UN yakabiliana na kuenea kwa jangwa, ukame na ufufuaji wa ardhi – Masuala ya Ulimwenguni

© WFP/Evelyn Fey Wanawake huko Djoukoulkili, Chad, wanafanya kazi kuzuia upotevu wa ardhi. Jumatatu, Desemba 02, 2024 Habari za Umoja wa Mataifa Watu kote ulimwenguni wanakabiliwa na matokeo mabaya kwani ardhi inayosaidia maisha, kusaidia kudhibiti hali ya hewa na kulinda bayoanuai inazidi kuharibika kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa na usimamizi mbaya. Mkataba wa…

Read More

WANUFAIKA TASAF WENYE ULEMAVU WAISHUKURU TASAF KUBADILISHA MAISHA YAO, WATOA NENO KWA RAIS DK.SAMIA

Na Mwandishi Wetu WANUFAIKA wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii(TASAF) hususani wenye ulemavu wa aina mbalimbali wametoa shukrani kwa Mfuko huo kwa kubadilisha maisha yao kupitia fedha za ruzuku huku wakitoa rai kuwa mfuko huo kuangalia uwezekano wa kuendelea kuwasaidia zaidi sambamba na kumuomba Rais Samia Suluhu Hassan kuendelea kulisaidia kundi la watu wenye ulemavu….

Read More

WAHASIBU WA NCHI ZA AFRIKA (AAAG)WAASWA KUWA NAMATUMIZI SAHIHI YA FEDHA ZA UMMA HASWA KWENYE KUTEKELEZA MIRADI.

Na. Vero Ignatius Arusha.  Mkutano wa Pili wa Mwaka wa Umoja wa jumuiya ya Wahasibu wa Nchi za Afrika (AAAG)Umefanyika Jijini Arusha katika kituo cha kimataifa AICC ukiwa unaakisi matarajio ya pamoja kama mataifa ya Afrika ya kuimarisha mifumo ya usimamizi wa fedha kama chachu ya ukuaji endelevu. Akuzungumza wakati wa kuzungumza leo 2 desemba…

Read More

MADIWANI KENYA WATEMBELEA TARI TENGERU KUJIFUNZA KILIMO

Madiwani kutoka kaunti ya Eligeyo-Marakwet nchini Kenya wametembelea Kituo cha Utafiti wa Kilimo cha TARI Tengeru kilichopo Arusha kwa lengo la kujifunza shughuli zinazofanywa kituoni hapo ili kuweza kushauri Serikali nchini kwao kutokana na uzoefu wa kazi zinazofanyika nchini Tanzania. Ugeni huo wa watu 12, ukihusisha madiwani 10, Katibu na dereva ikiwa ni ujumbe wa…

Read More