Watu 21 wauawa Msumbiji baada ya uamuzi wa mahakama – DW – 24.12.2024

Mahakama kuu ya nchi hiyo inayozungumza Kireno ilithibitisha Jumatatu kuwa chama cha Frelimo, ambacho kimekuwa madarakani tangu 1975, kilishinda uchaguzi wa urais wa Oktoba 9 ambao tayari ulikuwa umechochea wiki kadhaa za machafuko.  Jumla ya “matukio 236 ya vurugu kali yaliripotiwa” kote nchini, yakisababisha watu wasiopungua 25 kujeruhiwa, wakiwemo maafisa wa polisi 13, Waziri wa…

Read More

Askofu Musomba ataka Kristo akumbukwe kwa kuhubiri amani

Dar es Salaam. Wito wa kutangaza amani katika ngazi ya familia, taifa na binafsi, umetolewa ili kuienzi vema kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Kristo. Kwa mujibu wa Askofu Msaidizi, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Stephano Musomba, amani ndiyo chachu ya upatanishi miongoni mwa watu. Askofu Musomba ameyasema hayo leo Jumatatu, Desemba 24, 2024 alipohubiri…

Read More

Mikate yadimika Moshi, sababu yatajwa

Moshi. Kufuatia wingi wa watu waliokuja kusherehekea sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya mkoani Kilimanjaro, bidhaa aina ya mkate imeadimika katika maduka makubwa (supermarkets) mjini Moshi  na kusababisha adha  kwa watumiaji wa bidhaa hiyo. Bidhaa hiyo ambayo hutumiwa na familia nyingi imekuwa adimu kuanzia jioni ya leo, Desemba 24, 2024 na baadhi ya watu waliofika…

Read More

KKKT yahubiri nuru ya Taifa mkesha wa Krismasi

Dar es Salaam. Wakristo wametakiwa kutafakari na kutenda yaliyo mema ili kuyaweka maisha yao na Taifa lao katika nuru, wakati wa kusherehekea Sikukuu ya Krismas. Imeelezwa kuwa, nuru huongoza maisha ya mtu, huleta furaha, amani na upendo na kwamba Taifa lenye nuru hujawa mafanikio. Hayo yamesemwa leo Jumanne, Desemba 24, 2024 na Msaidizi wa Askofu…

Read More

Mikutano Mitatu ya Mwaka huu ya Umoja wa Mataifa Imeweka Hatua ya COP30 Kubadilisha Mifumo ya Chakula – Masuala ya Ulimwenguni

12 Novemba 2024, Baku, Azerbaijan. Mkurugenzi Mkuu wa FAO QU Dongyu na Ismahane Elouafi, EMD wa CGIAR wanahudhuria uzinduzi wa Banda la Chakula na Kilimo FAO/CGIAR wakati wa COP29. Credit: FAO/Alessandra Benedetti Maoni na Cargele Masso, Aditi Mukherji (nairobi, kenya) Jumanne, Desemba 24, 2024 Inter Press Service NAIROBI, Kenya, Desemba 24 (IPS) – Mwaka huu…

Read More