
Ukraine wakiri kufanya mauaji ya Jenerali wa Urusi na msaidizi wake mjini Moscow
IDARA ya usalama ya Urusi imesema, kijana mwenye umri wa miaka 29 kutoka Uzbekistan amekamatwa akituhumiwa kwa mauaji ya Luteni Jenerali Igor Kirillov na msaidizi wake huko Moscow. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Mkuu wa Kikosi cha Ulinzi cha Nyuklia, Biolojia na Kemikali, aliuawa Jumanne wiki hii, nje ya makazi yake baada ya…