
PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO DISEMBA 22,2024
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO DISEMBA 22,2024 About the author
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO DISEMBA 22,2024 About the author
Macron alifanya ziara kifupi katika taifa hilo la Pembe ya Afrika kwa mazungumzo na Rais Ismail Omar Guelleh na kukutana na wanajeshi wa Ufaransa kabla ya sikukuu za mwisho wa mwaka. Hivi karibuni, mataifa kadhaa ya Afrika yamevunja makubaliano ya kijeshi na Ufaransa na kuamuru wanajeshi wake waondoke. Macron alisema wakati wa mazungumzo na Guelleh…
> CCM Yakemea viongozi wenye kujihusisha na vitendo vya rushwa pamoja na kukandamiza watu. ” Kwa mujibu wa ibara ya 16 inamtaja nani kiongozi, maana yake kiongozi ni mwanachama yeyote wa CCM aliyepewa dhamana kwa kuchaguliwa ama kuteuliwa ” Hayo yamesemwa na Katibu wa NEC – Idara ya Oganaizesheni wa CCM Taifa Ndugu. Issa Haji…
Naibu Waziri, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki, Mhe. DENNIS L. LONDO (Mb.) amewataka watumishi wanaotoa huduma mipakani kufanya kazi kwa bidi, weledi na uadilifu. Mhe. Londo ametoa rai hiyo alipokuwa akiongea na watumishi wanaotoa huduma katika Kituo cha Utoaji Huduma kwa Pamoja cha Holili/Taveta, Wilayani…
Dodoma. Watu watatu wamejeruhiwa kwa kukatwa kwa mapanga katika Mtaa wa Msangalalee Magharibi, Kata ya Dodoma Makulu na kikundi cha uhalifu cha watoto wenye umri chini ya miaka 18, baada ya kuwanyima fedha walizoomba. Matukio hayo yametokea kwa siku tatu mfululizo kuanzia Desemba 12 hadi 14, 2024 kati ya saa 2:00 usiku hadi saa 3:30…
Mwenyekiti wa Chipkizi Chama Cha Mapinduzi (CCM)Mkoa wa Morogoro Jeremia Kisena Mabuba amewataka wazazi na walezi kuwalinda watoto na vitendo vya ukatili hasa kipindi hiki Cha likizo na sikukuu. Mabuba amesema kuwa ataungana na Serikali ya awamu ya sita katika kuhakikisha wanakabiliana na vitendo vya kikatili wanavyofanyiwa watoto hasa wakiume ambao wanaonekana wamesahaulika katika jamii…
“Kamandi kuu inatangaza uteuzi wa Bw. Assaad Hassan al-Shibani kuwa waziri wa mambo ya nje katika serikali mpya ya Syria,” ilissema taarifa. “Alijiunga na mapinduzi ya Syria mwaka 2011… na alishiriki katika kuanzisha Serikali ya Uokoaji,” yalisema maandishi yaliyochapishwa kwenye Telegram. Serikali ya Uokoaji, ambayo ina wizara, idara, mamlaka za kisheria na usalama, ilianzishwa mwaka…
Songea. Stendi ya mabasi inayojengwa katika Kijiji cha Lundusi kilichopo Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma, inatarajiwa kumaliza adha ya usafiri kwa wananchi walishio vijijini wanaolazimika kutumia gharama kubwa kufuata huduma ya usafiri mjini Songea, zaidi ya kilomita 60. Kutokana na umuhimu wake, wananchi wameitaka kamati ya ujenzi wa mradi wa stendi hiyo kukamilisha mradi huo…
Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu raia 48 wa Malawi kulipa faini ya Sh 500,000 au kwenda jela miezi sita kila mmoja baada ya kupatikana na hatia ya kuishi nchini Tanzania bila kuwa na kibali. Pia, Mahakama hiyo imeelekeza washtakiwa hao, baada ya kumaliza kutumikia adhabu hiyo, warejeshwe nchini kwao. Washtakiwa hao…
Dar es Salaam. Mlinzi, Abdallah Mtema (52) ameieleza Mahakama Kuu, Divisheni ya Ardhi, namna alivyolinda shamba lenye ukubwa wa ekari 20, mali ya aliyekuwa Askofu wa kwanza wa Kanisa la Anglikana Tanzania, John Sepeku kwa muda wa miaka 36. Mtema ambaye ni mkazi wa Buza, Wilaya ya Temeke ametoa ushaidi wake leo, mahakamani hapo katika…