Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: November 2024

  • Home
  • 2024
  • November
  • Page 9
Habari

Dk Biteko: Kukosekana kwa fedha ndiyo sababu mipango mingi kutokamilika

November 29, 2024 Admin

Dar es Salaam. Kukosekana kwa fedha kumetajwa kuwa moja ya sababu ya mipango mikakati mingi inayoanzishwa katika ngazi ya kitaifa na kidunia kushindwa kutekelezeka kikamilifu.

Read More
Habari

TASAC yawataka wamiliki kuacha usafirishaji holela wa mizigo na abiria

November 29, 2024 Admin

  SHIRIKA la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limewataka wamiliki na wadau wa usafiri wa majini kuepuka usafirishaji holela wa mizigo na abiria katika kipindi

Read More
Habari

Auawa, mwili watekelezwa kwenye bustani

November 29, 2024 Admin

Ruangwa. Mkazi wa Mitope, Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, Justin Galus (33) ameuawa na watu wasiojulikana kisha mwili wake kutelekezwa kwenye bustani za kilimo cha

Read More
Kimataifa

Treni ya Maya Bado Haitaleta Faida Zilizoahidiwa – Masuala ya Ulimwenguni

November 29, 2024 Admin

Kituo cha Merida-Teya cha Treni ya Maya, katika jimbo la Yucatan kusini mashariki mwa Mexico. Stesheni hujaa treni inapofika, lakini husalia tupu wakati mwingi. Credit:

Read More
Michezo

Guinea,Sudan zaipaisha Tanzania FIFA | Mwanaspoti

November 29, 2024 Admin

USHINDI wa mechi mbili dhidi ya Sudan na Guinea umeipaisha Tanzania kwenye viwango vya ubora vinavyotolewa na Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA). Stars ilikutana

Read More
Habari

Mgombea wa Chadema aliyeenguliwa ashinda uenyekiti wa kijiji

November 29, 2024 Admin

Hai. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro kimeeleza kushangazwa na Mgombea wake katika Kijiji cha Useri, Kata ya Machame Narumu,

Read More
Michezo

Tabora, JKT zatakata, Yacouba wamotoo

November 29, 2024 Admin

Tabora United ikiwa kwenye Uwanja wa KMC Complex imeendeleza moto wake wa ushindi baada ya kuichapa KMC mabao 2-0. Mbali na ushindi wa KMC, JKT

Read More
Habari

Kicheko kwa Barrick, mahakama ya Canada ikiamua kuhusu Mgodi wa North Mara

November 29, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mahakama ya Juu ya Ontario, Canada imetupilia mbali kesi iliyofunguliwa na wakazi wa Tanzania waliokuwa wakilalamikia ukiukwaji wa haki za binadamu unaodaiwa

Read More
Habari

Chama cha upinzani Namibia chaomba zoezi la kuhesabu kura lisitishwe

November 29, 2024 Admin

  CHAMA cha upinzani nchini Namibia kimeomba zoezi la kuhesabu kura lisitishwe baada ya uchaguzi wa taifa kukabiliwa na changamoto za kiufundi huju upigaji kura

Read More
Habari

Samia ataja mikakati Tanzania kupata nishati safi

November 29, 2024 Admin

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan ametaja mikakati ya kuhakikisha kuwa Tanzania inakuwa na nishati safi kwa lengo la kukabiliana na mabadiliko ya tabia

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 8 9 10 … 273 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.