Auawa, mwili watekelezwa kwenye bustani

Ruangwa. Mkazi wa Mitope, Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, Justin Galus (33) ameuawa na watu wasiojulikana kisha mwili wake kutelekezwa kwenye bustani za kilimo cha mbogamboga ukiwa na majeraha. Kando ya mwili huo zimekutwa silaha za jadi na pembeni yake kukiwa na kabichi tatu, zinazodhaniwa huenda alikuwa ameziiba. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi, John…

Read More

Guinea,Sudan zaipaisha Tanzania FIFA | Mwanaspoti

USHINDI wa mechi mbili dhidi ya Sudan na Guinea umeipaisha Tanzania kwenye viwango vya ubora vinavyotolewa na Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA). Stars ilikutana na Sudan katika michuano ya CHAN kutoka na sare ya matokeo ya jumla ya kufungana 1-1, kila taifa likishinda kwake nyumbani kwa bao 1-0 mechi ya mwisho ya marudiano ikipigwa…

Read More

Mgombea wa Chadema aliyeenguliwa ashinda uenyekiti wa kijiji

Hai. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro kimeeleza kushangazwa na Mgombea wake katika Kijiji cha Useri, Kata ya Machame Narumu, Wilfred Ritte kutangazwa mshindi wa nafasi ya uenyekiti wa kijiji hicho, licha ya kuondolewa katika kinyang’anyiro katika hatua za mapingamizi. Katika matokeo hayo mgombea huyo wa Chadema anaonekana kupata kura…

Read More

Tabora, JKT zatakata, Yacouba wamotoo

Tabora United ikiwa kwenye Uwanja wa KMC Complex imeendeleza moto wake wa ushindi baada ya kuichapa KMC mabao 2-0. Mbali na ushindi wa KMC, JKT Tanzania imefanikiwa kujiweka kwenye nafasi nzuri baada ya kuichapa Fountain Gate bao 1-0 kwenye Uwanja wa Kwaraa Mkoani Manyara. Katika mchezo wa Tabora ambayo imeendelea kubaki nafasi ya tano na…

Read More

Samia ataja mikakati Tanzania kupata nishati safi

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan ametaja mikakati ya kuhakikisha kuwa Tanzania inakuwa na nishati safi kwa lengo la kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi, ikiwa pamoja na kuhakikisha wananchi wote wanafikiwa na umeme. Ameyasema hayo leo Novemba 29, 2024 alipokuwa akishiriki mjadala wa wakuu wa nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) jijini…

Read More