Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: December 16, 2024

  • Home
  • 2024
  • December
  • 16
Magazeti

PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO DISEMBA 17,2024

December 16, 2024 Admin

Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO DISEMBA 17,2024 About the author

Read More
Michezo

Lookman  mchezaji bora Afrika 2024

December 16, 2024 Admin

Mshambuliaji wa Atalanta na timu ya taifa ya Nigeria, Ademola Lookmann leo, Desemba 16, 2024 ameibuka mshindi wa tuzo ya mchezaji bora Afrika 2024 ya

Read More
Michezo

Guede apewa thank you Singida Black Stars 

December 16, 2024 Admin

Maisha ya mshambuliaji Joseph Guede ndani ya klabu ya Singida Black Stars yamefikia baada ya kutupiwa virago. Mshambuliaji huyo wa zamani wa Yanga klabu yake

Read More
Habari

Serikali yaja na sharti jipya ‘plea bargaining’

December 16, 2024 Admin

Dar es Salaam. Serikali imeweka sharti jipya la mshtakiwa wa kesi ya jinai au uhujumu uchumi, kumaliza kesi kwa utaratibu wa majadiliano na makubaliano na

Read More
Habari

Ushauri kwa wizara upelekaji fedha kwa halmashauri

December 16, 2024 Admin

Dodoma. Wizara za kisekta zimeshauriwa kuhakikisha zinapeleka fedha kutekeleza vipaumbele vyao kwenye halmashauri kuwezesha miradi kutekelezwa bila vikwazo. Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Mbegu

Read More
Habari

VIDEO: Lissu adai kuwasilisha majina ya waliopenyezewa fedha za uchaguzi Chadema

December 16, 2024 Admin

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu amesema ameshapeleka ushahidi kuhusu madai ya rushwa ndani ya chama hicho kwenye vikao halali, hivyo anatarajia

Read More
Habari

Madai ya Katiba mpya yaibuka mjadala dira ya Taifa

December 16, 2024 Admin

Dar es Salaam. Hitaji la Katiba mpya, maboresho ya mfumo wa elimu na mbinu za kutatua migogoro ya ardhi, ni mambo matatu yaliyosisitizwa na wahariri

Read More
Habari

Ahadi ya Serikali kurahisisha utaratibu biashara changa

December 16, 2024 Admin

Dar es Salaam. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Madini, Dk Doto Biteko ametoa maagizo matatu kwa wizara yanayolenga kutatua changamoto zinazolalamikiwa na wabunifu wa

Read More
Habari

Serikali Yaweka Mkazo Katika Kujenga Uwezo wa Viongozi wa Mitaa kwa Ufanisi wa Miradi ya Maendeleo

December 16, 2024 Admin

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Imeelezwa kuwa na viongozi wa serikali za mitaa wenye ufanisi mkubwa na uadilifu mkubwa katika utendaji wa kutumia rasilimali zilizopo

Read More
Habari

Utata mwili wa Ulomi ukipatikana Mwananyamala

December 16, 2024 Admin

Dar es Salaam. Siku tano tangu mfanyabiashara Daisle Ulomi alipopotea Desemba 11, 2024,  mwili wake umekutwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwananyamala, jijini Dar

Read More

Posts pagination

1 2 … 9 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.