Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: November 2024

  • Home
  • 2024
  • November
  • Page 6
Habari

RAIS DKT. SAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA KAWAIDA WA 24 WA WAKUU WA NCHI EAC PAMOJA NA MAADHIMISHO YA MIAKA 25 YA JUMUIYA HIYO JIJINI ARUSHA

November 30, 2024 Admin

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na baadhi ya Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki

Read More
Habari

Benki ya Absa Tanzania yashinda tuzo ya uandaaji bora wa taarifa za fedha.

November 30, 2024 Admin

BENKI ya Absa Tanzania imeibuka kidedea kwa kuibuka na ushindi wa kwanza wa Uandaaji Bora wa Taarifa za Fedha kwa Mwaka 2023 katika kitengo cha

Read More
Habari

TASAC YANG’ARA TUZO ZA NBAA

November 30, 2024 Admin

Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) imeshika nafasi ya kwanza katika tuzo ya uandaaji na uwasilishaji wa taarifa za mahesabu kwa Viwango vya Kimataifa

Read More
Habari

Kamati ya Amani mkoa wa Tanga yapongeza Serikali uchaguzi Serikali za Mitaa 2024 kufanyika kwa amani

November 30, 2024 Admin

Viongozi wa dini na wanasiasa wametoa shukrani kwa juhudi za viongozi wa mkoa wa Tanga pamoja na wananchi katika kuhakikisha uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Read More
Habari

Wanaume wa ZNZ waruhusuni wanawake wang’ae kwenye tuzo

November 30, 2024 Admin

Mhandisi Zena Said ambae ni katibu kiongozi serikali ya Zanzibar amewataka wanaume wa Zanzibar kuwapatia fursa wake zao ili waonyeshe makubwa wanayoyafanya kupitia majukwaa, Katibu

Read More
Habari

BARRICK NORTH MARA KIDEDEA TUZO KUBWA ZA MWAJIRI BORA 2024

November 30, 2024 Admin

Mgodi wa North North Mara uliopo wilayani Tarime mkoani Mara ambao unamilikiwa kwa ubia na kampuni ya Barrick na serikali ya Tanzania kupitia kampuni ya

Read More
Habari

VYAMA VYA SIASA WILAYA YA TANGA VYAPONGEZA MCHAKATO WA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA.

November 30, 2024 Admin

Na Oscar Assenga,TANGA Vyama vya Siasa vilivyoshiriki Uchaguzi wa Serikali za mitaa wa Novemba 27 mwaka huu katika Halmashauri ya Jiji la Tanga, vimetoa tamko

Read More
Habari

JESHI LA POLISI KANDA MAALUM TARIME RORYA LASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA

November 30, 2024 Admin
Read More
Habari

REA KUSHIRIKIANA NA MKOA WA KIGOMA USAMBAZAJI WA MAJIKO YA GESI 19,530

November 30, 2024 Admin

-Kila wilaya kusambaziwa mitungi ya gesi 3,255 Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Kamishna Jenerali, Mstaafu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Mhe. Thobias Andengenye umesema

Read More
Habari

KambiTiba ya Madaktari wa Tanzania Comoro yaanza kwa kishindo

November 30, 2024 Admin

KambiTiba ya Madaktari Bingwa toka Tanzania nchini Comoro imeanza kwa muitikio mkubwa wa wananchi wa nchini humo ambapo mamia wamejitokeza kupata huduma mbali mbali zinazotolewa

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 5 6 7 … 273 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.