Sababu bei ya nyama kupaa, Dar yaongoza

Dar es Salaam. Kupungua mifugo inayopelekwa sokoni, madai ya kuwapo wanunuzi kutoka nje ya nchi katika minada ya awali na ongezeko la mahitaji ya nyama ni miongoni mwa sababu ya zinazotajwa kupaisha bei ya nyama katika maeneo mbalimbali nchini, Dar es Salaam ikiongoza. Sababu hizo zimechochea kupanda kwa bei ya ng’ombe katika minada ya awali…

Read More

Aliyeiba iPhone 16 Pro Max, apewa kifungo cha nje

Dar es Salaam. Mahakama ya Mwanzo Kariakoo, imemhukumu Justo William (31) kutumikia kifungo cha nje cha miezi minne baada ya kupatikana na hatia ya kuiba simu ya mkononi aina ya Iphone 16 Pro Max yenye thamani ya Sh7 milioni. William ambaye ni dereva na mkazi wa Kitunda, jijini Dar es Salaam amehukumiwa kifungo hicho leo,…

Read More

WAZIRI JAFO ATAKA WAWEKEZAJI KUONGEZA WIGO WA UWEKEZAJI NCHINI

  Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Dkt.Selemani Jafo(Mb) akitembelea Kiwanda cha Vioo cha KEDA ili kuona shughuli za uzalishaji wa Vioo katika kiwanda hicho kilichopo Mkuranga Mkoani Pwani.   …. Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Dkt.Selemani Jafo amewataka wawekezaji Nchini kuongeza wigo wa uwekezaji nchini ili kuendeleza uchumi wa Viwanda Nchini. Amesema wamiliki wa Viwanda…

Read More

Ukame alielezea – ​​Global Issues

Ibrahim Thiaw, Katibu Mtendaji wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Kupambana na Kuenea kwa Jangwa (UNCCD) alikuwa akizungumza katika ufunguzi wa COP16 mkutano mkubwa wa kimataifa unaofanyika mjini Riyadh, Saudi Arabia, ambapo utawala mpya wa kimataifa wa ukame unatarajiwa kuafikiwa ambao utakuza mabadiliko kutoka kwa mwitikio tendaji wa misaada hadi kujiandaa kwa vitendo. Hapa…

Read More

Baba asimulia mwenyekiti UVCCM alivyouawa

Mbeya. Adalas Mwijagege, baba mzazi wa Michael Kalinga ali, mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Tawi la Machinjioni, Chunya mkoani Mbeya amesema anaviachia vyombo vya dola kubaini waliohusika na mauaji ya mwanaye. Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo Jumanne, Desemba 3, 2024 na mwili wa kijana huyo umekutwa katika Kata…

Read More

Polisi Mbeya wataja chanzo cha ajali barabarani

Mbeya. Wakati Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani mkoani Mbeya likisema watembea kwa miguu, abiria na bodaboda ni chanzo cha ajali za mara kwa mara barabarani,  limetangaza msiamo mpya wa kukabiliana na  changamoto hiyo. Akizungumza leo Jumanne Desemba 3, 2024 wakati wa utoaji elimu ya usalama barabarani kwa wanafunzi, Kamanda wa Kikosi cha Usalama…

Read More

Serikali yaombwa kuajiri madaktari wa wanyama

Arusha. Chama cha Madaktari wa Wanyama Tanzania (TVA), kimeiomba Serikali kuajiri madaktari wapya wa wanyama ili kuimarisha mapambano dhidi ya magonjwa hatarishi, hasa yale ya milipuko na yanayosambaa kimataifa. Akizungumza leo Jumanne Desemba 3, 2024 katika kongamano la 42 la wanachama wa TVA lililohudhuriwa na wajumbe 2,000 kutoka Tanzania na nchi za Jumuiya ya Madola,…

Read More