Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: December 29, 2024

  • Home
  • 2024
  • December
  • 29
Habari

WAZIRI MKUU MSTAFU MIZENGO PINDA APONGEZA UTEKEKEZAJI MRADI WA HEET CHUO KIKUU SUA

December 29, 2024 Admin

Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mizengo Pinda amefanya ziara katika Ndaki ya Kampasi ya Mizengo Pinda, Mkoani Katavi ikiwa ni

Read More
Habari

TANESCO TEMEKE NA ZECO WAUNGANA KUSHIRIKI MICHEZO KUIMARISHA UMOJA

December 29, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu Timu ya Mpira wa Miguu Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Temeke imetoa sare ya bao moja kwa moja na timu

Read More
Habari

RUANGWA KWA MAENDELEO, IMEWEZEKANA-MAJALIWA – MICHUZI BLOG

December 29, 2024 Admin

*Asema Rais Dkt. Samia anamchango mkubwa kwenye Maendeleo ya Wilaya hiyo. WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Wilaya ya Ruangwa imepiga kasi kubwa ya maendeleo

Read More
Magazeti

PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO DISEMBA 30,2024

December 29, 2024 Admin

Home ยป PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO DISEMBA 30,2024 About the author

Read More
Habari

Mtoto aliyedaiwa kufungiwa ndani na mama yake aokolewa

December 29, 2024 Admin

Mwanza. Serikali imemuokoa mtoto wa miaka miwili aliyedaiwa kufungiwa ndani na mama yake (18) kisha yeye kwenda virabuni kunywa pombe hadi asubuhi ya siku inayofuata.

Read More
Michezo

FOUNTAIN GATE FC YAVUNJA BENCHI LA UFUNDI, MUDA MFUPI BAADA YA KIPIGO CHA MABAO 5-0 DHIDI YA YANGA SC

December 29, 2024 Admin
Read More
Habari

Wajumbe wamkataa katibu wa CCM Monduli

December 29, 2024 Admin

Arusha. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Monduli mkoani Arusha wameonyesha kutoridhishwa na uongozi wa katibu wa chama hicho wilayani humo, Rukia Omary wakimtuhumu kukigawa

Read More
Michezo

Josiah aachiwa msala Tanzania Prisons

December 29, 2024 Admin

KLABU ya Tanzania Prisons imefikia makubaliano ya kumpa mkataba hadi mwisho wa msimu huu aliyekuwa kocha wa Geita Gold, Amani Josiah, ikiwa ni muda mfupi

Read More
Habari

Wanandoa wafa, ajali iliyoua walimu wanne Nyasa

December 29, 2024 Admin

Songea. Wanandoa wawili ni miongoni mwa watu sita waliofariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea wilayani Mbinga Mkoa wa Ruvuma. Ajali hiyo ilitokea jana saa

Read More
Habari

TGNP YAENDESHA WARSHA KWA VIJANA WA VYUONI KUHUSU AZIMIO LA BEIJING

December 29, 2024 Admin

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV MTANDAO wa Jinsia Tanzania (TGNP) imetoa mafunzo maalum kwa vijana kutoka vyuo mbalimbali nchini na wawakilishi wa mashirika ya vijana

Read More

Posts pagination

1 2 … 7 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.