Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: December 5, 2024

  • Home
  • 2024
  • December
  • 5
Kimataifa

$1.4 bilioni zinahitajika kwa ajili ya huduma za afya ya ngono na uzazi katika nchi zilizokumbwa na matatizo – Masuala ya Ulimwenguni

December 5, 2024 Admin

Ufadhili huo utatumika kutoa huduma za afya ya uzazi zinazookoa maisha na programu muhimu za kuzuia unyanyasaji wa kijinsia kwa zaidi ya watu milioni 45.

Read More
Habari

Afrika yatakiwa kuwekeza kwenye ubora wa rasilimali watu

December 5, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wakati nchi za Afrika zikijivunia kuwa na wingi wa rasilimali ikiwemo ardhi, gesi, mafuta na madini, imeelezwa kuwa endapo hautafanyika uwekezaji wa

Read More
Habari

Nondo azungumzia afya yake akiwa wodini

December 5, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ya ACT Wazalendo, Abdul Nondo amesema licha ya afya yake kuendelea kuimarika, lakini bado anasikia maumivu sehemu

Read More
Habari

Mtanzania atunukiwa udaktari wa heshima Uingereza

December 5, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mtanzania Diana Laizer ametunukiwa udaktari wa heshima na Chuo cha Oxford Club Awards huko London nchini Uingereza kutokana na mchango wake kwenye

Read More
Habari

MALECELA APONGEZA UIMARA WA CCM NA SERIKALI ZAKE KUTUMIKIA WATANZANIA

December 5, 2024 Admin

-Ataka uzalendo zaidi sambamba na utekelezaji wa Ilani ya CCM Na Mwandishi Maalum, Dar es Salaam Makamu wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Mzee John

Read More
Habari

NHIF yalegeza masharti Toto Afya

December 5, 2024 Admin

Dodoma. Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), umeondoa ulazima kwa shule na vyuo kusajili wanafunzi 100 katika mchakato wa kupatiwa bima ya afya,

Read More
Habari

Waliosota gerezani siku 399 waachiwa huru, wamo askari watatu

December 5, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imewaachia huru watu watano wakiwemo waliokuwa askari Polisi, waliyokuwa wanakabiliwa na shtaka la unyang’anyi wa kutumia silaha

Read More
Habari

Tukio la Wakili Lusako ‘kunusurika kutekwa’ laibua mjadala, Polisi yafafanua

December 5, 2024 Admin

Dar es Salaam. Jeshi Polisi nchini, linafanya uchunguzi wa kubaini kilichomfanya Wakili Alphonce Lusako, kukimbia na kujirekodi sauti aliyoituma kwenye mitandao ya kijamii, wakati askari

Read More
Habari

Marie Stopes yaeleza umuhimu wenye ulemavu kupata huduma za afya ya uzazi

December 5, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mkurugenzi Mkazi wa Marie Stopes Tanzania, Patrick Kinemo amesema shirika hilo linatoa huduma za afya ya uzazi kwa wananchi wote ambao wanastahili

Read More
Habari

‘Watu wenye uelamavu wanaweza kujamiiana, wapate huduma za uzazi’

December 5, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mkuu wa Kitengo cha Utetezi na Ujumuishwaji wa Watu Wenye Ulemavu Hospitali ya CCBRT, Fredrick Msigallah amesema watu wenye ulemavu wamekuwa wakionekana

Read More

Posts pagination

1 2 … 12 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.