Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: December 1, 2024

  • Home
  • 2024
  • December
  • 1
Habari

Nondo atelekezwa Magomeni akiwa mahututi

December 1, 2024 Admin

  MWENYEKITI wa Ngome ya Vijana ya chama cha ACT-Wazalendo, Abdul Nondo, amepatikana usiku huu baada ya kutupwa karibu na makao makuu ya chama hicho,

Read More
Habari

CCM MKOA WA PWANI YATOBOA SIRI KUCHUKUA KWA KISHINDO MITAA YOTE 146

December 1, 2024 Admin

VICTOR MASANGU, PWANI Chama cha mapinduzi (CCM) Mkoa wa Pwani kimesema kwamba kimeshinda kwa kishindo na kufanikiwa kuweza kuchukua mitaa yote 146 ndani ya Mkoa

Read More
Habari

WAKULIMA WILAYANI TUNDURU WAKUMBUSHWA KUWEKA FEDHA ZA KUNUNULIA PEMBEJEO

December 1, 2024 Admin

Na Mwandishi Maalum, Tunduru TANI zaidi ya 2,878 za korosho ghafi, zimeuzwa na wakulima wa zao hilo katika mnada wa sita uliofanyika katika chama cha

Read More
Habari

TGS 2024: Wajiolojia wamiminika Tanga, waanza kwa ziara ya mafunzo

December 1, 2024 Admin

Wajiolojia kutoka ndani na nje ya nchi ya Tanzania wamewasili Jijini Tanga kwa ajili ya Mkutano wao wa mwaka (TGS 2024) utakaofanyika Desemba 04 hadi

Read More
Habari

Hivi ndivyo Nondo wa ACT Wazalendo alivyotekwa Dar

December 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wakati tukio la Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ya ACT-Wazalendo, Abdul Nondo kudaiwa kutekwa na watu wasiojulikana likiibua mjadala, Jeshi la Polisi

Read More
Habari

Ummy Mwalimu ataja siri ushindi wa Dk Ndugulile WHO

December 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mbunge wa Tanga Mjini, Ummy Mwalimu amezungumzia ushindi wa aliyekuwa mkurugenzi mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Kanda ya Afrika na

Read More
Kimataifa

Maafisa wa Umoja wa Mataifa wametoa hofu juu ya kuongezeka kwa ghasia kaskazini magharibi mwa Syria – Masuala ya Ulimwenguni

December 1, 2024 Admin

Kengele hiyo inakuja huku kukiwa na ongezeko kubwa la mapigano katika Jimbo la Aleppo, na kusambaa hadi sehemu za majimbo ya Idleb na Hama na

Read More
Habari

Makamba asimulia mikiki aliyopitia Dk Ndugulile hadi ubosi WHO 

December 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mbunge wa Bumbuli na aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amesimulia mambo aliyoyapitia, Dk Faustine

Read More
Habari

Profesa Janabi asimulia alivyosimamia mitihani ya Dk Ndugulile

December 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Profesa Mohamed Janabi amesema anachokikumbuka kwa aliyekuwa mbunge wa Kigamboni na Mkurugenzi mteule wa Shirika

Read More
Habari

Rais Samia akutana Malaigwanani wa Ngorongoro, atangaza kuunda tume

December 1, 2024 Admin

Arusha.  Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametangaza uamuzi wa kuunda tume mbili ikiwamo itakayochunguza na kutoa mapendakezo kuhusu masuala ya ardhi yanayolalamikiwa na wakazi

Read More

Posts pagination

1 2 … 8 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.