Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: November 2024

  • Home
  • 2024
  • November
  • Page 267
Michezo

AKILI ZA KIJIWENI: Kwa Pacome Tuweke akiba ya maneno

November 1, 2024 Admin

PACOME atabaki Yanga kwa kuongeza mkataba mpya au ataondoka na kujiunga na timu nyingine ndivyo tunavyojiuliza hapa kijiweni. Jamaa mmoja kibabe anatamba kuwa Pacome hawezi

Read More
Habari

Dk. Mpango awataka Watanzania kumuenzi Hayati Jenerali Msuguri

November 1, 2024 Admin

  MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Philip Mpango amesema katika kumuenzi Jenerali Mstaafu David Musuguri inapaswa Watanzania wote yaani askari

Read More
Habari

Rais Masisi wa Botswana akubali kushindwa uchaguzi

November 1, 2024 Admin

Gaborone. Rais wa Botswana, Mokgweetsi Masisi amekubali kushindwa kwenye uchaguzi wa Oktoba 30, 2024 baada ya matokeo ya awali kuonyesha kuwa chama chake cha Botswana

Read More
Habari

MIAKA 63 YA UHURU : TANAPA YAWAHIMIZA WATANZANIA KUPANDA MLIMA KILIMANJARO

November 1, 2024 Admin

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV SHIRIKA la Hifadhi za Taifa Tanzania ( TANAPA) limeendelea kuwahimiza watanzania kushiriki katika Kupanda Mlima Kilimanjaro kwenye Kampeni ya TWENZETU

Read More
Michezo

Gamondi, Taoussi watambia vikosi vyao

November 1, 2024 Admin

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga, kesho Jumamosi watakuwa mwenyeji wa Azam katika mwendelezo wa ligi hiyo mchezo ukipigwa Uwanja wa Azam Complex, Dar

Read More
Habari

St Anne Marie Academy yafanya maajabu tena darasa la 7

November 1, 2024 Admin

  SHULE ya St. Anne Marie Academy ya Mbezi Kimara kwa Msuguri jijini Dar es Salaam, imeendelea kufanya maajabu kwenye mitihani ya darasa la saba

Read More
Habari

Makosa ya kura leo yatakupa maumivu miaka mitano ijayo

November 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Kila wakati wa uchaguzi kaulimbiu za kisiasa hushika kasi, wagombea hutoa ahadi na wapigakura wengi hujikuta kwenye mtihani wa kufanya uamuzi. Ingawa

Read More
Habari

RC CHALAMILA AAGA MWILI WA JENERALI MSTAAFU DAVID MSUGURI

November 1, 2024 Admin

  Mkuu wa Mkoa wa Dar es Slaam Mhe Albert Chalamila leo Novemba 01,2024 ameungana na vingozi mbalimbali pamoja na mamia ya wakazi wa Mkoa

Read More
Habari

Kenya yampata naibu mpya wa rais Kithure Kindiki – DW – 01.11.2024

November 1, 2024 Admin

Kindiki ameapishwa rasmi Ijumaa(01.11.2024) kuwa naibu wa rais wa tatu baada ya Rigathi Gachagua kutimuliwa katikati ya mwezi Oktoba kwa makosa ya ufisadi, kukiuka katiba

Read More
Habari

Kilio cha dawa kwa wenye changamoto ya afya ya akili

November 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wakati takwimu zinaonyesha kuna ongezeko la wanaougua magonjwa ya akili nchini, hali ya upatikanaji wa dawa kwa kundi hilo bado ni changamoto

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 266 267 268 … 273 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.