Magonjwa 10 yanayoongoza mkoani Dodoma

Dodoma. Imebainika kati ya  magonjwa 10 yaliyoongoza kwa watu wengi kuugua mkoani Dodoma katika kipindi cha miaka miwili mfululizo,  maambukizi ya njia ya juu ya kupumua (URI), yamechukua nafasi ya kwanza. Magonjwa mengine yaliyoongoza katika mwaka 2021 na mwaka 2022 yalikuwa ni maambukizi ya njia ya mkojo (UTI), Nimonia, kuhara, magonjwa mengine ya tumbo yasiyoambukiza….

Read More

USAID Afya Yangu na Kizazi Hodari Kanda ya Kusini kutoa huduma za VVU kwenye maadhimisho ya kuelekea siku ya Ukimwi duniani.

Miradi ya USAID Afya Yangu na Kizazi Hodari Kanda Ya Kusini inayofadhiliwa na Shirika la Msaada Kutoka Watu wa Marekani na kusimamiwa na Deloitte Consulting Limited imejipanga vyema ili kutoa huduma za VVU wakati wa maadhimisho ya kuelekea siku ya Ukimwi duniani ambayo kitaifa yatafanyika Mjini Songea mkoa wa Ruvuma Jumapili Disemba mosi. Akizungumza Mjini…

Read More

Mfungwa wa ubakaji, usambazaji HIV akwama kukata rufaa

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Geita imemnyima ruhusa ya kukata rufaa nje ya muda, mfungwa Deogratius William, mkazi wa Geita anayetumikia adhabu ya kifungo jela,  kwa makosa ya ubakaji na kusambaza virusi vya Ukimwi na Ukimwi. Mahakama hiyo imefikia uamuzi huo katika shauri la maombi ya mfungwa huyo alilolifungua akiomba kuruhusiwa kukata rufaa…

Read More

Wananchi wa Comoro wafurika kambi tiba madaktari watanzania

Na Mwandishi Wetu, Comoro KAMBI Tiba ya Madaktari Bingwa kutoka Tanzania nchini Comoro imeanza kwa mwitikio mkubwa wa wananchi wa nchini humo ambapo mamia wamejitokeza kupata huduma mbali mbali zinazotolewa kwa ushirikiano na madakatari wazawa katika Kisiwa cha Ngazidja. Madaktari hao wa Tanzani wametoa huduma za uchunguzi na matibabu katika matatizo ya mifupa,figo na kibofu…

Read More

Wafanyabiashara waingia hofu ya kupoteza mizigo Kariakoo

Dar es Salaam. Baadhi ya wafanyabiashara wenye mizigo iliyokuwa kwenye ghorofa lililoporomoka Mtaa wa Mchikichi na Congo, Kariakoo wameingia hofu ya kupoteza mali zao. Hata hivyo, Katibu Tawala Mkoa wa Dar es Salaam, Toba Nguvila amesema shughuli ya kuwarejeshea wafanyabiashara mali zao inaratibiwa na kamati maalumu, hivyo wote wataipata. Jengo la ghorofa nne liliporomoka Kariakoo…

Read More

Muya akiri mambo magumu Fountain Gate

Muya akiri mambo magumu Fountain Gate LICHA ya Fountain Gate kuwa moja ya timu zenye safu kali zaidi za ushambuliaji msimu huu wa Ligi Kuu Bara, changamoto ya kuruhusu mabao mengi imeendelea kuwa mwiba kwao. Hali hiyo imeongeza presha kwa kocha Mohammed Muya aliyekiri kuwa na kazi kubwa ya kuhakikisha wanarejea kwenye mstari wa ushindi. …

Read More