Watoto wanne wafa maji wakijaribu kuokoana

Mwanza. Watoto wanne wamefariki dunia katika Kijiji cha Isengwa, Wilaya ya Itilima mkoani Simiyu wakijaribu kuokoana kwenye dimbwi la maji, baada ya mwenzao kuteleza na kutumbukia wakati wakichota maji ya kufua nguo. Akizungumza kwenye eneo la tukio leo Desemba 13, 2024, Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani Simiyu, Faustin Mtitu amesema watoto…

Read More

Siri maambukizi ya VVU Kigoma kupungua

Kigoma. Maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU) mkoani Kigoma yanatajwa kupungua kutoka asilimia 3.4 mwaka 2013 hadi 1.7 mwaka 2023 sawa na upungufu wa asilimia 50. Takwimu hizo zimetolewa leo Ijumaa Desemba 13, 2024 na Mkurugenzi wa Huduma za Tiba na Matunzo wa Tanzania Health Promotion Support (THPS) kupitia mradi wa ‘Afya Hatua’, Dk Frederick…

Read More

DKT.JAFO ASHIRIKI KIKAO CHA MAWAZIRI CHA KISEKTA NCHINI ETHIOPIA

  WAZIRI  wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Selemani Saidi Jafo,leo Disemba 12,2024 ameshiriki kikao cha Mawaziri cha kisekta chenye lengo la kuimarisha masuala ya kiuchumi kilichofanyika  Jijini Addis Ababa, Ethiopia. Katika Mkutano huo masuala mbalimbali ya kisera yamejadiliwa ili kuimarisha uchumi kupitia Biashara, Madini ya mkakati, na Utalii.   Dkt.Jafo akiwa na  Naibu Waziri wa Madini…

Read More

Vyama vya siasa kufungua pazia maoni Dira ya Taifa 2050

Dar es Salaam. Vyama  19 vya siasa vilivyosajiliwa nchini Tanzania vinatarajiwa kufungua pazia la utoaji wa maoni kuhusu Rasimu ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, iliyozinduliwa Desemba 11, 2024, Zanzibar. Vyama hivyo vinaanza kutoa maoni kesho Desemba 14, 2024, huku matarajio ya wananchi kwa Dira hii yakiwa ni kujenga uchumi imara, unaostawi na kuboresha…

Read More