Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: November 2024

  • Home
  • 2024
  • November
  • Page 5
Michezo

Kaizer Chiefs yamkomalia Fei Toto

November 30, 2024 Admin

MIAMBA ya soka ya Afrika Kusini, Kaizer Chiefs imeonyesha dhamira ya kuvunja mfumo wake wa malipo ili kumsajili kiungo wa kati wa kimataifa wa Tanzania,

Read More
Habari

Dk Mpango, vigogo CCM walivyomzungumzia Ndugulile

November 30, 2024 Admin

Dar es Salaam. Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amemzungumzia aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni na Mkurugenzi mteule wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Afrika,

Read More
Michezo

Nsajigwa awastua Mastaa, Aukumbuka Ubingwa wa CECAFA

November 30, 2024 Admin

KOCHA Msaidizi wa Namungo, Shadrack Nsajigwa amewakumbusha wachezaji wa sasa wa Taifa Stars  kupambana kwa ajili ya nchi akirejea kumbukumbu tamu ya 2010 walipoiwezesha  Bara

Read More
Habari

Dk Chana: Tafiti na mitalaa ya chuo itatue changamoto za wananchi

November 30, 2024 Admin

Moshi. Serikali imekiagiza Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori – Mweka kuhakikisha kinaimarisha mitalaa ya tafiti za kitaalamu zinazotolewa chuoni hapo, ili kujibu changamoto zinazoikabili sekta

Read More
Habari

Wananchi Comoro wafurahia huduma madaktari wakitanzania

November 30, 2024 Admin

  KAMBI Tiba ya Madaktari Bingwa kutoka Tanzania nchini Comoro imeanza kwa mwitikio mkubwa wa wananchi wa nchini humo ambapo mamia wamejitokeza kupata huduma mbali

Read More
Habari

UDOM YANG’ARA TUZO ZA UANDAAJI BORA WA HESABU

November 30, 2024 Admin

  Mkurugenzi wa Fedha CPA. Mwanjaa Lyezia akipokea tuzo toka kwa Mkaguzi Mkuu wa Ndani (IAG), Bw. Benjamini Magai Katika ni Mkurugenzi Mtendaji NBAA, CPA.Pius

Read More
Habari

Mhandisi Besta afichua siri ya ushindi tuzo za NBAA

November 30, 2024 Admin

Utendaji kazi ulijokita kwenye weledi na kusimamia misingi ya taalamu ndio imetajwa kuiwezesha Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS), kufanya vizuri kwenye tuzo ya uwasilishaji bora

Read More
Habari

Jeshi la Syria lazidiwa, laikimbia Aleppo – DW – 30.11.2024

November 30, 2024 Admin

Jeshi hilo lilisema pia kwamba waasi walifanikiwa kuingia sehemu kubwa ya mji wa Aleppo hatua iliyolilazimu jeshi kuondoka mjini humo. Taarifa hiyo ya jeshi la

Read More
Habari

Tanzania yaipiku Kenya bidhaa zinazoingizwa Uganda, Ruto apongeza

November 30, 2024 Admin

Dar es Salaam. Tanzania imeipiku Kenya kama chanzo kikubwa zaidi cha bidhaa za Uganda, ikionesha mabadiliko katika biashara, hasa ndani ya Afrika. Kwa muda mrefu Kenya

Read More
Habari

Umuhimu wa Tanzania kupitisha mkataba wa kodi wa Umoja wa Mataifa

November 30, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wadau wa masuala ya kodi wameitaka Serikali kupitisha Mkataba wa Kodi wa Umoja wa Mataifa,  ili kuongeza ukusanyaji wa mapato na kuziba

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 4 5 6 … 273 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.