AKILI ZA KIJIWENI: Marefa wanashindana kufanya makosa

KUIGA kitu kizuri sio jambo baya na hasa kile kinachoigwa kinagusa moja kwa moja umma kwa hisia chanya badala ya hasi. Ukiwauliza swali marefa wengi wa kibongo kwamba wanataka kuwa kama nani basi utaorodheshewa majina ya marefa wakubwa wanaofanya vizuri duniani. Hao marefa wakubwa duniani hawajapata huo umaarufu kwa bahati ya mtende bali uchezeshaji wao…

Read More

Kicheko cha matumizi ya umeme jua kwa wakulima

Dar es Salaam. “Hakuna mfanyabiashara anayetamani kupata hasara’. Hii ni kauli ya Emmanuel Mkinga (29) mkulima wa mazao ya biashara wilayani Bagamoyo mkoani Pwani akielezea namna gharama za kuendesha shamba zinavyochangia kupunguza faida kwa mkulima. Mkinga anasema: “Unavyofanya kilimo cha biashara kama mimi, lazima uhitaji uhakika wa umwagiliaji ambao mara nyingi tunatumia mafuta katika kuendesha…

Read More

Stars kuivaa Sudan kimkakati Dar

KIKOSI cha Taifa Stars kinaendelea kujifua kwa ajili ya mechi ya marudiano ya kuwania fainali za michuano ya Mabingwa wa Afrika (CHAN) dhidi ya Sudan, huku yakitengenezwa mazingira ya kuwamaliza Wasudani walioshinda mechi ya kwanza kwa bao 1-0. Stars ilifungwa bao katika mechi iliyopigwa wikiendi iliyppita huko Mauritania ikiwa ni mchezo wa raundi ya kwanza…

Read More

SUA YAWEKA MIKAKATI KUONGEZA FEDHA MAPATO YA NDANI

    NA FARIDA MANGUBE  SUA imeiomba Benki ya Dunia kupitia Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET) pindi watakapoongeza fedha za maendeleo katika vyuo vikuu kuangazia maeneo yanayomilikiwa na Chuo hicho kwa kuyaboresha na kuyapa thamani kwani vyanzo vyake vya mapato vitasaidia kuongeza pato la Chuo na Taifa kwa ujumla kwa…

Read More

Mo ambwaga Mkude kesi madai ya Sh1 bilioni

MAHAKAMA Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imetupilia mbali kesi ya madai ya fidia ya Sh1 bilioni iliyofunguliwa na kiungo wa Yanga, Jonas Mkude dhidi ya kampuni ya Mohamed Enterprises (Tanzania) Limited. Hukumu ya kesi hiyo namba 192 ya mwaka 2023 ilitolewa Juzi, Jumatano, Oktoba 30, 2024 na Jaji Phillip Butamo aliyeisikiliza baada ya kuridhika…

Read More

Kitendawili cha sakata la Gachagua na mrithi wake

Baada ya Baraza la Seneti kumwondoa madarakani Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua, Oktoba 17, 2024, swali kubwa linabaki kuwa je, huo ndio mwisho wake? Au ana majaliwa mengine katika safari yake kisiasa? Tayari Rais Rais William Ruto ameshamteua Waziri wa Mambo ya Ndani, Profesa Kithure Kindiki kuwa naibu wake mpya, siku moja baada ya…

Read More