Shivji ataja siri ya udhaifu wa viongozi Tanzania

Dar es Salaam. Mwanazuoni maarufu nchini, Profesa Issa Shivji amessema ili Tanzania ipate viongozi bora wa kizazi kijacho, si lazima kuunda programu maalumu za kuwaandaa bali kuboresha mfumo wa elimu uliopo. Akizungumza jijini Dar es Salaam, Profesa Shivji amesema mfumo wa elimu wa sasa unazalisha wanafunzi wanaokariri badala ya kuwafikirisha, hali inayojitokeza hata kwa viongozi…

Read More

Vijana kupenda ‘mashangazi’…Tatizo linaanzia hapa

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango kuagiza ufanyike utafiti kubaini mzizi wa vijana wa kiume kuanzisha uhusiano wa kimapenzi na wanawake wanaowazidi umri maarufu mashangazi, wadau na viongozi wa dini wameeleza kiini cha tatizo hilo kuwa ni mfumo wa malezi. Sambamba na hilo, wamesema endapo hatua stahiki hazitachukuliwa…

Read More

Chama tawala Botswana chaangushwa vibaya

  WAPIGAKURA nchini Botswana wamekikataa chama tawala cha muda mrefu cha nchi hiyo (BDP) katika matokeo ambayo yanaashiria tetemeko la ardhi la kisiasa katika taifa hilo lenye utajiri mkubwa wa almasi kusini mwa Afrika. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa, GABORONE, Botswana … (endelea). BDP – Chama cha Kidemokrasia cha Botswana – kilichokuwa madarakani tangu uhuru mwaka…

Read More

Mfuko wa maji waeleza matumizi tozo ya Sh50 kwenye mafuta

Dar es Salaam. Mfuko wa Taifa wa Maji (NWF) hutumia Sh50 zinazokatwa kwenye kila lita ya mafuta kufadhili na kuendeleza miradi ya maji nchini na kwa mwaka hukusanya takriban Sh170 bilioni. Pamoja na vyanzo vingine vya upatikanaji wa fedha, makusanyo yake yanatumiwa katika miradi kwa asilimia isiyopungua 88, huku asilimia isiyozidi 10 ikielekezwa katika usimamizi,…

Read More

Changamoto hizi chanzo tatizo la afya ya akili

Dar es Salaam. Tanzania ikiwa bado haina sera rasmi ya afya ya akili, wataalamu wa saikolojia tiba wametaja masuala ya kiuchumi na kijamii, kama vyanzo vya   kuongezeka kwa watu wenye changamoto ya afya ya akili nchini. Mpaka sasa Tanzania haina sera inayozungumzia afya ya akili na wadau wanasema Sheria ya Afya ya Akili ya mwaka…

Read More

Tamu, Chungu za ndoa mseto

Ndoa mseto ni muunganiko kati ya Wakatoliki na waumini wa madhehebu mengine ya Kikristo kama Walutheri, Waanglikana au makanisa ya Kipentekoste. Pia, inaweza kuhusisha muumini wa Kanisa Katoliki na Muislamu na baada ya kufunga ndoa, kila mmoja huwa anaendelea kuabudu katika dhehebu lake; Muislamu ataendelea kwenda msikitini na Mkatoliki ataendelea kusali kanisani.Mwananchi limezungumza na Askofu…

Read More

Jinsi ya kutambua kama una tatizo la afya ya akili

Dar/Mikoani. Wakati wagonjwa wa afya ya akili wakiongezeka kila mwaka nchini, wataalamu wa saikolojia tiba wametaja viashiria vinavyoweza kumfanya mtu agundue kuwa tayari anaanza kupata changamoto katika afya yake ya akili. Ikiwa unakosa usingizi, unasahau baadhi ya mambo, uzito umeongezeka ghafla au unashindwa kufanya vitu kwa usahihi, unapaswa kuwaona wataalamu wa afya mapema kwa kuwa…

Read More

Kilicho hatarini mkataba wa Songas ukimalizika

Dar es Salaam. Sasa ni rasmi kwamba mkataba wa ununuzi wa umeme (PPA) kati ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) na Songas umemalizika rasmi jana Oktoba 31, 2024. Hatua hii inaiweka Songas kwenye njia ya kudai takriban Dola milioni 90 za Marekani (takribani Sh250 bilioni) kutoka Tanesco ambazo ni malimbikizo endapo hakutakuwa na makubaliano ya…

Read More