Wasichana kupata ufadhili wa urubani, uhandisi wa ndege

Dar es Salaam. Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Salim Msangi amewataka wasichana kutoka familia zisizo na uwezo kiuchumi kuchangamkia mpango wa kuwasaidia kifedha waweze kufikia ndoto zao za kuwa marubani na wahandisi wa ndege. Akizungumza jana Oktoba 31, 2024 kwenye kongamano la viongozi wanawake katika usafiri wa anga, lililokuwa na…

Read More

Makosa yanayoweza kukuweka matatani wakati wa uchaguzi

Dar es Salaam. Wakati Watanzania wakijiandaa kwa uchaguzi wa serikali za mitaa Novemba 27, mwaka huu, wanapaswa kutambua kuwa yapo makosa yakifanyika yanaweza kusababisha mtu kushtakiwa kwa mujibu wa sheria na kanuni za uchaguzi. Kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi huo, mtu yeyote atakuwa ametenda kosa la uchaguzi endapo ataharibu orodha ya wapigakura au nyaraka…

Read More

Hizi hapa ahadi za TRA kwa wafanyabiashara

Dar es Salaam. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewaahidi wawekezaji kuwa katika utendaji kazi wake wa kila siku haitakuwa juu ya sheria, bali itahakikisha inaweka mazingira mazuri ya biashara. Pia imesema akaunti za wafanyabiashara hazitashikiliwa bila taratibu kufuatwa, huku ikiendelea kuwasikiliza ili kupata mrejesho utakaosaidia ufanyaji wa biashara. Hayo yalisemwa jana Alhamisi Oktoba 31, 2024…

Read More

Uongozi Madhubuti Unahitajika Haraka Ili Kuboresha Elimu Ulimwenguni – Masuala ya Ulimwenguni

Uwekezaji katika viongozi wenye nguvu, waliofunzwa utampa kila mtoto kila mahali nafasi ya fursa za kujifunza maishani. Credit: Joyce Chimbi/IPS na Joyce Chimbi (nairobi) Alhamisi, Oktoba 31, 2024 Inter Press Service NAIROBI, Oktoba 31 (IPS) – Elimu ya kimataifa inakabiliwa na wakati mgumu huku kukiwa na vikwazo vikali. Mamilioni ya watoto hawako shuleni, viwango vya…

Read More