AKILI ZA KIJIWENI: Kwa Pacome Tuweke akiba ya maneno

PACOME atabaki Yanga kwa kuongeza mkataba mpya au ataondoka na kujiunga na timu nyingine ndivyo tunavyojiuliza hapa kijiweni. Jamaa mmoja kibabe anatamba kuwa Pacome hawezi kuondoka kirahisi pale mitaa ya Twiga na Jangwani. Huyu anayesema hivi ni shabiki wa kulialia wa Yanga na hapa huwa tunamtania kuwa amekunywa maji ya bendera ya Yanga. Mwanayanga huyu…

Read More

Rais Masisi wa Botswana akubali kushindwa uchaguzi

Gaborone. Rais wa Botswana, Mokgweetsi Masisi amekubali kushindwa kwenye uchaguzi wa Oktoba 30, 2024 baada ya matokeo ya awali kuonyesha kuwa chama chake cha Botswana Democratic Party (BDP) kimepoteza wingi wa wabunge, ikiwa ni takriban miongo sita kikiwa madarakani. Kukubaliwa kwa Masisi kushindwa leo Ijumaa Novemba mosi, 2024 kumekuja kabla ya matokeo ya mwisho kutangazwa…

Read More

Gamondi, Taoussi watambia vikosi vyao

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga, kesho Jumamosi watakuwa mwenyeji wa Azam katika mwendelezo wa ligi hiyo mchezo ukipigwa Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam huku kila mmoja akitambia ubora wa timu yake. Katika mchezo huo wa Dar es Salaam Dabi utakaoanza saa 12:00 jioni, Yanga itaingia uwanjani ikiwa ni timu pekee ndani…

Read More

Makosa ya kura leo yatakupa maumivu miaka mitano ijayo

Dar es Salaam. Kila wakati wa uchaguzi kaulimbiu za kisiasa hushika kasi, wagombea hutoa ahadi na wapigakura wengi hujikuta kwenye mtihani wa kufanya uamuzi. Ingawa kura ni haki ya msingi, ni wajibu wa kila mwananchi kuelewa kuwa kuchagua kwa makosa kuna gharama kubwa. Kwa maneno rahisi, makosa yako kwenye kura ya leo siyo tu yatakuathiri…

Read More

Kilio cha dawa kwa wenye changamoto ya afya ya akili

Dar es Salaam. Wakati takwimu zinaonyesha kuna ongezeko la wanaougua magonjwa ya akili nchini, hali ya upatikanaji wa dawa kwa kundi hilo bado ni changamoto kutokana na gharama kubwa zinazohitajika. Wagonjwa wa akili wanaoishi kwa kutumia dawa, hutumia kati ya Sh30,000 mpaka Sh60,000 kila mwezi kununua dawa kulingana na tatizo walilonalo na hizo ni dawa…

Read More