Kabila hili bila ‘kukonyeza’ hujapata mke au mume

Unajua Kabila la Waberber au Amazighs wana mila ya harusi ya ajabu, vijana wa kike na kiume hukusanywa pamoja na kucheza muziki usiku huku wakikonyezana kwa ridhaa ya wazazi wao? Ni tamasha linalokutanisha takribani watu 30,000 la kijana kupata mke na binti kupata mume. Ni mwendo wa kutaniana, kuchumbiana na kuoana, lugha ya mawasiliano kwenye…

Read More

Siri historia ya Nyerere na gari la Land Rover

Dar es Salaam. Mwalimu Julius Nyerere, kiongozi wa harakati za ukombozi wa Tanganyika na Rais wa kwanza wa taifa hilo, alikuwa na uhusiano wa kipekee na gari aina ya Land Rover. Historia ya matumizi ya Land Rover na Nyerere inaunganisha si tu juhudi zake binafsi, bali pia mashujaa kama mzee Sugal Mohamed ambao walichangia kwa…

Read More

Ajira 203,280 zazalishwa Zanzibar | Mwananchi

Unguja. Katika kipindi cha miaka minne Zanzibar imezalisha ajira 203,280 zilizo rasmi na zisizo rasmi ndani na nje ya nchi. Ajira hizo ni sawa na asilimia 68 ya ajira 300,000 zilizoahidiwa na Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi alipoingia madarakani Novemba 2020. Hayo yameelezwa jana na Waziri Ofisi ya Rais, Kazi, Uchumi na Uwekezaji, Shariff…

Read More

NMB BANK PLC RECORDS IMPRESSIVE TZS 687 BILLION PROFIT BEFORE TAX IN Q3 2024 – MWANAHARAKATI MZALENDO

This exceptional performance reflects a 21% year-on-year (YoY) growth compared to the same period in 2023. Profit Before Tax: TZS 687 Billion, up 21% YoYProfit After Tax: TZS 476 Billion, up 19% YoYTotal Assets: TZS 13.4 Trillion, up 16% YoYCustomer Deposits: TZS 9.2 Trillion, up 12% YoYLoans and Advances: TZS 8.4 Trillion, up 19 YoYCost…

Read More

Maajabu aliyeasisi jina la Kwa Bi Nyau

Alisifika kwa kufuga paka wengi kiasi cha kubatizwa jina la Bibi Nyau. Na haikuishia hapo, hata eneo alilokuwa akiishi watu wakaishia kulipachika jina la Kwa Bibi Nyau. Hata hivyo, wasichojua watu wengi ni kuwa Bibi Nyau hakuwa mpenzi wa paka pekee, alikuwa na ngedere kadhaa, akiwamo yule aliyekuwa maarufu kwa jina la John. Kwa sasa…

Read More

Mifumo minne ya Chama inayompa jeuri Gamondi

MOJAWAPO wa usajili uliogonga vichwa vya habari katika msimu huu ulikuwa ni wa aliyekuwa kiungo wa Simba, Clatous Chama kuihama timu hiyo aliyoichezea kwa misimu sita na kutua kwa wapinzani wao wakubwa na watani wa jadi, Yanga. Chama aliyejiunga na Simba mara ya kwanza Julai 1, 2018 akitokea Lusaka Dynamos ya kwao Zambia, amekuwa ni…

Read More

Tishio magonjwa yasiyoambukiza yakiongezeka Tanzania

Dar es Salaam. Wakati dunia ikiadhimisha wiki ya magonjwa yasiyoambukiza ‘NCDs Week’ takwimu mpya za Shirika la Afya Duniani (WHO) na Shirika ya Umoja wa Mataifa lile la kuhudumia wakimbizi duniani (UNHCR), zinaonesha asilimia 71 ya vifo vyote duniani vinatokana na magonjwa yasiyoambukiza. Magonjwa ya moyo, kiharusi, saratani, kisukari, shinikizo la juu la damu, magonjwa…

Read More

Mpo? Hivi ndio Feisal anavyopenya Simba

FEISAL Salum maarufu kama Fei Toto ni miongoni mwa wachezaji bora wa kiungo katika soka hapa nchini. Uwezo wake katika usambazaji wa mipira, kasi na weledi wa kusoma mchezo umemfanya awe kipenzi cha mashabiki wengi wa soka na kocha yeyote anayetafuta kuimarisha safu ya kiungo katika kikosi. Akiwa bado ana mkataba na Azam FC hadi…

Read More