
PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO DISEMBA 28,2024
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO DISEMBA 28,2024 About the author
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO DISEMBA 28,2024 About the author
Arusha. Sakata la ‘upigaji’ wa Sh200 milioni zinazodaiwa kuchotwa kwenye akaunti ya Umoja wa Bodaboda Mkoa wa Arusha (Uboja) sasa kutua kwa Rais Samia Suluhu Hassan. Sakata hilo litafikishwa kwa Rais Samia kupitia kwa mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM Taifa (UVCCM), Mohamed Kawaida kufuatia ombi la Mrisho Gambo, mlezi wa Uboja na mbunge…
Michezo Itakayoshiriki Mashindano ya DR. SAMIA / JUMBE HOLIDAY BONANZA yatakuwa na michezo mingi, ikiwemo mpira wa kikapu, bao, karata, drafti, msusi mwenye kasi zaidi, mbio za baiskeli, Netball, wavu, PS Game, mchezo wa kufukuza kuku, kushindana kula, pull table na muziki. Michezo mingine, kama vile mchezo wa bao, karata, drafti, na msusi mwenye kasi…
Dar es Salaam. Wizara ya Afya nchini Tanzania imesema kati ya Januari Desemba 22, 2024 watu 11,703 wameugua ugonjwa wa kipindupindu na wengine 145 wamefariki dunia. Ugonjwa huo umeikumba mikoa 23, ulioathirika zaidi ni Mkoa wa Simiyu wenye jumla ya wagonjwa 4,246 sawa na asilimia 36 ya wagonjwa wa mikoa yote. Hali hiyo inaripotiwa wakati…
Dar es Salaam. Ili kukabiliana na gharama kubwa ya huduma ya dialisisi kwa wagonjwa wa figo, Serikali imeingiza nchini mashine mpya aina ya SWS 6000 ambazo zimewezesha zishuke kutoka Sh250,000 mpaka Sh150,000. Mashine hizo moja ina thamani ya Sh31.76 milioni ambazo tayari zimefungwa katika hospitali za rufaa za mikoa. Zina uwezo wa kutoa huduma zaidi…
Dar/Dodoma. Wakati likiripotiwa tukio la mtoto Graison Kanyenye (6), mkazi wa jijini Dodoma kuuawa akiwa ameachwa kwenye uangalizi wa dereva wa pikipiki maarufu bodaboda, angalizo limetolewa kwa familia kuhusu baadhi ya wazazi na walezi kuwa na imani kubwa kwa watoa huduma hao wa usafirishaji. Mwananchi imebaini familia nyingi hususani mijini zimekuwa zikiwaamini bodaboda na kuwakabidhi…
Haiti inakabiliwa na mzozo wa mambo mengi ikiwa ni pamoja na kuongezeka kwa ghasia za magenge, ukosefu wa utulivu wa kisiasa, kuhama kwa zaidi ya watu 700,000 pamoja na njaa iliyoenea. UNICEF imeripoti ongezeko kubwa la uandikishwaji wa watoto wadogo na magenge yenye silaha, huku idadi ya watoto walioajiriwa. kuongezeka kwa asilimia 70 katika mwaka…
Mbeya. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limepiga marufuku na kuonya wazazi watakaoshindwa kuwadhibiti watoto wanaojihusisha na ulipuaji baruti kwenye mkesha wa kuaga mwaka 2024 na kuukaribisha mwaka 2025. Jeshi hilo, pia limewaagiza wenyeviti wa serikali za mitaa kuhakikisha wanaimarisha ulinzi na usalama na kutoa elimu kwa wazazi kuwa walinzi wa familia zao. Akizungumza na…
Dodoma. Takribani wakazi 800 wa Mtaa wa Mwangaza jijini Dodoma, waliokuwa wakilazimika kununua ndoo moja ya maji kwa Sh500, sasa wameondokana na changamoto hiyo baada ya Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira (Duwasa) kukamilisha mradi wa maji katika eneo hilo. Akizungumza leo Desemba 27, 2024, Mwenyekiti wa Mtaa wa Mwangaza, John Ndawanya amesema…