Je, ongezeko la udhibiti wa mipaka linazima ndoto ya EU? – DW – 15.12.2024

Mwezi Juni 2025, kijiji cha Schengen kilichopo kusini magharibi mwa taifa dogo la Umoja wa Ulaya, Luxemburg, kitakuwa mwenyeji wa sherehe kubwa. Ilikuwa huko Schengen mnamo Juni 14, 1985, ambapo mawaziri kutoka Uholanzi, Ubelgiji, Luxemburg, Ufaransa na Ujerumani walisaini makubaliano yaliyoweka msingi wa kuvuka mipaka kati ya nchi zao bila ukaguzi wa vitambulisho. Huu ulikuwa…

Read More

Lost Love; Filamu ya kiswahili inayokimbiza Marekani

Texas, Marekani Baada ya kimya cha muda mrefu, mwongozaji na mwigizaji gwiji wa filamu kutoka Houston Texas Marekani, Alenga Elize maarufu Alenga The Great, amefyatua sinema yake mpya ya Kiswahili inayoitwa ‘Lost Love (Wolf In a Sheep Clothes)’. Alenga The Great amejizolea umaarufu kwa kuandaa filamu zenye msisimko wa aina yake huku akiing’arisha vyema tasnia…

Read More

Mabadiliko ya tabianchi na hatari ya wanyama kupotea – 4

Kilimajaro. Ongezeko la joto, mabadiliko ya vipindi vya mvua, na upungufu wa raslimali za asili vinaathiri uwezo wa wanyama kufuata mifumo ya hali ya hewa. Jambo hili limeathiri wanyama kutafuta chakula na hivyo kuhamia maeneo mapya, hali inayoongeza hatari ya kutoweka au kushambuliwa na magonjwa. Haya ni mabadiliko ya tabianchi yaliyoathiri mifumo ya ikolojia ya…

Read More

50 kuchuana Chadema kanda za Kaskazini, Kati

Dar es Salaam. Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), imepitisha majina 50 ya wagombea watakaoingia kwenye kinyang’anyiro cha kuwania nafasi mbalimbali za uongozi wa kanda za Kaskazini na Kati. Waliojitosa kugombea nafasi zikiwamo za uenyekiti, makamu mwenyekiti na mtunza hazina ni 22 kutoka Kanda ya Kaskazini na 28 wa Kanda ya Kati….

Read More

Kijana afariki dunia kwa kuchapwa fimbo kichwani akicheza mchezo wa jadi

Morogoro/Dar. Kijana wa jamii ya wafugaji, Jisandu Mihayo (19), mkazi wa Kijiji cha Chiwangawanga wilayani Ulanga amefariki dunia, ikidaiwa alipigwa fimbo kichwani na mwenzake walipokuwa wakicheza. Inadaiwa alikuwa akicheza na wenzake michezo ya jadi ya kushindana kuchapana fimbo mwilini. Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa leo Jumapili, Desemba 15, 2024 na Kamanda…

Read More

Waomba mazingira rafiki uchaguzi mkuu 2025, tume yafafanua

Mbeya. Wakati watu wenye uhitaji maalumu wakiomba kuwekewa mazingira rafiki kushiriki mchakato wa kupiga kura, viongozi wa dini nao wameomba kupewa utaratibu wa kushiriki rasmi siasa wakidai ni sehemu ya maisha. Hayo yamebainishwa leo Desemba 15, 2024 wakati wa mkutano wa tume na wadau wa uchaguzi kuhusu uboreshaji wa daftari la kudumu la wapigakura uliofanyika…

Read More

CCM Katavi yajibu kauli ya Arfi

Mpanda. Baada ya aliyewahi kuwa mbunge wa Mpanda Mjini mkoani Katavi, Said Arfi kusema Chama cha Mapinduzi (CCM) kinatumia nguvu kubwa kuua vyama vya upinzani, chama hicho kimepinga kauli hiyo. Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Mkoa wa Katavi, Theonas Kinyoto amesema tuhuma hizo si za kweli, bali vyama vya upinzani bado ni vichanga…

Read More

Je, ongezeko la udhibiti wa mipaka unahitimisha ndoto ya EU? – DW – 15.12.2024

Mwezi Juni 2025, kijiji cha Schengen kilichopo kusini magharibi mwa taifa dogo la Umoja wa Ulaya, Luxemburg, kitakuwa mwenyeji wa sherehe kubwa. Ilikuwa huko Schengen mnamo Juni 14, 1985, ambapo mawaziri kutoka Uholanzi, Ubelgiji, Luxemburg, Ufaransa na Ujerumani walisaini makubaliano yaliyoweka msingi wa kuvuka mipaka kati ya nchi zao bila ukaguzi wa vitambulisho. Huu ulikuwa…

Read More