Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: November 2024

  • Home
  • 2024
  • November
  • Page 3
Habari

Magonjwa 10 yanayoongoza mkoani Dodoma

November 30, 2024 Admin

Dodoma. Imebainika kati ya  magonjwa 10 yaliyoongoza kwa watu wengi kuugua mkoani Dodoma katika kipindi cha miaka miwili mfululizo,  maambukizi ya njia ya juu ya

Read More
Habari

USAID Afya Yangu na Kizazi Hodari Kanda ya Kusini kutoa huduma za VVU kwenye maadhimisho ya kuelekea siku ya Ukimwi duniani.

November 30, 2024 Admin

Miradi ya USAID Afya Yangu na Kizazi Hodari Kanda Ya Kusini inayofadhiliwa na Shirika la Msaada Kutoka Watu wa Marekani na kusimamiwa na Deloitte Consulting

Read More
Michezo

Bulaya Cup yajivunia kuibua vipaji vya soka ikiingia msimu wa 14

November 30, 2024 Admin

Michuano ya Bulaya Cup imetajwa kuwa ni sehemu sahihi kwa vijana kuibuliwa vipaji vyao baada ya kufanikiwa kufanya hivyo kwa zaidi ya wanasoka 10 kutoka

Read More
Habari

Mfungwa wa ubakaji, usambazaji HIV akwama kukata rufaa

November 30, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Geita imemnyima ruhusa ya kukata rufaa nje ya muda, mfungwa Deogratius William, mkazi wa Geita anayetumikia adhabu ya

Read More
Habari

Wananchi wa Comoro wafurika kambi tiba madaktari watanzania

November 30, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu, Comoro KAMBI Tiba ya Madaktari Bingwa kutoka Tanzania nchini Comoro imeanza kwa mwitikio mkubwa wa wananchi wa nchini humo ambapo mamia wamejitokeza

Read More
Michezo

Bulaya Cup yajivunia kuibua vipaji vya soka ikiingia msimu 14

November 30, 2024 Admin

Michuano ya Bulaya Cup imetajwa kuwa ni sehemu sahihi kwa vijana kuibuliwa vipaji vyao baada ya kufanikiwa kufanya hivyo kwa zaidi ya wanasoka 10 kutoka

Read More
Habari

Wafanyabiashara waingia hofu ya kupoteza mizigo Kariakoo

November 30, 2024 Admin

Dar es Salaam. Baadhi ya wafanyabiashara wenye mizigo iliyokuwa kwenye ghorofa lililoporomoka Mtaa wa Mchikichi na Congo, Kariakoo wameingia hofu ya kupoteza mali zao. Hata

Read More
Habari

Ofisi ya Msajili wa Hazina yang’ara tuzo za NBAA

November 30, 2024 Admin

Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Hazina imeibuka mshindi wa pili wa tuzo ya umahiri katika uaandaji wa taarifa ya fedha kwa mwaka 2023

Read More
Michezo

Muya akiri mambo magumu Fountain Gate

November 30, 2024 Admin

Muya akiri mambo magumu Fountain Gate LICHA ya Fountain Gate kuwa moja ya timu zenye safu kali zaidi za ushambuliaji msimu huu wa Ligi Kuu

Read More
Burudani

Maambukizi ya VVU kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto yapungua

November 30, 2024 Admin

Songea. Hali ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU) kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto, inaonyesha matumaini baada ya kupungua kutoka asilimia 18 mwaka 2010

Read More

Posts pagination

Previous 1 2 3 4 … 273 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.