Yanga yapigwa tena Caf CL

Yanga imepoteza mchezo wa pili mfululizo wa Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuchapwa mabao 2-0 na wenyeji wao MC Alger ya Algeria. Ikicheza vizuri dakika 45 za kwanza na kuonyesha nidhamu kubwa,  wawakilishi hao wa Tanzania kwenye mashindano hayo, ilipoteana kipindi cha pili na kuruhusu bao la kichwa dakika ya 64, lililofungwa na beki…

Read More

Dodoma Jiji nje Shirikisho, Leo Tena yatakata

TIMU za Ligi Kuu zinaendelea kupungua kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho baada ya Dodoma Jiji nayo kuaga kufuatia kipigo cha penalti 5-6 dhidi ya Leo Tena ya mkoani Kagera. Leo Tena inayoshiriki Ligi Daraja la Tatu Mkoa wa Kagera, inaungana na Mambali Ushirikiano ya mkoani Tabora iliyoiaibisha mapema Ken Gold kwa penalti 3-4 baada…

Read More

Wasaidizi wa kibinadamu bado wanashikiliwa Yemen, ugonjwa wa ajabu nchini DR Congo, mahitaji makubwa nchini Haiti – Masuala ya Ulimwenguni

Waasi wa Houthi wanawashikilia zaidi ya wafanyakazi 50 kutoka Umoja wa Mataifa, mashirika ya kimataifa na ya kitaifa yasiyo ya kiserikali (NGOs), mashirika ya kiraia, na balozi za kidiplomasia, pamoja na wafanyakazi wengine wanne wa Umoja wa Mataifa waliozuiliwa mwaka 2021 na 2023. Sheria za kimataifa zilikiuka, juhudi za misaada zilizuiliwa Msemaji wa Umoja wa…

Read More

Sh110 bilioni kuboresha mashamba ya misitu, mikoko

Dar es Salaam. Tanzania imesaini mkataba wa Euro 39.9 milioni (sawa na zaidi ya Sh109.83 bilioni) na Shirika la Maendeleo la Ufaransa (AFD), kwa ajili ya kuimarisha usimamizi wa mashamba ya miti ya Serikali na kuhifadhi misitu ya mikoko. Mradi huu unalenga kuziba pengo hilo kwa kupanda hekta 22,500 za miti ndani ya miaka mitano…

Read More