Uongozi wa kimaono wa Rais Samia Suluhu Hassan umeendelea kuipa Tanzania mafanikio makubwa katika biashara za kikanda, na kuthibitisha nafasi ya nchi kama kiongozi wa
Month: November 2024

BEKI wa zamani wa Namungo FC, Derick Mukombozi, raia wa Burundi amemalizana na waajiri wake hao wa zamani kwa ajili ya kuitumikia msimu huu. Akizungumza

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeiweka kiporo ajenda ya uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji kwenye kikao chake cha

Ruto anachukua kijiti kutoka kwa mwenyekiti anayeachia muda wake Rais wa Sudan Kusini Salva Kirr. Katika hotuba yake ya kukabidhi nafasi hiyo Rais Salva Kirr

Ruangwa. Mkazi wa Mitope, Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, Justin Galus (33) ameuawa na watu wasiojulikana kisha mwili wake kutelekezwa kwenye bustani za kilimo cha

Dar es Salaam. Wakati Tanzania ikiungana na mataifa mengine duniani katika kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia, moja ya vitu vinavyotajwa kuchochea

USHINDI wa mabao 2-1 ambao Azam FC iliupata juzi ikiwa Azam Complex dhidi ya Singida Black Stars, umewafanya matajiri hao wa Chamazi kuifikia Simba kwa

Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) amewafutia kesi ya uhujumu uchumi, watumishi 16 wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam na kisha

YANGA inacheza na Namungo Jumamosi hii kwenye mechi ya ligi. Licha ya kwamba imekuwa na matokeo mabovu hivi karibuni, lakini haikuwahi kupoteza kwa Namungo katika

Dar es Salaam. Shirika la ndege Tanzania (ATCL) limerejesha safari zake katika anga la Afrika ya Kusini kuanzia leo Novemba 30, 2024 ikiwa ni baada