RAIS SAMIA AIONGOZA TANZANIA KUONGOZA KATIKA BIASHARA AFRIKA MASHARIKI

 Uongozi wa kimaono wa Rais Samia Suluhu Hassan umeendelea kuipa Tanzania mafanikio makubwa katika biashara za kikanda, na kuthibitisha nafasi ya nchi kama kiongozi wa Afrika Mashariki. Hili lilidhihirishwa hivi karibuni wakati Rais wa Kenya, William Ruto, alipokiri waziwazi katika maadhimisho ya miaka 25 ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwamba Kenya imesalia nyuma kibiashara…

Read More

Beki Mrundi amalizana na Namungo

BEKI wa zamani wa Namungo FC, Derick Mukombozi, raia wa Burundi amemalizana na waajiri wake hao wa zamani kwa ajili ya kuitumikia msimu huu. Akizungumza na Mwanaspoti, Mukombozi amesema amemalizana na Namungo, lakini kuhusu muda uongozi utatangaza amesaini mkataba wa muda gani. “Nimeitumikia (Namungo) kwa misimu mmoja naifahamu vizuri simuhofii mtu naamini katika upambanaji na…

Read More

Chadema yaweka kiporo ajenda ya uchaguzi

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeiweka kiporo ajenda ya uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji kwenye kikao chake cha Kamati Kuu kilichofanyika Novemba 29, 2024 kwa njia ya mtandao. Badala yake kimeamua ajenda ya uchaguzi huo uliofanyika Novemba 27, ijadaliwe Jumatatu Desemba 2 kwa wajumbe wa kamati hiyo kukutana…

Read More

Ruto mwenyekiti mpya wa EAC – DW – 30.11.2024

Ruto anachukua kijiti kutoka kwa mwenyekiti anayeachia muda wake Rais wa Sudan Kusini Salva Kirr. Katika hotuba yake ya kukabidhi nafasi hiyo Rais Salva Kirr alisema kwamba ilikuwa ni wakati mzuri kwake kuhudumu katika nafasi hiyo kwa kipindi cha mwaka mmoja. Huduma ya mwaka mmoja kama mwenyekiti Kiir vile vile alisema ana imani kuwa majadilianoya…

Read More

Auawa, mwili watelekezwa kwenye bustani

Ruangwa. Mkazi wa Mitope, Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, Justin Galus (33) ameuawa na watu wasiojulikana kisha mwili wake kutelekezwa kwenye bustani za kilimo cha mbogamboga ukiwa na majeraha. Kando ya mwili huo zimekutwa silaha za jadi na pembeni yake kukiwa na kabichi tatu, zinazodhaniwa huenda alikuwa ameziiba. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi, John…

Read More

Ndoa za utotoni kichocheo cha ukatili kijinsia

Dar es Salaam. Wakati Tanzania ikiungana na mataifa mengine duniani katika kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia, moja ya vitu vinavyotajwa kuchochea ukatili huo ni ndoa za utotoni. Miongoni mwa changamoto zinazotokana na ndoa za utotoni ni unyanyasaji wa kimwili, ikizingatiwa wanaoolewa kuna nyakati hukumbana na vipigo na mateso kutoka kwa wenza…

Read More

Azam inavyotembea na Simba | Mwanaspoti

USHINDI wa mabao 2-1 ambao Azam FC iliupata juzi ikiwa Azam Complex dhidi ya Singida Black Stars, umewafanya matajiri hao wa Chamazi kuifikia Simba kwa kukusanya pointi nyingi zaidi (13) katika mechi za nyumbani Ligi Kuu Bara msimu huu. Awali Simba ndio waliokuwa vinara wa kukusanya pointi nyingi nyumbani ambapo ndani ya michezo sita waliyocheza…

Read More

Kumekucha Yanga, Ramovic ataja usajili wake

YANGA inacheza na Namungo Jumamosi hii kwenye mechi ya ligi. Licha ya kwamba imekuwa na matokeo mabovu hivi karibuni, lakini haikuwahi kupoteza kwa Namungo katika mechi ya ligi zaidi ya sare tatu na kushinda michezo mitano. Pamoja na kusaka ushindi wa kwanza tangu ajiunge na Yanga siku chache zilizopita, kocha wa Sead Ramovic anafikiria kufanya…

Read More