Wafungwa 1,500 watoroka Maputo katika machafuko ya uchaguzi – DW – 25.12.2024

Mkuu wa Polisi Bernardino Rafael amesema jumla ya wafungwa 1,534 walitoroka kutoka gereza lenye ulinzi mkali lililoko umbali wa takriban kilomita 15 kutoka mji mkuu Maputo. Akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari, alibainisha kuwa kati ya waliokuwa wakijaribu kutoroka, 33 waliuawa na 15 walijeruhiwa katika makabiliano na walinzi wa gereza.  Operesheni ya kuwasaka wahalifu…

Read More

Trump awatakia Xmas njema “wapuuzi” wa mrengo wa kushoto – DW – 25.12.2024

Rais wa Marekani Joe Biden na mrithi wake ajae, Donald Trump, walitoa ujumbe tofauti sana wa Krismasi Jumatano, huku Trump akisisitiza tena matamshi yake ya hivi karibuni kuhusu kuudhibiti Mfereji wa Panama, kuinunua Greenland, na kuiunganisha Canada na Marekani.  Biden alichapisha ujumbe mfupi wa msimu wa Krismasi uliolenga “wema na huruma,” wakati Trump alituma machapisho…

Read More

Yanga haipoi, yaendeleza moto Ligi Kuu

YANGA leo imeendeleza moto katika Ligi Kuu Bara baada ya kuifumua Dodoma Jiji kwa mabao 4-0, huku Prince Dube akiendelea alipoachia tangu alipoinasa ‘code’ ya mabao kwa kufikisha mechi ya nne mfululizo akifikisha mabao sita. Dube alianza kufunga bao la kwanza dhidi yaTP Mazembe wakati aikiipa Yanga sare ya 1-1 ugenini kabla ya kufunga mechi…

Read More

Hatma ya KenGold iko hapa!

KOCHA wa KenGold, Omary Kapilima amesema minne ijayo ya Ligi Kuu Bara ndiyo itakayotoa hatma ya kikosi hicho kama kitasalia msimu ujao au kitashuka daraja. Kauli ya kocha huyo inajiri baada ya timu hiyo kuchapwa mabao 2-1 jana na Singida Black Stars ikiwa ni kichapo cha 12 katika michezo 16 iliyocheza, baada ya kushinda mmoja…

Read More