Kaizer Chiefs yamkomalia Fei Toto

MIAMBA ya soka ya Afrika Kusini, Kaizer Chiefs imeonyesha dhamira ya kuvunja mfumo wake wa malipo ili kumsajili kiungo wa kati wa kimataifa wa Tanzania, Feisal Salum katika dirisha dogo la usajili la Januari, mwakani. Nyota huyo wa Azam maarufu kama ‘Fei Toto’ amevutia macho ya mabosi wa Chiefs kutokana na uwezo wake mkubwa wa…

Read More

Dk Mpango, vigogo CCM walivyomzungumzia Ndugulile

Dar es Salaam. Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amemzungumzia aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni na Mkurugenzi mteule wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Afrika, kwa kukumbushia nyakati ngumu walizopitia ikiwamo kuhojiwa na kamati za Bunge. Dk Ndugulile alifariki dunia usiku wa kuamkia Novemba 27 nchini India alikoenda kwa ajili ya matibabu. Akitoa  nasaha mbele…

Read More

Nsajigwa awastua Mastaa, Aukumbuka Ubingwa wa CECAFA

KOCHA Msaidizi wa Namungo, Shadrack Nsajigwa amewakumbusha wachezaji wa sasa wa Taifa Stars  kupambana kwa ajili ya nchi akirejea kumbukumbu tamu ya 2010 walipoiwezesha  Bara kutwaa ubingwa wa Kombe la Cecafa. Ushindi huo uliweka alama ya kipekee kwenye soka la Tanzania, ambapo Stars iliifunga Ivory Coast bao 1-0 katika mchezo wa fainali uliopigwa Uwanja wa…

Read More

Dk Chana: Tafiti na mitalaa ya chuo itatue changamoto za wananchi

Moshi. Serikali imekiagiza Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori – Mweka kuhakikisha kinaimarisha mitalaa ya tafiti za kitaalamu zinazotolewa chuoni hapo, ili kujibu changamoto zinazoikabili sekta ya uhifadhi na utalii nchini ikiwemo migogoro baina ya wanyamapori na binadamu. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Malisasili na Utalii, Dk Pindi Chana leo Novemba 30, 2024 wakati akizindua bodi…

Read More

Wananchi Comoro wafurahia huduma madaktari wakitanzania

  KAMBI Tiba ya Madaktari Bingwa kutoka Tanzania nchini Comoro imeanza kwa mwitikio mkubwa wa wananchi wa nchini humo ambapo mamia wamejitokeza kupata huduma mbali mbali zinazotolewa kwa ushirikiano na madakatari wazawa katika Kisiwa cha Ngazidja. Anaripoti Mwandishi Wetu, Comoro … (endelea). Madaktari hao wa Tanzani wametoa huduma za uchunguzi na matibabu katika matatizo ya…

Read More

UDOM YANG’ARA TUZO ZA UANDAAJI BORA WA HESABU

  Mkurugenzi wa Fedha CPA. Mwanjaa Lyezia akipokea tuzo toka kwa Mkaguzi Mkuu wa Ndani (IAG), Bw. Benjamini Magai Katika ni Mkurugenzi Mtendaji NBAA, CPA.Pius Maneno na kushoto ni Bw. Dickson wa Kurugenzi ya Uhasibu ya UDOM. …… Chuo Kikuu cha Dodoma kimeibuka Mshindi wa Tatu katika kundi la Taasisi za Elimu ya Juu kwa…

Read More

Mhandisi Besta afichua siri ya ushindi tuzo za NBAA

Utendaji kazi ulijokita kwenye weledi na kusimamia misingi ya taalamu ndio imetajwa kuiwezesha Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS), kufanya vizuri kwenye tuzo ya uwasilishaji bora wa taarifa za kifedha iliyotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA). Hayo yameelezwa na Mtendaji Mkuu wa TANROADS, Mhandisi Mohamed Besta wakati akizungumza kwenye…

Read More