KONA YA MALOTO: Lissu kumvaa Mbowe; halali kidemokrasia, batili kwa masilahi ya Chadema

Nimesoma ujumbe wa Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tanzania Bara, Tundu Lissu, kuhusu njama dhidi yake, zinazoratibiwa na “watu wasiojulikana”, ili likitokea la kutokea, tuhuma zielekezwe kwa Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe. Natambua uhusika wa Mbowe katika kuokoa maisha ya Lissu, alipopigwa risasi na wauaji Dodoma, miaka saba iliyopita. Mbowe ni mwema sana kwa Lissu, hilo halina…

Read More

Syria inakabiliwa na mustakabali usio na uhakika baada ya serikali kuanguka huku kukiwa na migogoro ya kibinadamu – Masuala ya Ulimwenguni

Mjumbe Maalumu wa Syria Geir Pedersen na Mratibu wa Misaada ya Dharura Tom Fletcher walitoa maelezo kwa mabalozi kupitia kiungo cha video kutoka Damascus, ambapo wanashirikiana na wadau muhimu kuongeza msaada wa UN na kusukuma kwa mpito wa kisiasa unaojumuisha na wa kuaminika. Walisisitiza kuwa wakati wa sasa unatoa fursa adimu kwa amani na kujenga…

Read More

Medo awasilisha mashine nne | Mwanaspoti

KAGERA Sugar imeanza msako mapema katika harakati za kukiboresha kikosi chao ikisaka wachezaji wa nne waliotokana na ripoti ya kocha wao Melis Medo. Medo amewasilisha ripoti yake ya maboresho kwa mabosi wa juu wa Kagera, huku akitaka walima Miwa hao kumpa nafasi ya kuongeza wachezaji wanne kupitia dirisha dogo la usajili watakaokuja kuongeza nguvu. Kwenye…

Read More

BARAZA LA SALIM: Mungu atujalie tuvuke salama uchaguzi 2025

Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amekuwa akisistiza kwamba wakati mwaka ukimalizika tukikaribia kuingia mwaka 2025, Wazanzibari watunze amani wakati safari ya kuelekea uchaguzi mkuu ujao ikiwa imeshika kasi. Dk Mwinyi amesema maendeleo yaliyopatikana katika miaka minne ya uongozi wake yametokana na kupoa kwa uhasama wa kisiasa, watu kuelewana na kuweka maslahi ya nchi mbele…

Read More

Changamoto lukuki zawakabili wahamiaji | Mwananchi

Dar es Salaam. Wakati dunia ikiadhimisha siku ya kimataifa ya wahamiaji, changamoto zinazowakabili zimetajwa kuwa pamoja na kuchelewa kupata utambulisho, kukosa ajira, huku wananchi wanaoishi mipakani wakinyimwa huduma kwa kuhusishwa na wahamiaji. Maadhimisho hayo yalianza Desemba 18, 1990 baada ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kupitisha azimio kuhusu Mkataba wa Kimataifa wa Kulinda Haki…

Read More

Katibu Mkuu Luhemeja awafunda watumishi

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Cyprian Luhemeja amewataka watumishi wa Ofisi hiyo kuendeleza ushirikiano na kuimarisha ushawishi kwa wadau wa kitaifa na kimataifa katika kusukuma agenda ya uhifadhi na usimamizi wa mazingira nchini. Mhandisi Luhemeja amesema hayo Desemba 17, 2024 wakati wa mkutano wake na watumishi wa ofisi hiyo uliolenga kutathimini mafanikio…

Read More