Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: November 2024

  • Home
  • 2024
  • November
  • Page 4
Habari

RAIS SAMIA AIONGOZA TANZANIA KUONGOZA KATIKA BIASHARA AFRIKA MASHARIKI

November 30, 2024 Admin

 Uongozi wa kimaono wa Rais Samia Suluhu Hassan umeendelea kuipa Tanzania mafanikio makubwa katika biashara za kikanda, na kuthibitisha nafasi ya nchi kama kiongozi wa

Read More
Michezo

Beki Mrundi amalizana na Namungo

November 30, 2024 Admin

BEKI wa zamani wa Namungo FC, Derick Mukombozi, raia wa Burundi amemalizana na waajiri wake hao wa zamani kwa ajili ya kuitumikia msimu huu. Akizungumza

Read More
Habari

Chadema yaweka kiporo ajenda ya uchaguzi

November 30, 2024 Admin

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeiweka kiporo ajenda ya uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji kwenye kikao chake cha

Read More
Habari

Ruto mwenyekiti mpya wa EAC – DW – 30.11.2024

November 30, 2024 Admin

Ruto anachukua kijiti kutoka kwa mwenyekiti anayeachia muda wake Rais wa Sudan Kusini Salva Kirr. Katika hotuba yake ya kukabidhi nafasi hiyo Rais Salva Kirr

Read More
Habari

Auawa, mwili watelekezwa kwenye bustani

November 30, 2024 Admin

Ruangwa. Mkazi wa Mitope, Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, Justin Galus (33) ameuawa na watu wasiojulikana kisha mwili wake kutelekezwa kwenye bustani za kilimo cha

Read More
Habari

Ndoa za utotoni kichocheo cha ukatili kijinsia

November 30, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wakati Tanzania ikiungana na mataifa mengine duniani katika kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia, moja ya vitu vinavyotajwa kuchochea

Read More
Michezo

Azam inavyotembea na Simba | Mwanaspoti

November 30, 2024 Admin

USHINDI wa mabao 2-1 ambao Azam FC iliupata juzi ikiwa Azam Complex dhidi ya Singida Black Stars, umewafanya matajiri hao wa Chamazi kuifikia Simba kwa

Read More
Habari

DPP awafutia kesi vigogo wa Jiji la Dar, awafungulia nyingine

November 30, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) amewafutia kesi ya uhujumu uchumi,  watumishi 16 wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam na kisha

Read More
Michezo

Kumekucha Yanga, Ramovic ataja usajili wake

November 30, 2024 Admin

YANGA inacheza na Namungo Jumamosi hii kwenye mechi ya ligi. Licha ya kwamba imekuwa na matokeo mabovu hivi karibuni, lakini haikuwahi kupoteza kwa Namungo katika

Read More
Habari

ATCL yarejea anga la Afrika Kusini baada ya siku 1,881

November 30, 2024 Admin

Dar es Salaam. Shirika la ndege Tanzania (ATCL) limerejesha safari zake katika anga la  Afrika ya Kusini kuanzia leo Novemba 30, 2024 ikiwa ni baada

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 3 4 5 … 273 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.