Sababu Jeshi la Polisi kutajwa 10 bora Afrika

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi la Tanzania limetajwa kuwa miongoni mwa majeshi bora 10 barani Afrika kwa kuwa na weledi na kuheshimu haki za wananchi, utafiti wa Afrobarometer umebainisha. Katika kigezo hicho, Burkina Faso imeongoza ikifuatiwa na Morocco, Niger, Benin, Mali, Senegal, Tanzania, Madagascar, Mauritania na Mauritius. Mbali na kigezo hicho, pia Tanzania imeongoza…

Read More

Mtazamo tofauti ushindi wa Profesa Lipumba CUF

Dar es Salaam. Ingawa ushindi wa Profesa Ibrahim Lipumba katika nafasi ya uenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) Taifa ni furaha kwake na baadhi ya makada, wanazuoni wanauona kama ni kaburi la chama hicho. Wasiwasi wa wanazuoni hao kuhusu kupotea zaidi kwa chama hicho kilichowahi kuwa kikuu cha upinzani Tanzania, unatokana na wanachoeleza kuwa hakutakuwa…

Read More

Marehemu Ulomi alikuwa koplo wa Polisi

Dar es Salaam. Kamishna msaidizi wa Jeshi la Polisi Makao Makuu Dodoma, Elisante Ulomi amesema mdogo wake, Daisle Simon Ulomi aliyefariki dunia kwa ajali ya pikipiki jijini hapa, alikuwa mtumishi wa Jeshi la Polisi kabla ya kuacha kazi hiyo mapema mwaka huu. Kwa mujibu wa Jeshi la Polisi, Ulomi aliyekuwa anafanya biashara ya fedha ya…

Read More

Askari waliouawa kwa risasi wakimkamata mtuhumiwa waagwa

Mpwapwa. Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa, Dk Sophia Kizigo ameongoza waombolezaji kuuaga miili ya maaskari polisi wawili waliouawa kwa kupigwa risasi na mtuhumiwa wa unyang’anyi wa kutumia silaha, wakiwa kwenye operesheni ya kumkamata. Akitoa salamu kwa waombolezaji leo Desemba 19, 2024, Dk Kizigo amelaani tukio hilo akisema jamii inapaswa kulikemea kwa nguvu zote ili kuondoa…

Read More

Shule 26 zapata Tuzo ya Bendera ya Kijani

Morogoro. Jumla ya shule 26 za msingi na sekondari katika halmashauri nne zimetunukiwa Tuzo ya Bendera ya Kijani kutoka Taasisi ya Elimu ya Mazingira Duniani (FEE) baada ya kukidhi vigezo vya kuboresha elimu na mazingira kupitia Programu ya Eco-School unaosimamiwa na Shirika la Kuhifadhi Misitu ya Asili Tanzania (TFCG) hapa nchini. Akizungumza katika hafla ya…

Read More

Mfumo wa kielektroniki wa BoT kupunguza wateja kuonewa

Arusha. Mfumo maalumu wa kielektroniki mahususi kwa ajili ya kushughulikia changamoto na malalamiko ya wateja kwa taasisi za fedha, unatajwa kulinda wateja na kupunguza malalamiko hasa ya watoa mikopo wasiozingatia kanuni na taratibu. Aidha mfumo huo unatajwa kusaidia watoa huduma za kifedha kutoa huduma bora kwa kuzingatia kanuni na taratibu zilizowekwa. Kauli hiyo imetolewa leo…

Read More

Rais Samia kushiriki maadhimisho Chama cha Majaji Wanawake

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuongoza maadhimisho ya miaka 25 ya Chama cha Majaji Wanawake Tanzania (TAWJA). Maadhimisho hayo yatafanyika kwa siku tano kuanzia Januari 19 hadi 23, 2025 jijini Arusha. Mwenyekiti wa TAWJA, Jaji wa Mahakama ya Rufani, Barke Sehel amesema wamemuomba Rais kuwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho hayo. Amesema siku…

Read More

Majaliwa kuzindua tuzo ya kwanza ya uhifadhi na utalii

Arusha. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kesho Ijumaa anatarajiwa kuzindua tuzo ya kwanza ya uhifadhi na utalii nchini. Imeelezwa kuwa tukio hilo linalenga kutambua mchango wa watu na taasisi binafsi zilizoleta mafanikio katika sekta hiyo muhimu nchini. Uzinduzi wa tuzo hizo za kimataifa utakaofanyika kesho Ijumaa Desemba 20, 2024 jijini Arusha, umeandaliwa na Wizara ya Maliasili…

Read More