Kivumbi Marekani, wagombea wakabana koo uchaguzi ukikaribia

Uchaguzi wa Rais wa Marekani unatarajiwa kufanyika Novemba 5, 2024, Zikiwa zimesalia wiki chache tu, kinyang’anyiro kati ya wagombea wawili wakuu, Kamala Harris wa Chama cha Democratic na Donald Trump wa Chama cha Republican, kimechukua sura mpya, huku tafiti zikionyesha kuwa umaarufu wa Harris umepungua kidogo, jambo linalozua maswali juu ya nani ataibuka mshindi. Kwa…

Read More

Ruto amwapisha Profesa Kindiki kuwa Naibu Rais Kenya

Nairobi. Hatimaye Profesa Kithure Kindiki ameapishwa kuwa Naibu Rais mpya wa Kenya mbele Jaji Mkuu Martha Koome, akichukua nafasi ya Rigathi Gachagua, aliyeondolewa madarakani na Bunge. Sherehe ya kuapishwa kwake imefanyika asubuhi ya leo Ijumaa Novemba mosi, 2024 katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Kenyatta (KICC) jijini Nairobi, ikishuhudiwa na Rais William Ruto, pamoja…

Read More

Kona ya Maloto: Ukimya kuhusu Kibao, Soka ni kielelezo cha Tanzania kutoishi agenda

Katika urushaji wa matangazo ya kidigitali, wajasiriamali wa Marekani, Adam Curry na John Dvorak, kuanzia Oktoba 16, 2007, walianzisha programu ya vichekesho vyenye kujadili hali halisi ya kisiasa, inayoitwa No Agenda. Curry na Dvorak kama lilivyo jina la programu, wao huwa hawana agenda ya kuzungumzia isipokuwa huendesha mijadala kutokana na upepo wa kisiasa unavyokuwa ndani…

Read More

Wajumbe wa CCM Dodoma wamkataa mgombea aliyeteuliwa

  WAJUMBE wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Mtaa wa Chinyoya Kata ya Kilimani Wilaya ya Dodoma Mjini, Jijini Dodoma wamemkata Mgombea aliyeteuliwa na chama hicho kuwania nafasi ya uwenyekiti wakidai mgombea huyo amekuwa akijifanya Mungu mtu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Kilimani, Dodoma … (endelea). Wajumbe hao wametoa malalamiko yao wakati wakizungumza na waandishi wa habari…

Read More

Afya ya akili tishio kwa watoto wa kike

Dar es Salaam. Oktoba 11, Tanzania ilipoungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha siku ya mtoto wa kike, ilielezwa kuwa kundi hilo liko kwenye hatari kubwa ya kupata matatizo ya afya ya akili kutokana na kupitia vitendo vya ukatili hasa wa kingono na kimwili. Ripoti ya utafiti uliofanywa na Shirika la Msichana Initiative imeonesha kuwa kwa…

Read More

Bomu lililotegwa kando ya barabara likiwalenga polisi limeua watu 7, wakiwemo watoto 5 Paistan

Bomu lenye nguvu lililowekwa kwenye pikipiki kando ya barabara lililipuka karibu na gari lililokuwa limewabeba maafisa wa polisi kusini magharibi mwa Pakistani siku ya Ijumaa, na kuua watu saba, wakiwemo watoto watano waliokuwa karibu, maafisa walisema. Mkuu wa polisi wa eneo hilo Fateh Mohammad alisema shambulio hilo lilitokea Mastung, wilaya ya jimbo la Balochistan. Alisema…

Read More

Ushirikishwaji na Ujumuisishwaji wa Wanawake na Wenye Ulemavu Wasisitizwa Kuongeza Kasi ya Maendeleo – MWANAHARAKATI MZALENDO

    Shabnam Mallick, Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa akikata utepe kufungua kapu lililobeba ripoti ya uendelevu ya Serengeti Breweries Ltd (SBL) kwenye shughuli iliyofanyika jijini Dar es Salaam siku ya Alhamisi, 31 Oktoba. Wa kwanza kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa SBL, Obinna Anyalebechi na wa kwanza kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya SBL,…

Read More

Hivi ndivyo ajali, kifo cha Sokoine kilivyotokea

Katika makala haya ya mwisho ya uchambuzi wa kitabu cha tawasifu cha “Edward Moringe Sokoine: Maisha na Uongozi Wake,” tutaangazia namna ajali ya kiongozi huyo ilivyotokea hadi kusababisha kifo chake. Vijana wengi waliozaliwa miaka ya 1980, hawakushuhudia msiba wa aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Sokoine baada ya kufariki dunia kwa ajali ya gari mkoani Morogoro. Sokoine…

Read More

Ushirikishwaji wa wanawake na wenye ulemavu wasisitizwa kuongeza Maendeleo

  KAMPUNI ya Serengeti Breweries Limited (SBL) imezindua rasmi Ripoti yake ya Uendelevu ya 2024 yenye kauli mbiu ‘Kusimamia Ujumuishwaji na Ushirikishwaji’, mnamo Oktoba31, 2024. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Ripoti hii inaangazia dhamira ya SBL ya kuendeleza mazingirajumuishi ambapo watu wenye asili mbalimbali wanaweza kufanikiwa, kwakuzingatia kuondoa vikwazo na kuleta athari…

Read More