Nondo atelekezwa Magomeni akiwa mahututi

  MWENYEKITI wa Ngome ya Vijana ya chama cha ACT-Wazalendo, Abdul Nondo, amepatikana usiku huu baada ya kutupwa karibu na makao makuu ya chama hicho, Magomeni, Dar es salaam, akiwa na majeraha na mahututi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam  …(endelea). Ado Shaibu, katibu mkuu wa chama hicho, amethibitisha kupatikana kwa kiongozi huyo na kuongeza,…

Read More

Hivi ndivyo Nondo wa ACT Wazalendo alivyotekwa Dar

Dar es Salaam. Wakati tukio la Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ya ACT-Wazalendo, Abdul Nondo kudaiwa kutekwa na watu wasiojulikana likiibua mjadala, Jeshi la Polisi limeelezea jinsi tukio hilo lilivyotokea. Nondo anadaiwa kukutwa na kadhia hiyo leo Jumapili, Desemba mosi, 2024 muda mfupi baada ya kushuka katika basi kituo cha mabasi cha Magufuli, jijini Dar…

Read More

Ummy Mwalimu ataja siri ushindi wa Dk Ndugulile WHO

Dar es Salaam. Mbunge wa Tanga Mjini, Ummy Mwalimu amezungumzia ushindi wa aliyekuwa mkurugenzi mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Kanda ya Afrika na mbunge wa Kigamboni, marehemu Dk Faustine Ndugulile kuwa ulikuwa mgumu hasa katika mchakato wa kuomba kura. Ummy aliyewahi kuwa Waziri wa Afya amesema hayo leo Jumapili, Desemba mosi, 2024 alipofika…

Read More

Maafisa wa Umoja wa Mataifa wametoa hofu juu ya kuongezeka kwa ghasia kaskazini magharibi mwa Syria – Masuala ya Ulimwenguni

Kengele hiyo inakuja huku kukiwa na ongezeko kubwa la mapigano katika Jimbo la Aleppo, na kusambaa hadi sehemu za majimbo ya Idleb na Hama na kuacha hali kuwa tete na isiyotabirika. Katika a kauli Siku ya Jumapili, Mjumbe Maalum wa Umoja wa Mataifa kwa Syria Geir O. Pedersen alielezea wasiwasi wake mkubwa juu ya mabadiliko…

Read More

Profesa Janabi asimulia alivyosimamia mitihani ya Dk Ndugulile

Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Profesa Mohamed Janabi amesema anachokikumbuka kwa aliyekuwa mbunge wa Kigamboni na Mkurugenzi mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Kanda ya Afrika, Dk Faustine Ndugulile ni jinsi alivyomsimamia mitihani miwili kwa nyakati tofauti. Hayo amebainisha alipojitokeza kuomboleza na kuhani msiba wa Dk Faustine Ndugulile nyumbani…

Read More

Rais Samia akutana Malaigwanani wa Ngorongoro, atangaza kuunda tume

Arusha.  Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametangaza uamuzi wa kuunda tume mbili ikiwamo itakayochunguza na kutoa mapendakezo kuhusu masuala ya ardhi yanayolalamikiwa na wakazi wa Ngorongoro. Nyingine itaangalia utekelezaji wa uhamaji kwa hiari kutoka eneo la Hifadhi ya Ngorongoro kwenda Msomera, wilayani Handeni, Mkoa wa Tanga. Rais Samia ametangaza uamuzi huo leo Jumapili, Desemba…

Read More