Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: December 2, 2024

  • Home
  • 2024
  • December
  • 2
Habari

Benki ya Letshego Faidika yakopesha Sh5.3 bilioni wateja wa mkoa wa Mbeya, yafungua tawi jipya

December 2, 2024 Admin

  Na Mwandishi wetu Mbeya. Benki ya Letshego Faidika imetumia jumla ya Sh 5,348,067,950.91 kukopesha wateja 1,305 wa mkoa wa Mbeya. Hayo yamesemwa na mjumbe

Read More
Habari

MAONESHO YA NNE YA VIWANDA KUZINDULIWA DES 17, 2024 KIBAHA

December 2, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu MKUU wa Mkoa wa Pwani Abubakari Kunenge amesema Wiki ya Uwekezaji na Biashara Mkoa wa Pwani ambayo inafanyika kwa mara ya nne

Read More
Habari

TPA YATWAA TUZO YA MWAJIRI BORA WA MWAKA KWENYE SEKTA YA UMMA

December 2, 2024 Admin

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imetwaa kwa mara ya tatu mfululizo Tuzo ya Mwajiri bora wa mwaka kwenye Sekta ya Umma katika halfa

Read More
Habari

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA MUJIBU WA SHERIA

December 2, 2024 Admin

Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe Dkt. Zakia Mohamed Abubakar akizungumza wakati akifunga mafunzo ya kwa watendaji wa uboreshaji wa Daftari la

Read More
Habari

SERIKALI KUANZA NA WATU MILIONI 13 KUWAWEKA SEKTA RASMI, UN WAJA NA UTAFITI

December 2, 2024 Admin

Na Said Mwishehe,Michuzi TV WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu), Ridhiwani Kikwete,amesema Serikali imepanga katika awamu ya

Read More
Kimataifa

UN yakabiliana na kuenea kwa jangwa, ukame na ufufuaji wa ardhi – Masuala ya Ulimwenguni

December 2, 2024 Admin

© WFP/Evelyn Fey Wanawake huko Djoukoulkili, Chad, wanafanya kazi kuzuia upotevu wa ardhi. Jumatatu, Desemba 02, 2024 Habari za Umoja wa Mataifa Watu kote ulimwenguni

Read More
Habari

WANUFAIKA TASAF WENYE ULEMAVU WAISHUKURU TASAF KUBADILISHA MAISHA YAO, WATOA NENO KWA RAIS DK.SAMIA

December 2, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu WANUFAIKA wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii(TASAF) hususani wenye ulemavu wa aina mbalimbali wametoa shukrani kwa Mfuko huo kwa kubadilisha maisha yao

Read More
Habari

WAHASIBU WA NCHI ZA AFRIKA (AAAG)WAASWA KUWA NAMATUMIZI SAHIHI YA FEDHA ZA UMMA HASWA KWENYE KUTEKELEZA MIRADI.

December 2, 2024 Admin

Na. Vero Ignatius Arusha.  Mkutano wa Pili wa Mwaka wa Umoja wa jumuiya ya Wahasibu wa Nchi za Afrika (AAAG)Umefanyika Jijini Arusha katika kituo cha

Read More
Habari

MADIWANI KENYA WATEMBELEA TARI TENGERU KUJIFUNZA KILIMO

December 2, 2024 Admin

Madiwani kutoka kaunti ya Eligeyo-Marakwet nchini Kenya wametembelea Kituo cha Utafiti wa Kilimo cha TARI Tengeru kilichopo Arusha kwa lengo la kujifunza shughuli zinazofanywa kituoni

Read More
Habari

Swahili Fashion Week and Award 2024 Yazinduliwa, Wabunifu 40 Kuonesha Kazi Zao

December 2, 2024 Admin

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV MSIMU wa 17 wa Wiki ya Maonesho na tuzo za Mitindo za Swahili (Swahili Fashion Week and Award 2024 )

Read More

Posts pagination

1 2 … 9 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.