Russia ilishambulia mfumo wa nishati wa Ukraine na baadhi ya miji siku ya Jumatano kwa makombora ya masafa marefu na makombora ya balistiki pamoja na
Day: December 25, 2024

Mnamo Desemba 26, 2004, tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 9.1 karibu na ncha ya magharibi ya Indonesia lilisababisha mawimbi makubwa yaliyopiga pwani za nchi

Mkuu wa Polisi Bernardino Rafael amesema jumla ya wafungwa 1,534 walitoroka kutoka gereza lenye ulinzi mkali lililoko umbali wa takriban kilomita 15 kutoka mji mkuu

Rais wa Marekani Joe Biden na mrithi wake ajae, Donald Trump, walitoa ujumbe tofauti sana wa Krismasi Jumatano, huku Trump akisisitiza tena matamshi yake ya

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu Ali Suleiman Ameir akikunjuwa Kitambaa kushiria Uwekaji wa Jiwe la Msingi katika hafla ya Ufunguzi wa Mradi wa

Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO DISEMBA 26,2024 About the author

YANGA leo imeendeleza moto katika Ligi Kuu Bara baada ya kuifumua Dodoma Jiji kwa mabao 4-0, huku Prince Dube akiendelea alipoachia tangu alipoinasa ‘code’ ya

KOCHA wa KenGold, Omary Kapilima amesema minne ijayo ya Ligi Kuu Bara ndiyo itakayotoa hatma ya kikosi hicho kama kitasalia msimu ujao au kitashuka daraja.

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda amekabidhi zawadi za Siku Kuu ya Krismas kwa niaba ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa watoto yatima

Ujumbe wa Kiongozi huyo unaofahamika kama “Urbi et Orbi” uliotolewa kwa ajili ya mji wa Vatican na ulimwengu kwa ujumla huelezea kwa muhtasari masaibu yanayoikabili