ya uchumi wa buluu na kuunda wizara maalumu itakayosimamia eneo hilo. Licha ya awali dhana hiyo kutoeleweka kwa wengi na dhamira yake lakini kwa sasa inatajwa kuanza kuleta mabadiliko. Dk Mwinyi aliapishwa Novemba 2, 2020 kuingia madarakani baada ya kumshinda aliayekuwa…

Read More

Ushirikishwaji na Ujumuisishwaji wa Wanawake na Wenye Ulemavu Wasisitizwa Kuongeza Kasi ya Maendeleo

Kampuni ya Serengeti Breweries Limited (SBL) imezindua rasmi Ripoti yake ya Uendelevu ya 2024 yenye kaulimbiu ‘Kusimamia Ujumuishwaji na Ushirikishwaji’, mnamo Oktoba 31, 2024. Ripoti hii inaangazia dhamira ya SBL ya kuendeleza mazingira jumuishi ambapo watu wenye asili mbalimbali wanaweza kufanikiwa, kwa kuzingatia kuondoa vikwazo na kuleta athari chanya kwa jamii, wasambazaji, na wadau. SBL,…

Read More

Kosa la Gachagua lilianzia hapa

Oktoba 17, 2024, ilikuwa Alhamisi. Zilikuwa saa za mshawasha Kenya. Shauri la kumng’oa Naibu Rais Rigathi Gachagua, lilifikia hatua ya uamuzi kwenye Baraza la Seneti. Gachagua alipaswa kufika kwenye ukumbi wa Seneti kujitetea mashitaka dhidi yake. Taarifa ikafika Seneti kuwa Gachagua ni mgonjwa. Aliumwa ghafla kabla ya kufika Seneti, akalazwa Hospitali ya Karen, Nairobi. Spika…

Read More

Maboresho ya Mahakama Yarahisisha Upatikanaji wa Haki kwa Wananchi

Katika jitihada za kuboresha upatikanaji wa haki kisheria, Mahakama imefanya maboresho ya kanuni ambazo zimerahisisha mchakato wa kupata haki kwa wananchi, hususan kwa wajasiriamali wadogo. Maboresho haya yanapanua wigo wa wasuluhishi na kupunguza gharama za mashauri, hatua inayolenga kurahisisha upatikanaji wa haki kwa makundi yote. Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika kwenye Kituo…

Read More