Athari za mwenye vidonda vya tumbo kufanya ‘diet’

Dar es Salaam. Licha ya mpangilio maalumu wa kula ‘diet’ wenye lengo la kupunguza uzito wa mwili au unene kuwa na faida, wataalamu wa afya wanasema si kila mtu anashauriwa kutumia njia hiyo, wakiwemo wagonjwa wa vidonda vya tumbo. Wataalamu wanasema mgonjwa wa vidonda vya tumbo anapofanya diet ya kujinyima chakula, husababisha kuta za tumbo…

Read More

Singida BS, Yanga ilibeba hadhi ya mechi ya ubingwa

WATETEZI wa Ligi Kuu Bara, Yanga wamerejea kileleni mwa msimamo baada ya kupata ushindi wa bao 1-0 mbele ya  Singida Black Stars, ila moja ya jambo la kufurahisha ni jinsi wachezaji wote walivyojitoa kuzipigania pointi tatu. Bao la kiungo mshambuliaji, Pacome Zouzoua dakika ya 67 lilitosha kuifanya kukaa kileleni na pointi 24 baada ya michezo…

Read More

Mzazi usifurahie mtoto akiwahi kutembea ni tatizo

Dar es Salaam. Katika makuzi yake, Jane Elias anasema aliambiwa alianza kutembea akiwa na miezi saba. Amesema wazazi wake walimweleza kuwa walifurahia, ingawa hivi sasa ni mateso kwake. “Huwa nikivaa viatu vinapinda na kuisha upande mmoja, mwanzo sikuelewa ni kwa nini lakini nikiwa tayari nimeshajitambua na kuwa na maisha yangu, niliamua kwenda hospitali kujua nina…

Read More

Ukweli kuhusu ute na ulaji bamia

Mmoja wa wasomaji (jina limehifadhiwa) alieleza ameacha kununua mboga aina ya bamia kutokana na dhihaka aliyokutana nayo sokoni. Alieleza kuwa aliwasikia watu wakisema wanawake hununua mboga hiyo ili kuongeza ute katika maeneo ya uzazi. Hivyo, aliamua kuuliza swali kama kuna ukweli wowote kuhusiana na hilo. Jibu kwa kifupi, sio kweli ni potofu. Ukweli ni kuwa…

Read More

Rostam atoa neno uendeshaji wa Bandari ya Dar es Salaam

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Taifa Group Ltd, Rostam Aziz amezungumzia umuhimu wa mkataba wa ushirikiano kati ya Tanzania na kampuni ya DP World katika kuboresha ufanisi wa Bandari ya Dar es Salaam. Rostam akizungumza katika mkutano wa kilele wa Financial Times Africa uliofanyika jijini London, Uingereza hivi karibuni alisisitiza umuhimu wa mkataba huo kwa…

Read More

Mahakama yatupilia mbali kesi ya Saqware

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imetupilia mbali kesi ya madai ya Kamishna wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bima (Tira), Baghayo Saqware dhidi ya Hospitali ya Salaaman na Mkurugenzi wake, Dk Abdi Hirsi, baada ya kujiridhisha ameshindwa kuthibitisha madai yake. Katika kesi hiyo ya madai namba 167/2021 Saqware alikuwa akiiomba Mahakama hiyo iwaamuru…

Read More

Sigara, pombe chanzo magonjwa ya moyo kwa watoto

Wakati takwimu za Wizara ya Afya zikionyesha watoto wawili kati ya 100 wanazaliwa na matatizo ya moyo, wataalamu wameshauri kina mama kuzingatia afya wawapo na ujauzito ili kuepuka kupata watoto wenye maradhi hayo. Wameshauri kina mama wajawazito kutokunywa pombe, kutovuta sigara (kukaa mbali na moshi wa sigara, tumbaku) huku wakisisitiza ulaji wa vyakula bora ili…

Read More